Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

Hahahah

Bado mdogo ukikua utajua kuwa Report zote anazosomewa Rais hadharan anakuwa kishazipitia na asiyoyataka yanaondolewa na anayotaka yanawekwa hata kama hayakuwepo
Ukiangalia jinsi rais alivyomsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa TPA ni uamuzi aliouchukua hapohapo baada ya kusomewa ripoti na CAG,sasa huyu kigogo alijuaje???..au kulikuwa na mipango ya mkurugenzi kutimuliwa kabla ya ripoti kusomwa??..huenda huyu kigogo anafanya kazi vizuri kabisa na serikali,baadhi ya viongozi wakubwa serikalini bila mzee pombe kujua..yaani rais alikuwa anazungukwa na wateuwa wake kwa maslahi Fulani!..
 
Bravo Mama yetu mpenzi. Yani hatuna mashaka na wewe kabisa katika utendaji na busara zako. Mungu amejua kutuona Watanzania.
Nafikiri wapinzani wote wamehamia CCM kumuunga mkono Raisi wetu Samia S. Hasan. Je! Nao wamenunuliwa? Twambie kama mmenunuliwa! Nyote kwa pamoja munamuunga mkono sasa na kufurahia alivyo anza!
 
Mzanzibar asiyejielewa alikuwa yule waziri mdogo wa mambo ya ndani wa zamani, anaitwa nani vile? Hawahurumii hata wazanzibar wenzake wa uamsho
 
Majipu yaliyotengenezwa na JPM na kutetewa na mataga jukwaani
Jiongeze kidogoooooo usiruhusu chuki zikutoe ufahamu.
Serikali ni taasisi na Utumbuaji hauna mwisho lakini uhai watendaji una mwisho
Waziri mkuu alitoa maagizo uchunguzi wa bandari December 2020 na haya ndio matokeo
 
TPA yahitaji kuendeshwa kijeshi mpaka inakapoweza kujitambua.

Kakoko asingeweza kudhibiti ubadhilifu, hujuma na wizi bandarini na ni mwepesi sana.

Kuna mtu amemtaja marehemu mzee Janguo lakini yule nae hakuweza kuthibiti TPA basi aliweza kusawazisha kulingana na serikali zilizokuwepo wakti ule.

Nasema hivi kwasababu mimi binafsi nimewahi kufanya kazi ya utoaji mizigo bandarini na naelewa matatizo haya yanoikumba TPA.

Mama Samia mteue mwanajeshi mwenye shahada ya uendeshaji asimamie shirika hili ambalo ni moja ya njia kuu ya mapato Tanzania.

Pili, serikali ikubali igharamie teknolojia katika bandari zetu na iondokane na paperwork. Pia kuwepo idara maalum ya ku-monitor kila tukio kuanzia meli inapotia nanga hadi mizigo inapokuwa "cleared".

Hali hiyo iwe pia kwenye uingizaji mafuta kule TIPPER.

Paperwork ni moja ya njia kuu za ubadhilifu kwenye bandari zetu ikiwemo bandari ya Daesaama.

Upigaji gani tena? Si tuliambiwa wapiga dili wote walimalizwa?
Kupiga ni utamaduni wetuuuuuuuuuu mradi usishikweee.Mandeleo hayana Chama.
 
Back
Top Bottom