Rais Samia Suluhu Hassan ampa onyo Waziri wa OR-TAMISEMI, Selemani Jafo

Yaani, kampa kavu!
Na kasema asipotosha , watamsaidia(Sack)!
 
Vyuma vinaanza kuumana sasa,si wapiga kipyenga tupo tu hakukuchi kunakucha
 
Huyu Jaffo si ndo yule alimjambisha mkandarasi hadi akadondoka....!! Sasa ni zamu yake kujambishwa...!!
 
Sisi tunataka Mh Samia Suluhu arudishe maduka ya kubadili fedha maana mabenki yanatupiga sana hakuna ushindani.

Lile takataka la kisukuma hayati lishaondoka lazima mfumo ubadilike.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Apambane sasa atafute barabara, madaraja na majengo ya kuyapa majina ya mama Kama alivyokua akifanya kwa jpm.

Ule mda wa kufanya kazi ili kumfuraisha flan ushapita na kwa bahati mbaya tiari jofo alishazoe sasa sijui Kama ataweza kufanya kazi bila mapambio.
 
Tuwe tunaangalia na uwezo wa mtu kichwani sio ktk kelele nyuma ya mic au utanashati wake, pengine jafo kweli anastahili kusaidiwa kwakuwa huenda uwezo wake wa kiutendaji ktk fikra umeishia hapo, tusilazimishe aweze wakati hawezi. Jaffo jiuzulu kulinda heshima yako.
 
Kiukweli waziri wa tamisemi inafaa awe engineer wa kusomea kabisa maana ujenzi ni mwingi tizama mbezi stand BOQ ikasukwa kupigwa bil 15 sasa wamepiga ngapi nani anajua?? huyu bitozi masuti itamtesa apewe kawizara ka mazingira na usafi
Yaa hii wizara ipewe wahandisi kama ujenzi na maji maana Kazi kubwa ni ujenzi
 
jafo ni hardworking,tuseme tu ukweli .sema there's something wrong kwa watu wake,Wanampa ripoti za matango pori.Na ikitokea waka m curl,ameyataka mwenyewe,kwa kukubali kumeza ripoti za matango pori za watu wake.
 
Noma sana.tusubiri,Tamisemi dudu litakalo malizana na jaffo.
 

Hata wewe ungekuwa malaika usingeweza tamisemi kwani wizara ilikuwa chini ya ofisi ya bosi wake na wote mnamjua alivyokuwa kwenye matumizi ya serikali
 
Aisee ni kweli Tamisemi ni wizara iliyo sheheni mambo mengi na miradi na programu nyingi napendekeza baadhi ya miradi na programu zitolewe Tamisemi ziwe serikali kuu
Miradi ya ujenzi wa majengo ya shule na afya kwa mfano kwa nini wasifanye TBA? Kitengo cha uhandisi kule kitoke kiende TBA
 
Kwenye Ubize ndipo watu wanapopiga.
Rejea ripoti 'iliyoMtumbua kiani' CAG,
Mabilioni yamepigwa na waliokuwa Bize hawakuthubutu kusema yalikoenda na sasa wameanza kupukutika mmoja baada ya mwingine.
 
Rais amteue bwana Tickson Nzunda kuwa katibu mkuu Tamisemi maana aliwabana Sana wapigaji akiwa Naibu anaeshughulikia elimu ,atamsaidia.

Pia wazari Jafo kama anaona kuna watu chini yake hawafanyi vizuri si awaseme kwa boss mama wapigwe chini?
 
Jafo wanamuonea tu,wakurugenzi wengi wameingia kwa kiki za uanachama wa kijani pia ni vilaza mno hawawezi kusimamia pesa za serikali.Aanzia kwa hao DED ndo shida zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…