Anajua kuwa akiendeleza ubabe wa mtangulizi wake Vikwazo vinafuatia Umoja wa Ulaya na Marekani zilishaweka wazi.Alaumiwe kwa kupeleka "miswada feki" lakini apongezwe kushinda vishawishi vya kutaka maandamano yapigwe marufuku ili itokee vurugu.
Vikwazo vipAnajua kuwa akiendeleza ubabe wa mtangulizi wake Vikwazo vinafuatia Umoja wa Ulaya na Marekani zilishaweka wazi.
Mimi nitampa Maua kidogo kwa haya Maandamano na sina uadui na Samia kama akiamua kubadilisha hii Nchi mimi nitakuwa wa kwanza kumpongeza.
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayopenda ccm labda kama ana-maslai nayoUjinga uliopo Tanzania ndo sababu ya CCM kuwepo madarakani kwa muda wote huu!
Na ndo maana hata hela za walipa kodi huitwa hela za Samia!
Na wewe pia humpendi samia wa ccm?Haya ndio mataahira yanayomfanya Samia nae ajione ni rais kweli kweli
Nguvu kutumika au kutotumika sio sababu ya kujisifu.Ni rais yupi wa Tanzania aliruhusu maandamano ya wapinzani bila usumbufu au matumizi ya nguvu kubwa kuzuia
Goldnessa mtoto wa mjomba yangu, kama hiyo DP picture ni wewe basi naomba namba zako.Haya matembezi ya leo yamefana,Nafurahi kuona kweli Demokrasia imekua nchini.Viva Mama Samia mpenda amani.
RC ni mteule wa Rais na tamko lake ni amri ya serikali kwa niaba ya Rais mwenyewe. Utasemaje Rais hakutoa tamko?Kauli ya wanajeshi hakutoa Rais
Nitajie Rais aliyeruhusu maandamano ya wapinzani bila bughdha yeyote ile nasubiria jibu
Maandamano ni swala la kikatiba, siyo kazi ya Rais kuandaa au kuruhusu maandamano.Ni rais yupi wa Tanzania aliruhusu maandamano ya wapinzani bila usumbufu au matumizi ya nguvu kubwa kuzuia
Lakini unaona alivyoijenga Rwanda sio kama CCM na kundi lenu la wezi.Vikwazo vip
Wakina kagame anaua watu na bado hakewi vikwazo
Marekani au nchi za western wanakuwekea vikwazo pale unapogusa maslai yao
Mimi siko ccm na rwanda bado iko kwenye kundi la nchi maskini sanaLakini unaona alivyoijenga Rwanda sio kama CCM na kundi lenu la wezi.
Maguful alikataza mikutano ya siasa ambayo ipo kikatiba na kumuondoa assad nje ya katibaMaandamano ni swala la kikatiba, siyo kazi ya Rais kuandaa au kuruhusu maandamano.
Umeshasikia CAG wa Rwanda akipuuzwa kama huyu wa hapa kwetu.Mimi siko ccm na rwanda bado iko kwenye kundi la nchi maskini sana
katika maandamo mengi huwa yanatokea sio hapa tu hata katika mataifa mengine yanatokea uvunjifu wa amani kuharibu mali za watu ni lazima uelewe kuna watu tofauti kuna wanaondamana wastarabu na kuna wasio wastaarabu nadhani utakuwa umenielewa na suala la wanajeshi ni kuhakikisha kwa wale ambao sio wastaarabu kushindwa kutekeleza kile kilichowapeleka pale ina maana kuna ambao hawapo hapo sababu ya maandamanoSema ameshindwa kuzuia maandamano baada ya Mbowe kumzidi ujanja Kwa kushirikisha UN na mabalozi wa USA na Uingereza.
Ikiwa alikuwa na Nia njema kuruhusu maandamano, why wanajeshi hawakujitikeza yalipotokea mafuriko, waje kufanya usafi siku ya maandamano ya CHADEMA?
Huna HOJA.
KAZI ya Jeshi ni kulinda mipaka ya nchi .katika maandamo mengi huwa yanatokea sio hapa tu hata katika mataifa mengine yanatokea uvunjifu wa amani kuharibu mali za watu ni lazima uelewe kuna watu tofauti kuna wanaondamana wastarabu na kuna wasio wastaarabu nadhani utakuwa umenielewa na suala la wanajeshi ni kuhakikisha kwa wale ambao sio wastaarabu kushindwa kutekeleza kile kilichowapeleka pale ina maana kuna ambao hawapo hapo sababu ya maandamano
Aliyempa case ya ugaidi Mbowe Kwa kutaka kuandamana,
Na aliyewakamata Dr Slaa, Mwabukusi na Mdude na kusema ni wahaini,
Ni nani tafadhali.
Hivi haya mafisadi yanayoiba sasahivi hayavunji katiba? Neno uvunjaji katiba mmelishikilia sana kwa magufuli mmeona ndio neno zuri la kumchafua mbona mafisadi yapo huru sasahivi je hiyo katiba haivunjwiKipindi cha Rais samia cha sasa kuna mambo mengi yamekua hayaendi sawa Kupanda kwa vitu bei ila kwenye suala la kuruhusu maandamano ameonyesha busara na hekima ya hali ya juu sana kitu ambacho marais waliotangulia walikosa
Kipindi cha magufuli kuna dada wa kitanzania anayeishi marekani sahivi ni billionaire kwa habari za umbeya alitishia maandamano nguvu ambazo magufuli alizitumia zilikua ni kubwa sana mixer ndege za kivita zilikua zinapita kwenye makazi ya watu alionyesha kutokua mstaarabu, kukosa busara na hekima kwa kiwango cha juu sana. Mara nyingi sana magufuli alikua anavunja katiba wazi-wazi yaan magufuli alikua anaifuata katiba anapojisikia au inaposuit his agenda
Maandamano ya 2002 kulikua na matumizi ya nguvu makubwa sana mpaka lipumba amavunjwa mkono na watu kadhaa kuuliwa baadae mkapa alisema lile tukio analijutia sana ila anasema alishauriwa vibaya
Katiba ya Tanzania inampa Rais option ya kutokuifuata na mda huo huo inampa hakikisho la kumlinda ashishtakiwe, yaan Rais wa Tanzania anaweza akawa dikteta na bado katiba ikamlinda sababu akiondoka madarakani ashtakiwi
Katiba inaruhusu maandamano lakin Rais anaweza zuia maandamano kwa utashi wake na still katiba ikaendelea kumlinda kushrakiwa hata baada ya
Kumaliza kipindi chake cha urais
Mnyonge mnyongeni ila kwenye hili Rais samia anahitaji pongezi sana