Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

Hivi mpango,kabudi,dorothy,innocent,biteko,mwigulu,kabudi hawa wote waislam acha tabia mbaya udini hautakiwi na hawa ni baadhi
 
Hv bashiru amemaliza mwezi ofisi ya katibu mkuu kiongozi?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].bashiru kachomolewaa
ofisi ya Jafo

Uwekezaji imerudi chini ya ofisi ya waziri mkuu

Ummy mwalimu-tamisemi

Wizara ya fedha -mwigulu nchemba

Sheria- kabudi paramagamba

Mambo ya nje- balozi mulamula

michezo -naibu (gekulu) ulega amerudi mifugo

Afya- naibu wa pili Mwanaidi ally hamisi

Bashiru-mbunge wa kuteuliwa

Zingine zimebaki kama zilivyo.
 
Back
Top Bottom