Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค๐คท๐๐๐!?๐งฐ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค๐คท๐๐๐!?๐งฐ
๐ฉ๐ปโ๐ฌ๐ฉ๐ปโ๐ฌ๐ฉ๐ปโ๐ฌ๐ค๐ค๐ค๐ค๐ค๐คท๐๐๐!?
๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ข๐๐ฉ๐ปโ๐ฌ๐ฉ๐ปโ๐ฌ๐ฉ๐ปโ๐ฌ
๐ฅฎ๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ข๐
๐๐๐๐๐ฉโโค๏ธโ๐โ๐จ๐ฉโโค๏ธโ๐โ๐จ๐ฅฎ
๐ณ๐๐๐๐๐ฉโโค๏ธโ๐โ๐จ๐ฉโโค๏ธโ๐โ๐จ
Nilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waislamu.
Akasema kwa bahati mbaya alipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe.
Naomba kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu hii migogoro ya BAKWATA na wahusika anisaidie kuelewa vizuri ili tuwajue wahujumu wa mali za Waislamu.
KwaniniUkitaka kujua hii migogoro ya ardhi ya Bakwata basi nakushauri kwanza ujue kwanini baadhi ya waislam hawampendi Sheikh Ponda
Hiyo ndio rehematil Lil Alamin, hiyo ndio kazi ya mchunga kusaidia The helplessShukuru...
Rais Muislam moja ya shghuli zake ni kuingilia polisi wasikamate Waislam?
Au watendaji Waislam serikalini kazi zao ni kuwahangaikia Waislam kuona wanapata fursa sawa na wengine?
WA KWANZA NI SHEIKH UBWABWA HUYU ALICHOMOA VYOYOZI VYOTE KWENYE MJENGO WETUNilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waislamu.
Akasema kwa bahati mbaya alipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe.
Naomba kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu hii migogoro ya BAKWATA na wahusika anisaidie kuelewa vizuri ili tuwajue wahujumu wa mali za Waislamu.
Yawezekana ilikuwa ni deliberate way kufanya wauze mali ili ushawishi upungue. Baada ya kutaifisha kuonekana kigumu, wengine wakinyang'anywa shule na hospitali wakaachiwa kidogo.
Ila nchi ambazo dini ina utajiri mkubwa huwa utengamano wake unasumbua kama ilivyo Uturuki
๐คท๐คท๐คท๐ณ
โน๏ธ๐คท๐คท๐คท
Ndio mtazamo wangu kwa nchi zote duniani kama nilivyocomment hapa.
- Kimsingi ni aibu 'mtoto' kuwa na hela na ushawishi kuliko 'baba'.
- Bila ya kuwavuruga uchumi waumini wangeota kiburi sana. Waliomsaidia Nyerere ktk hili walifanya vyema.
Dini kuwa na nguvu sio tatizo kwa Uturuki, tatizo ni makundi ya kidini kuwa na utajiri. Gulenists wanakuwa na jeuri kwa kuwa ni matajiri wanamiliki uwekezaji mkubwa. Na haohao ndio walimsaidia Erdogan kuingia madarakani mwaka sijui 2001 ule.
Mpinzani mkuu yule Kemal Kฤฑlฤฑรงdaroฤlu na chama chake cha Nationalists siwaelewi ni secularists au non-secular. Sipendi Uturuki iwe non-secular kama Kemal Ataturk angewafanya vile wasingefanya maendeleo makubwa hivi.
Sijaona nchi non-secular ina maendeleo makubwa hata iwe na mapato kiasi gani. Tena nchi ikiwa theocratic ndio kabisaa matatizo unless muwe na dini moja yenye kama 90% ya population hao 10% mtanyanyasa wajilipue.
Uturuki naona itabaki kuwa secular na raia wanapenda hivyo.
๐๐๐๐๐๐น๐น๐น๐น๐นโน๏ธ
๐๐๐๐๐๐๐น๐น๐น๐น๐น
Muislamu ila bakwata ni mbwa tena mbwa kokoNilimsikia Rais akihutubia Baraza la Eid alisikika akisema alipoingia madarakani tu Mufti alimjia na lundo la mafaili ya migogoro ya mali za Waislamu.
Akasema kwa bahati mbaya alipochunguza mafaili yale yana utata kwa kuwa wahusika wakubwa wa hizo sintofahamu ni wahusika wenyewe.
Naomba kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu hii migogoro ya BAKWATA na wahusika anisaidie kuelewa vizuri ili tuwajue wahujumu wa mali za Waislamu.
Na huo ndo uislam wenyewe umejaa kiujanjaujanja sana.
๐คท๐คทโค๏ธโค๏ธโค๏ธ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐ฝ๐คท๐คทโค๏ธโค๏ธโค๏ธ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐