Rais Samia: Nikijua wewe ni dhidi yangu(Serikali) siwezi kukushirikisha. Utatumia sheria zote za Kimataifa, nitatumia za ndani kuku-bar


Wenye dhamana wananufaika na huu mfumo mbovu.. Hawawezi kuuvunja.
 
Hiyo katiba labda itungwe America
 
Ndugu zangu Tumepigwaa kichwani, watawala hawa!!
 
Wenye dhamana wananufaika na huu mfumo mbovu.. Hawawezi kuuvunja.
Ewalaa sasa hapo tatizo sio nyerere ila wenye dhamana ambao wananufaika na mfumo mbovu aliotuachia Nyerere, sasa sisi inabidi tu dili na hawa waliopo tuanze na mama samia.
 
Hii kauli angelikuwa ameitoa magufuli mpaka mda huu akinachadema lisu , Maria fatuma pangekuwa hapashikiki

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huyu naye ataonesha ujuzi gani alio nao? Haba ujuzi wowote!
 
Mfumo uliojengwa na Nyerere unawanufaisha vigogo. Hauvunjiki.
Kwahiyo nchi kukosa umeme na maji ni kwasababu ya mfumo wa Nyerere?
Watoto wanamaliza shule hawajui kuandika wala kuhesabu vizuri,ni kwa sababu ya mfumo wa Nyerere.
Shule hazina madarasa ya kutosha,maabara,vitabu,walimu,viti vya kukalia nk yote hii ni kwa sababu ya mfumo wa Nyerere..
Mnanunua magari ya anasa na kifahari badala ya madawa na vifaa tiba hospitalini..hii nayo ni sababu ya Nyerere..
Hamtaki kukamilisha miradi ya kimkakati pamoja na kuzidisha kukopa na tozo za kila aina..hii nayo ni mfumo wa Nyerere..
Semeni tu mmeshindwa kuongoza hii nchi.
 
Tukiachia wanasheria kuwa politicized, kinachofuata ni madaktari, kisha waalimu, manesi, etc.
Nchi itavurugika, kila mtu atakuwa na mapembe
 
Ms
Mama ameongea neno moja gumu kwa wanaomnanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…