Rais Samia: Siyo vibaya viongozi wa dini kuwa wanasiasa

Huwa naona viongozi wa dini wanaijua siasa zaidi kuliko wanaojiita wanasiasa.
Wafuatilie viongozi wa dini,utagundua mengi sana
 
Nilikuwa mbele kumshabiki huyu mama,lakini sasa naona anakokwenda siko na anaelekea kukwama totally
 
Rais Samia ameyasema hayo leo Alhamisi Julai 8, 2021 Mjini Morogoro wakati akifungua mkutano Mkuu wa 31 wa Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) aliposema wakati mwingine dini na siasa vinaenda sambamba....
Hapo kwenye kodi hapo, hapana! Mashirika ya dini yaendelee tu kulipa hiyo Income Tax, otherwise tutakwama...
 
Wapi imeandikwa? hajui kuwa siasa na dini hazitengani, vipi huko kwao Zanzibari dini na siasa unaweza isemeaje? inatambua makundi ya wachache? inatambua uhuru wa maamuzi kwa wachache? anafahamu kama msingi wa dini ni siasa pia?
 
Dogo si uwe unapumzikaga?
 
Akina bagonza hao , kila sku kurelate mafungu ya biblia kujipatia umaarufu kisiasa.....naona mama anaupiga mwingi sana
Umepungukiwa uelewa. Leo hii hukumsikia Samia akinukuu vifungu vya biblia? Kwa hiyo amwtumia dini kufanya siasa?
 
Rais Samia ameyasema hayo leo Alhamisi Julai 8, 2021 Mjini Morogoro wakati akifungua mkutano Mkuu wa 31 wa Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) aliposema wakati mwingine dini na siasa vinaenda sambamba...
Hahahaa wale wapiga mayowe wamesikia.
 
Wapi imeandikwa? hajui kuwa siasa na dini hazitengani, vipi huko kwao Zanzibari dini na siasa unaweza letu isemeaje? inatambua makundi ya wachache? inatambua uhuru wa maamuzi kwa wachache? anafahamu kama msingi wa dini ni siasa pia?
Taifa letu bora limetenganisha DINI NA SIASA....na huo ndio ubora wenyewe......

Ziko nchi HAZIJATENGANISHA HAYO.....

#KaziIendelee
 
Hili halijakaa sawa... Dini na siasa visichanganywe...
 
Sifa kuu za mwanasiasa ni udanganyifu, fitna, undumila kuwili, uchoyo wa madaraka, tamaa ya fedha na mali

Kazi kwenu viongozi wa dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…