Rais Samia: Nilipoingia ofisini tu Mufti alinijia na furushi la migogoro ya mali za BAKWATA, ila tatizo wamelitengeneza wenyewe

Kumbe amegeuka kuwa kadhi mkuu?
 
Shukuru...
Rais Muislam moja ya shghuli zake ni kuingilia polisi wasikamate Waislam?

Au watendaji Waislam serikalini kazi zao ni kuwahangaikia Waislam kuona wanapata fursa sawa na wengine?
Hiyo ndio rehematil Lil Alamin, hiyo ndio kazi ya mchunga kusaidia The helpless
 
WA KWANZA NI SHEIKH UBWABWA HUYU ALICHOMOA VYOYOZI VYOTE KWENYE MJENGO WETU
 
  • Kimsingi ni aibu 'mtoto' kuwa na hela na ushawishi kuliko 'baba'.
  • Bila ya kuwavuruga uchumi waumini wangeota kiburi sana. Waliomsaidia Nyerere ktk hili walifanya vyema.
 
  • Kimsingi ni aibu 'mtoto' kuwa na hela na ushawishi kuliko 'baba'.
  • Bila ya kuwavuruga uchumi waumini wangeota kiburi sana. Waliomsaidia Nyerere ktk hili walifanya vyema.
Ndio mtazamo wangu kwa nchi zote duniani kama nilivyocomment hapa.
 
Mmi ni
Muislamu ila bakwata ni mbwa tena mbwa koko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…