Pre GE2025 Rais Samia Suluhu kwenye hili la kuruhusu maandamano anahitaji sana pongezi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nakubaliana na wewe, akifanya vizuri tumpe pongezi na akikosea tumseme, kwa hili nampongeza sn Rais Samia
Kwenye maisha hatakama mtu ni adui yako still ana mazuri yake
Samia ana mapungufu mengi liko wazi ila kwenye hili la maandamano anahitaji pongezi

Swala sio haki au sheria ukweli ni kwamba katiba ya nchi hii inampa nafasi Rais kuwa dikteta na kumlinda
 
Ndo maana waliosema hekima ina nguvu hawakukosea
 
Kwahiyo unampa Samia Maua yake kwa kuheshimu KATIBA mbona kapeleka Miswaada feki Bungeni ili apore Uchaguzi?

Maza alipokuwa USA na EU amejitangaza kuwa yeye ni Progressive na Reformist ili Bakuli lijazwe mpunga kwa masharti ya kuruhusu Demokrasia ya kweli Nchini lakini kumbukeni huyu Mama ni mlaghai.
 
Huna HOJA.

Na Kwa taarifa Yako, Rais Hana mamlaka kuruhusu maandamano Wala kuzuia,

KATIBA ndiyo imetoa Ruhusa hiyo.
Kama hana mamlaka mbona Magufuli alipopiga marufuku mikutano na maandamano mbona wote tuliufyata?
 
Tanzania Rais anaweza asiifuate katiba na bado ashishtakiwe mahali popote yaani ikamlinda
Ndo maana nyerere alisema katiba hii inampa mamlaka Rais kuwa dikteta
 
Tanzania Rais anaweza asiifuate katiba na bado ashishtakiwe mahali popote yaani ikamlinda
Ndo maana nyerere alisema katiba hii inampa mamlaka Rais kuwa dikteta
Madikteta sasa hivi DAWA yao tunayo ni KUWAROGA tu wafe Midomo wazi.
 
Kama hana mamlaka mbona Magufuli alipopiga marufuku mikutano na maandamano mbona wote tuliufyata?
Uliufyata wewe!!

Askofu mwamakula aliandamana kumpinga.

Yalikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka.
 
Kama hana mamlaka mbona Magufuli alipopiga marufuku mikutano na maandamano mbona wote tuliufyata?
Exactly
Mara nyingi sana magufuli alikua anavunja katiba wazi-wazi yaan magufuli alikua anaifuata katiba anapojisikia au inaposuit his agenda
 
Uliufyata wewe!!

Askofu mwamakula aliandamana kumpinga.

Yalikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka.
Acha uongo aliandamana wapi
Maandamano ya mtu unayaita maandamano utafananisha na haya ya leo

Ndo maan nilikuuliza swali ni Rais yupi aliruhusu maandamano kama ya leo umeingia mitini hujanijibu
 
Acha uongo aliandamana wapi
Maandamano ya mtu unayaita maandamano utafananisha na haya ya leo

Ndo maan nilikuuliza swali ni Rais yupi aliruhusu maandamano kama ya leo umeingia mitini hujanijibu
Sasa nijibu swali lisilokuwepo?

Rais Hana mamlaka kikatiba kuruhusu au kuzuia maandamano.

Ruhusa hiyo imetolewa na Katiba.

Kwani una elimu Gani?
 
Sasa nijibu swali lisilokuwepo?

Rais Hana mamlaka kikatiba kuruhusu au kuzuia maandamano.

Ruhusa hiyo imetolewa na Katiba.

Kwani una elimu Gani?
Rais wa Tanzania yupo ya sheria hata nyerere alisema au mesahau
 
Tanzania ni sovereign state.. tunaweza kukunyonga hata hao unawaita balozi wasiisaidie familia yako
Au mnajisahau
 
Tanzania ni sovereign state.. tunaweza kukunyonga hata hao unawaita balozi wasiisaidie familia yako
Au mnajisahau
Punguza hasira usijevuruga maandamano ya Amani🙏
 
Rais wa Tanzania yupo ya sheria hata nyerere alisema au mesahau
Nionyeshe kifungu katika Katiba kilichoandikwa direct kuwa "Rais yupo juu ya SHERIA".

Kama hakipo ujue Nyerere alimaanisha, Rais anaweza kutumia mamlaka yake vibaya kama ambavyo wewe unavyoweza kutumia mamlaka Yako vibaya kumpiga mkeo wakati umeelekezwa kuishi naye Kwa akili..
 
Mkapa alivyotumi nguvu kubwa kule pemba kwenye yale maandamano 2002 alichukuliwa hatua gani za kisheria, kumbuka wale wanachama wa CUF walikua wanatimiza haki yao ya kikatiba

Au magufuli alivyokataza mikutano kinyume na katiba alichukuliwa hatua gani za kisheria
 
Alaumiwe kwa kupeleka "miswada feki" lakini apongezwe kushinda vishawishi vya kutaka maandamano yapigwe marufuku ili itokee vurugu.
 
Kwetu watanzania wengi tunaona kumuuliza mpinzani amejenga barabara au shule gani ni swali halali.
 
Nimekwambia hayo ni matumizi mabaya ya madaraka.

Ni kama tu Rc alivyoshindwa kujua mipaka yake na kuamrisha polisi 5000 na wanajeshi 8000 Kutoka kambini kuja kufanya usafi.

Mkapa pia alitubu Kwa kitendo Cha kuchukua pesa Serikalini kufadhili uchaguzi wa CCM, ni matumizi mabaya ya mamlaka.

Umeelewa?
 
Ni rais yupi wa Tanzania aliruhusu maandamano ya wapinzani bila usumbufu au matumizi ya nguvu kubwa kuzuia
Kikwete alijitahidi sana. Hadi pale alipoharibiwa na Kamhanda kwa kumwua Daudi Mwangosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…