Rais Samia: Nimeagiza tozo ya mafuta irudishwe, asema nauli na bei za bidhaa vitapanda. Sababu ni vita ya Urusi

Unajua na nyie Kuna muda huwa mnajishangaa wenyewe

Iliwekwa tozo mkashangilia na kusema serikali inapaswa kukusanya Kodi zaidi.

Mwezi uliopita tozo ikaoondolewa, mkasema ni Jambo zuri serikali kupunguza mzigo wa Bei kwa wananchi

Tozo imerudishwa mnasema Ni sawa kabisa

Mna tatizo gani lingine ukiachia hili la akili?
 
kusema kweli viwanda vya ndani asilimia kubwa" NI MZIGO"
wana maringo sana Bora vife tujue moja kuwa kila kitu tunaagiza kutoka nje.
True,vya ndani bei juu kuliko nje,check sement ilikuwa inatoka pakistan tena Ina ubora wa hali ya juu iliuzwa bei chee,sukari toka nje bei chee.

Unalinda nini Acha competition ifanye Kazi dhaifu afe,ndio mfumo wa duniani.
 
Hawana ubunifu wa kupata mapato wanachojua ni kutegemea kodi tu kwa kuwaumiza wananchi tu
Huo ndio ubunifu wenyewe.

Rais akitengeneza filamu mnaponda,akivutia wawekezaji mnaponda,akiweka tozo mnaponda akiwaambia mdai risiti mnalaumu.

You guys are mother fucker,na angekuwepo Mwendazake wote mungekuwa maskini afu muone moto.
 
Ww jamaa si ulikua unatoa sifa humu za kuondolewa hiyo tozo?

Tena ukamsifu waziri wa nishati na raisi

Hebu kuwa serious aisee
 
Mama mpaka 2045,Tunampenda tunamkubali,impacts za kidunia zinagonga KILA taifa,

Labda katika utawala wake mama yetu aanzishe mpango maalumu wa ghala kubwa zaidi lenye kuweza kuhifadhi mafuta kwa miaka walahu miwili tu,thats how we can made country stability.
Napenda kuona hili linachukuliwa na serekali ili kujenga uimara Fulani Mara yanapotokea majanga ya aina hii
 
Bibi eee wewe rudisha shillingi kwenye mafuta ila ondoa ile tozo mliyoweka kwenye miamala ya simu.

Pesa za tozo hatujui zinafanya kazi gani sasa maana misaada na mikopo tunapewa kila siku mara kutoka un, eu, usa, waarabu ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…