Samia anataka kujenga nchi huku anaogopa wapinzani, ndio maana mpaka leo bado hajaruhusu mikutano ya siasa, kumbe sababu anawaona wapinzani ni maadui zake.
Hii ni mentality ya kidikteta kabisa, utawatenga vipi wanaokupinga ikiwa nao ni watanzania, na uwepo na maoni yao vipo kisheria? anataka wanaomsifia tu ndio awaamini hata kama ni wajinga, kumbe ndio maana tunaogelea kwenye mgao wa umeme usiojulikana utakwisha lini.
Sasa wale kina Mbowe na Heche wanaohangaika kwenda kwenye vile vikao vyao ikulu naamini watakuwa wamepata jibu, ndio maana licha ya mazungumzo ya maridhiano karibia zaidi ya miezi sita, lakini bado work done is equal to zero.