Rais Samia Suluhu kuhutubia Bunge Alhamisi Aprili 22, 2021
Akawape vipande vyao

Hasa wale darasa la saba..
[emoji3][emoji3][emoji3] Na kama hawajirekebishi, maana Samia alivunje tu hilo bunge. Uchaguzi uitishwe upya. Hakika watarudi wale wabunge wanaojielewa tu. Hao wasofanya tulichowatuma hawatorudi ng'o
 
Mh Spika Job Ndugai ameuhabarisha umma kupitia bunge kuwa Tarehe 22 April 2021 Mh Rais Samia Suluhu Hassani atalihutubia bunge ... Je tutarajie nini toka kwenye hotuba hiyo inayongojwa na wengi kwa matumaini?

Mfungo mwema
 
Mh Spika Job Ndugai ameuhabarisha umma kupitia bunge kuwa Tarehe 22 April 2021 Mh Rais Samia Suluhu Hassani atalihutubia bunge ... Je tutarajie nini toka kwenye hotuba hiyo inayongojwa na wengi kwa matumaini?

Mfungo mwema
kwani Leo taree ngapi?
 
Halafu waanze tena kujadili hotuba ya Raisi badala ya kukamilisha waliyoyaanza wakati Ilani yao ni ile ile.

Mama Samia, unda Tume Huru kisha vunja Bunge turudi kwenye uchaguzi kama kweli uko serious maana hili sio Bunge kabisa.
Mama yetu ana nia nzuri sana na Taifa hili lakini kuna watu walinogewa na ubabe wa Jiwe na walifaidika sana na udikteta na roho yake mbaya ya kutojali utu wa wenzake. Miongoni mwa wanaopanga kumkwamisha Samia ni huyu Job. Job ameunda kundi la wabunge wake wamshambulie Samia na Serikali yake ili aonekane anapwaya kwenye kiti.

Job anaonekana alikuwa miongoni mwa waliokuwa hawakubali Samia awe Rais. Walitamani awe hata Bashiru ili aendeleze uhuni wa serikali iliyopita. Walitambua wazi kwamba Samia hatakubali kuua watu na kuwapiga risasi.

Wanajua Samia hawezi kuwabeba kwenye uchaguzi kama alivyofanya mwendazake aliyeharibu kabisa ule uchaguzi wa 2020. Amesababisha Mungu afanye yake. Naomba Mungu afanye hake kwa yeyote anayepanga kumkwamisha Rais Samia.
Tunaiomba TISS imlinde Rais wetu Samia.

Job hana nia nzuri na Rais Samia. Hao wbunge wana kibali cha Spika kufanya wanayofanya ya kutomheshimu Rais Samia.
 
Alivunje kabisa tuanze upya!

Hata wewe Joni Johnthebaptist bunge lako tukufu la chama chako umeshindwa kulivumilia!

Huu uzalendo wako unastahili pongezi kupigania Hakika ya Maendeleo ya Watu, Siasa, Uchumi, Haki na Uhuru baada ya kuondoka mwendazake, sasa mambo haya muhimu kwa Taifa hayana uvyama!
 
Rais Samia, wewe tunakupenda kwa dhati kabisa. Kwa muda huu mfupi wa wewe kuwepo madarakani tunajisikia fahari kuitwa watanzania. Maana tulikuwa hatuna tofauti na wasomali na wakimbizi wengine.

Lakini kwa hawa watu unaofanya nao kazi kwa kuwarithi kutoka kwa Jiwe wana vimelea vya Jiwe na hawatakuheshimu na wakati wote wanapanga kukuangusha na kuendelea kumuimba yule aliyewapa vyeo.

Nakushauri kwa dhati kabisa, kwanza vunja baraza la mawaziri, Vunja bunge, maana wote niwatiifu kwa Mwendazake. Hawaoni kama kuna chochote wamepata kutoka kwako! Kama ni uwaziri walikuwa nao, ubunge walikuwa nao, ukatibu mkuu walikuwa nao, ukuu wa mkoa walikuwa nao, kila kitu walikuwa nacho hadi hayo magari wanayotembelea walikuwa nayo! Huna kitu kwao mama.

Vunjilia mbali, unda serikali yako utafika. Lakini kwa kuendelea na hili kundi la Mwendazake, kuna siku utashika mdomo tena kama ulivyoshika mdomo kinachoendelea bungeni. Uliwahi kuona wapi wabunge wa chama kilekile, na Rais aliyepo ni wa Chama kilekile na Bajeti imeletwa na serikalio ya Chama kile kile lakini wameamua kuendelea kumlilia Mwendazake na hawajadili bajeti ya kwenda kuwahudumia wananchi. Wanaendelea na ubinafsi wa kumkumbuka aliyewapa ulaji. Hawana shida na wanachi hii misukule ya Mwendazake.
 
Huko bungeni moja haikai wala mbili haikai.
Wabunge wengi hasa wale waliopita bila kupingwa hawana raha kabisa. Kuna redio mbao imewasambazia taarifa kuwa unavunja bunge alhamis ya tar 22.

FB_IMG_16177068210644910.jpg


Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Ni wakati Sabufa ajiuzulu Ile Jimbo lake nalo lipate mbunge mchapakazi. Wakati jpm anaendeleza kwao kwa kupeleka hospital, benki, veta, mbuga za wanyama, kiwanja Cha ndege, mataa ya barabarani, shule, mwalo, soko, hoteli ya nyota tatu nk.

Huyu Sabufa ambae nae Ni mkuu wa mhimili hajapeleka hata kisim Cha maji, shule zinahali mbaya sana isitoshe hata hela zilizopelekwa kwenye halmashauri ya kwao zimeota mbawa(ripoti ya CAG) msimamiaji wa hizo hela Ni mtu wa karibu sana na Sabufa.

KONGWA NI KWA KUPATIA UBUNGE TU; JAMAA NYUMBANI KWAKE NI SALASALA DAR ES SALAAM! BUNGE LIRUDISHE HESHIMA YAKE KWA KUMUONDOA HUYU MGOGO.
 
Back
Top Bottom