Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hahaha! Mwamba mtoto wa mjini kitambo, anachomoka! Hao akina Sabaya walivamia miji kibwegebwege! Ila amfix na Mfckn Bashite (Mshamba mwingine)Sina shida na safari za mama...
Watanzania tunataka kuona vitu vina happen..
Safii.. ushamfix Musiba, Sabaya...bado Mbowe.
Fix all these m'fkers.
We wanna keep going.
Tunataka Rais Mwanaume!Jpm alipokuwa hasafiri watu humu walikuwa wana panda
Mama anasafiri wanalalamika
Siku zote nasema watanzania mpaka sasa hatujuwi tunataka nini
Wao wanataka Mama aishi kama yuko kisiwani jibondo
Ova
Climate Change ni issue sensitive sana kwa sasa, Tumetangaziwa juzi kuna mikoa itakosa mvua mwaka huu which itapelekea uzalishaji mdogo wa chakula na hiyo inasababishwa na CC, CC inapelekwa kwa kasi na shughuli za binadamu za siku kwa siku, so wanataka angalau kujaribu kuzipunguza hizo shughuli kwa majadiliano, Marais wa nchi nyingi watahudhuria, Rais wa China hatohudhuria physically and ameshutumiwa sana kwa hilo! 2015-2021 tuliamua kujitenga na dunia kutokana na mawazo ya mtu mmoja tu aliyekuwa ANAPAMBANA VITA VYA KIUCHUMIMkutano huo wa COP 26 Rais hajawahi kuhudhuria tangu 2015-2021 march, huu mkutano wa mwaka huu una nini cha ziada?
Ili akufanyeje?Tunataka Rais Mwanaume!
Wakati tunaamua kujitenga na dunia kuanzia mwaka 2015-21 Samia alikuwa wapi? Hakunaliona hilo? Au alikuwa anafanya kazi kwenye serikali nyingine? Je huko anskokwenda hakuna ubalozi utuwakilishe?Climate Change ni issue sensitive sana kwa sasa, Tumetangaziwa juzi kuna mikoa itakosa mvua mwaka huu which itapelekea uzalishaji mdogo wa chakula na hiyo inasababishwa na CC, CC inapelekwa kwa kasi na shughuli za binadamu za siku kwa siku, so wanataka angalau kujaribu kuzipunguza hizo shughuli kwa majadiliano, Marais wa nchi nyingi watahudhuria, Rais wa China hatohudhuria physically and ameshutumiwa sana kwa hilo! 2015-2021 tuliamua kujitenga na dunia kutokana na mawazo ya mtu mmoja tu aliyekuwa ANAPAMBANA VITA VYA KIUCHUMI
Alikuwepo, ila kiongozi Mkuu alikumbatia kila kitu, hamna aliweza kuinua mdomo! Hata huko upinzani ulipo kuna wengine walikimbia nchi! Balozi anaweza kuwakilisha nchi, ila hana impact kubwa ya kuweza kusikilizwa na akina Xi, Boris, Joe na wengineo! Akienda Hangaya mwenyewe at least wanaoiendesha dunia wanaweza kukaa naye chini!! Ni sawa na wewe kumtuma Son wako kwenye kikao serious cha wababa wa mtaa, atasikilizwa, lakini hawatamchukulia kwa uzito kama wewe mwenyewe ungekuwepoWakati tunaamua kujitenga na dunia kuanzia mwaka 2015-21 Samia alikuwa wapi? Hakunaliona hilo? Au alikuwa anafanya kazi kwenye serikali nyingine? Je huko anskokwenda hakuna ubalozi utuwakilishe?
Hatuwezi kurudi enzi za giza za Mwendazake aliyeifanya Tanzania kama kisiwa. Yule alikuwa hasafiri kwa sababu defibrillator aliyowekewa ilikuwa inamlimit kupanda Ndege kwa muda mrefu. Ukweli huu hakuusema ila alidanganya akasema anabana matumizi.Wakati tunaamua kujitenga na dunia kuanzia mwaka 2015-21 Samia alikuwa wapi? Hakunaliona hilo? Au alikuwa anafanya kazi kwenye serikali nyingine? Je huko anskokwenda hakuna ubalozi utuwakilishe?
Nikimuona mume wake ameambatana naye kwenye safari ya scotland nitahamia chademaAlikuwepo, ila kiongozi Mkuu alikumbatia kila kitu, hamna aliweza kuinua mdomo! Hata huko upinzani ulipo kuna wengine walikimbia nchi! Balozi anaweza kuwakilisha nchi, ila hana impact kubwa ya kuweza kusikilizwa na akina Xi, Boris, Joe na wengineo! Akienda Hangaya mwenyewe at least wanaoiendesha dunia wanaweza kukaa naye chini!! Ni sawa na wewe kumtuma Son wako kwenye kikao serious cha wababa wa mtaa, atasikilizwa, lakini hawatamchukulia kwa uzito kama wewe mwenyewe ungekuwepo
Hawa watu wajinga sana Mkuu, Joe anaongoza nchi yenye nguvu zaidi kiuchumi kwa sasa kuliko nchi nyingine yeyote, ila haachi kwenda nchi nyingine (hata kama maskini) kutafuta connections, Jana alikuwa Vatican, leo atakuwa Roma, then anaunga juu kwa juu kwenda kwenye huu mkutano wa CC, akitoka hapo I think ataenda kuonana na Queen! Ila hii mijamaa ya mwendazake wanataka rais aende Mbinga kutatua mgogoro wa ardhi wa wakulima wa kahawa, nini kazi ya waziri mkuu? waziri? Naibu waziri? Katibu wa wizara? wakurugenzi wa idara za wizara? RCs, DCs, DEDs? Tumeshatoka kwenye zama za ushamba na hatutorudi tena hukoHatuwezi kurudi enzi za giza za Mwendazake aliyeifanya Tanzania kama kisiwa. Yule alikuwa hasafiri kwa sababu defibrillator aliyiwekewa ilikuwa inamlimit kupanda Ndege kwa muda mrefu. Ukweli huu hakuusema ila alifanganya akasema anabana matumizi.
Nayo English ilikuwa ni mtihani mwingine
Wewe ni mjinga, Mume wa Samia anakuhusu nini kwenye maisha yako binafsi?Nikimuona mume wake ameambatana naye kwenye safari ya scotland nitahamia chadema
Wewe ni mjinga, Mume wa Samia anakuhusu nini kwenye maisha yako binafsi?
So sad, watu kama wewe ndiyo mnafanya CCM kionekane chama cha vilaza, and sidhani kama CDM wanaweza kukupokea kilaza kama weweNikimuona mume wake ameambatana naye kwenye safari ya scotland nitahamia chadema
So sad, watu kama wewe ndiyo mnafanya CCM kionekane chama cha vilaza, and sidhani kama CDM wanaweza kukupokea kilaza kama wewe
Mume wa Samia unamtaka wa nini?Nikimuona mume wake ameambatana naye kwenye safari ya scotland nitahamia chadema
Kabisa mkuu mama anapenda safari Sana aisee , kwamba hawezi wakilishwa , ni lazima yeye tu ,Haki ya nani airbus za mwendazake zitajuta kumfahamu!
You are sick mofo...