Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Hilo tahira lenu miaka yote halijasafiri ,Nini Cha maana tumepata zaidi yakututia hasara tu ya madeni,huku likiwadanganya mazuzu Kama wewe kuwa linatumia fedha za ndani,Wewe nguruwe Kama kufasiri ndio nchi kunufaika, safari 700 za kikwete Tanzania ingekua New York.
Huyo mungu atakaekua amemlaani magu atakua taahira kama wewe.
Pata kinywaji mkuuWengi wanajua huu ni muhula wa tatu wa yule jamaa wa msoga.
Si kazi inaendelea!😂Kwa nini mkuu?
Makamu wa Rais alikuwepo, waziri mkuu alikuwepo, bunge lilikuwepo, wewe ulikuwepo . Wote walikuwa chaguo la CCMHilo tahira lenu miaka yote halijasafiri ,Nini Cha maana tumepata zaidi yakututia hasara tuya madeni,huku likiwadanganya mazuzu Kama wewe kuwa linatumia fedha za ndani
Kichaa lilikuwa alishauriki,Makamu wa Rais alikuwepo, waziri mkuu alikuwepo, bunge lilikuwepo, wewe ulikuwepo . Wote walikuwa chaguo la CCM
Kichaa lilikuwa alishauriki,
Acha Samia apige kazi Hadi 2050,
Hakuna mbwa yoyote wakumsumbua
Ni vizuri kweli kwenda kuonana na viongozi wa nchi nyingine na pengine hata kuomba misaada. Akumbuke tu kuwa hao atakaokutana nao watakuwa wanamuangalia kwa macho ya kumpima [ size her up] kama kweli anayosema yanaendana na hali halisi huku alikotoka!!Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.
View attachment 1990991
Soma hilo gazeti, hata JPM mlijadili kumuongezea muda mola akafanya yakeSamia Hadi 2059,
Utaki Hama Nchi
Dikteta Roho mbaya imemfanya afe mapemaSoma hilo gazeti, hata JPM mlijadili kumuongezea muda mola akafanya yake
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siipiendi kabisa hii kauli, tena inachefua
Msipokuwa makini nchi niendeshwa na marais watatu kwa wakati mmoja. Anayejulikana hana maamuziDikteta Roho mbaya imemfanya afe mapema
Thithi tuna imani na mama mpaka 2030! 🥵Biden kaapishwa January, overseas trip = 5 trips, mama yetu kaapishwa March, trip =10.
Mzee wa msoga anampoteza mama Yetu. watu wanamtoa mama nje ili huku nyuma watupige...mama zaidi ya mialiko ya kufungua shughuli fulani na hizi trip za nje hakuna kingine anafanya...amekua km mkulima wa tikiti kwa watsap, haendi field kukagua miradi.
Umepoteza ww ss tupo
Kama mpambe wa mama [emoji2089][emoji2089][emoji2089]