Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Pamoja mkuu wangu πPamoja sana kiongozi endelea kutusaidia humu wengi tuko gizani
π€£π€£Aaaamin aaaamin kaka....wewe ni mzalendo mno.....wewe ni muelewa mno kuwazidi wapingaji akina BAK , ERTHROCYTE,MMAWIA et alKuna watu wamemwacha Mungu wamemfanya kuwa Mungu wao
Wanamwabudu kila Siku,Mungu hapendi kumtegemea mtu Chadema sihami na mama simuachi mpaka 2030 kikubwa uhai
Hakuna kigumu kwenye pesa huyo mtu wetu pesa zilimwishia akina Salum Mbuzi wakaondoa magreda yao akawapelekea polisi wanamiliki Silas, tunajua sanaHuu mradi ulikuwa mgumu kuanza kule! Mtu kama Samia na the way anawaangalia wale mabepali asingeweza kuufanya! Ata angekuta ndo atafutwa mkandarasi asingeweza kuendeleanao.
Chama changu tumezidi wizi na uzinzi Mungu alituachaPamoja mkuu wangu π
Endelea kuuzungumza ukweli...tuendelee kuuzungumza ukweli na kutoana gizani....
Ukweli una kawaida ya KUPANDA NGAZI(taratibu).....
Mh.SSH na serikali sikivu ya awamu ya 6 itaendelea tu KUELEWEKA VYEMA......ππͺπ
Wale ni wake za Mbowe tu mimi najiamini sana mkuuπ€£π€£Aaaamin aaaamin kaka....wewe ni mzalendo mno.....wewe ni muelewa mno kuwazidi wapingaji akina BAK , ERTHROCYTE,MMAWIA et al
π€£π€£ Ha ha haNamshauri ndugu january makamba akomae akamilishe huu mradi kwa weredi mkubwa..... Ukamilike kwa haraka...atapata point kubwa ya kuupata urais hapo baadae
Huyu mtu mimi nishamfoll kitambo anahoja sana angenipa namba nitume mpesaWewe lini umeandika cha maana humu?
Mkuu piga kazi watanzania wamegutuka kumbe zilikuwa mbwembwe tu
Chama changu tumezidi wizi na uzinzi Mungu alituacha
Mkuu mbona lugha za matusi tena?!!π³π€£Kama kweli hayo usemayo basi Takukuru wamchunguze ametoa wapi hela zote hizo!!! Kama nikodi zetu na bunge limeidhinisha ziende Jnhpp basi heko kwetu site watz na tujiombee mema!! Mletahoja tuliza kujipendekeza kisho... utajatafunwa kibo...!!
Tumechoka siasa za kishamba MTU mmoja anasifiwa kwakila kinachofanyika kwakodi zetu!! Kumfanya MTU muungu MTU niushamba wakipumbafu unaostahili matusi tena yakimarekani yalee ...Mkuu mbona lugha za matusi tena?!!π³π€£
Kwa hiyo kusema ukweli juu ya mradi huo ndio kutengeneza mazingira ya kufanywa "machafu"?!! Mmmh
tofali!Tuombe Uzima nitakukera sana,
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
π€£π€£ Relax mkuu wangu...tofali!
CM 1774858
Binafsi nikushukuru sana kuwafumbua macho hasa waliokata tamaa baada ya kifo cha Rais Magufuli ,
Samia anafanya vizuri sana ila kwa njia tofauti lazima wamuamini mama yuko vizuri sana na analeta matokeo kwa haraka sana,
Kwakasi ile ya 38% miaka miwili huenda tungekwama,
Ndio maana naamini kabisa, JPM alikuja kwa malengo yake. hakutakiwa kufanya kila kitu na kuna sehemu nyingi ilikuwa vurugu tupu, ila hili la kuthubutu kufanya hii miradi, litakumbukwa daima. Rest in eternal peace JPM.Huu mradi ulikuwa mgumu kuanza kule! Mtu kama Samia na the way anawaangalia wale mabepali asingeweza kuufanya! Ata angekuta ndo atafutwa mkandarasi asingeweza kuendeleanao.
Kwa sasa mmeshamsahau hata Alie thubutu kuanzisha mradi huu ulio kuwa umewaogopesha kwa miaka dahar,mmm lakini sio tabu maana nyumbani kwao na unafiki Ni hukohuko mnakoishi ubayani ccmstreet ππUjenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,
" Hakuna kama Samia "
Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,
Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,
JPM alikuwa muafaka kwa kipindi kile. Ndio maana alikuwa Rais. Uzuri ni kuwa kila mtu anaruhusiwa kuitazama dunia na mambo yake, vile anavyoona inafaa.Siyo ungekomelea kabisa kuwa heri bwana yule alipata promotion kuwa MK - malaika kiongozi?
ππJPM alikuwa muafaka kwa kipindi kile. Ndio maana alikuwa Rais. Uzuri ni kuwa kila mtu anaruhusiwa kuitazama dunia na mambo yake, vile anavyoona inafaa.
Kwenye maendeleo na kutuvuruga vichwa ili tufikirie maendeleo, he was the man. Kudai kodi...siasa za mbadala...he wasn't meant for that π π π π π
Hongera late John Pombe Magufuli kwa kusimama kiume katika kuanzisha hili! Heri tutesekee maendeleo kuliko kutesekea ufisadi wa familia chache za watu walioko kwenye system wakati wao wakiinjoy maisha!Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 "kaziiendelee" mnaoshangaa endeleeni kushangaa,
" Hakuna kama Samia "
Lengo la Rais wetu Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3%,Lakini pia kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wa bei chee zaidi African Mashariki kwani tunauza kwa $0.099/KWh hakika Tanzania ya Samia raha sana nabei hii itashuka zaidi banda ya JNHPP kukamilika,
Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari umeajiri jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa ambayo ni Tshs 2.495 sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia hadi mwisho wa mradi atakuwa ameujenga mradi wa JNHPP kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha Uzalendo,
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia,
Wewe utakuwa zao la shule ya Kata. Kihiyo kwenye ubora wake. Hiyo figure ongezeko ni 57%, 230% umepataje? Archana na utapeli JF.Mkuu nakusalimu kwa jina la JMT