Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndiyo katupwa kiana huyoBashiru kateuliwa kuwa mbunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo katupwa kiana huyoBashiru kateuliwa kuwa mbunge.
Hata hivyo ashukuru amesamehewa sanaHuyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Ikulu imesafishwa hakuna sukuma gang tenaDorothy Gwajima anaendelea kuwanyoosha wezi wa dawa.
Nawaza mheshimiwa raisi kawaza Nini vile?sipati jibu.Bashiru ni demotion kiboko .... ubunge viti maalum
Naona jamaa yetu Hussein katanga kaingia ikulu
Hatujawahi kushindwaBashiru OUT.....GT tumeelewa UJUMBE
Na bashiru ni useful ndio mana kapelekwa bungeni Anaandaliwazingekuwa kweli asingepewa ubunge. uwe na akili
ha ha ha...!Huyu Mama Ana Kusudi Sana Nadhani Hataki Kufanya Kazi Na Mwalimu Wangu Bashiru, Kamteua Kuwa Mbunge Halafu Kamwacha Domant Tu.. Daaaah Dharau Hizi.
Ndiyo maana alimuita mteuzi “mungu”Alikuwa anacheza na maduhuri ya safarimun
Atalamba tu mafao yake.Bashiru hajala hata mshahara mmoja wa CS!
Wewe mbona huna akili?zingekuwa kweli asingepewa ubunge. uwe na akili
ofisi ya Jafo
Uwekezaji imerudi chini ya ofisi ya waziri mkuu
Ummy mwalimu-tamisemi
Wizara ya fedha -mwigulu nchemba
Sheria- kabudi paramagamba
Mambo ya nje- balozi mulamula
michezo -naibu (gekulu) ulega amerudi mifugo
Afya- naibu wa pili Mwanaidi ally hamisi
Bashiru-mbunge wa kuteuliwa
Zingine zimebaki kama zilivyo.
Halijavunjwa. Kazi inaendeleaHapo sawa ,baraza lazima livunjwe, watu walikuwa wanatetea uvunjwaji wa katiba waziwazi.
Amesafisha ghalaBora bashiru kuwa nje ya mfumo. Mh rais kagusa nje na ndani.