Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Huyu huyu alipoingia madarakani akawadanganya chadema kwamba atateua wapinzani kwenye serikali yake, wakafikiri mbowe atateuliwa wakasema anaupiga mwingi.Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, amesema haya kuhusu kushirikisha watu...