tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Watu ni wanafiki sana....achana na watu wanafiki kupindukiaMimi huwa nawaita WAPUMBAVU tu. Huwa hawajui wanataka nini maishani. Alikuwepo JK anasafiri sana wakawa wanamuita Vasco Dagama, akaja JPM haendi popote wakadai anakaa sehemu moja nchi inakosa michongo. Kaja SSM safari za nje kibao wameanza kulialia. Ndo maana Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MAKOFA. Na aliyewaita NYUMBU hakukosea.
Anachukiwa na wachache wanaoishi jana ingawa miili yao imeingia leo. Wale wenye kukariri maisha.Raisi Samia anatakiwa ajitathmini kwanini anachukiwa hivi.
Mama hana huruma huyu. Anaendelea kutumia tu mipesa.
Wasaidizi wake meno 32 nje yote ila bado utakuta kuna ambao wanakufa maskini..Mama hana huruma huyu. Anaendelea kutumia tu mipesa.
Na katika mambo yote yapasa kuwa na kiasi .Mimi huwa nawaita WAPUMBAVU tu. Huwa hawajui wanataka nini maishani. Alikuwepo JK anasafiri sana wakawa wanamuita Vasco Dagama, akaja JPM haendi popote wakadai anakaa sehemu moja nchi inakosa michongo. Kaja SSM safari za nje kibao wameanza kulialia. Ndo maana Mkapa aliwaita WAPUMBAVU NA MAKOFA. Na aliyewaita NYUMBU hakukosea.
Tuvute bangi kiasi au sio sehemu ya mambo yote?Na katika mambo yote yapasa kuwa na kiasi .
Anything in too much is harmful...
Walipa Kodi ndo wanakiona Cha Moto.Nawaona sukuma gang wakiteseka.
Sana yaani.Kina Michuzi walijenga majumba sababu ya allowances kutokana na safari za JK.Issa Michuzi tabasamu litakuwa limerudi tena.Wasaidizi wake meno 32 nje yote ila bado utakuta kuna ambao wanakufa maskini..
Mi pia, kwa ujumla tu siwezi kuwa Rais maana ntawafilisi 😀Hata Mimi ningekuwa Rais ningekuwa nasafiri kila kukicha. Hiyo ndio Hobby yangu.
Sema sina hela tu.
Wazee wa uzalendo wivu utawaua.Nawaona sukuma gang wakiteseka
Asafiri akijua kuwa #MbowesiogaidiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 10 Novemba, 2021 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Cairo nchini Misri kwa Ziara ya Kiserikali ya siku tatu...
Hata mieMi pia, kwa ujumla tu siwezi kuwa Rais maana ntawafilisi 😀
Vijana wamejenga mno watu wataanza kurogana kule PSU tutegemee misiba ya kutosha mule ndani…Sana yaani.Kina Michuzi walijenga majumba sababu ya allowances kutokana na safari za JK.Issa Michuzi tabasamu litakuwa limerudi tena.