Rais Samia: Taasisi Zenye Idadi Kubwa ya Wanawake Zinafanya Vizuri sana na Kufanikiwa.

Rais Samia: Taasisi Zenye Idadi Kubwa ya Wanawake Zinafanya Vizuri sana na Kufanikiwa.

Umewahi kujiuliza kwanini kuna tuzo mbalimbali kwa watu wanaofanya vizuri katika maeneo yao ya kazi? Umewahi kujiuliza kwanini wanapewa tuzo kwa kazi wanazolipwa mishahara?
Kwahiyo hapa unaona tuzo mama samia ?...we jamaa kiboko , Yan apewe tuzo kwa kuidhinisha fedha zetu wenyewe na hiyo kazi ukimpa wenyewe hapo what's new ? Mama katika hili, mama katoa lile, jaman punguzeni huu upuusi, hatuwezi kufika
 
Mzee
Lukas kila siku nakwambia pesa sio za kwake ni za watanzania, utaelewa? Yeye anatekeleza jukumu analotakiwa kulifanya sababu kapewa kazi na watanzania sasa kwanini unasifia kila siku mama hivi mama vile Yan kama hela zinatoka mfukoni kwake wakati hata mshahara anaolipwa ni kodi za watanzania, run kwenu hata na aibu. Leo msifie hata Mamako mzazi basi, lakin kama wewe ni Abdul haina noma mwanangu we endelea kumsifia mamako...Lakin mnaharibu vijana nchi hii sababu saivi madogo hawataki kazi wanataka uchawa na wanaona machawa wanavyopewa publicity ila machawa wengi ni mashoga, sio wote ila wengi ni machoko. Acheni propaganda za kitoto anachofanya mama samia ndio kazi alotumwa kufanya ndio sehemu job attributes ya kazi aliyopewa sio nyie kuifanya ionekane kama anawonea huruma watanzania anaona awasaidie kwa hela zake mfukoni, Sawa mkuu. Machawa mnaharibu hii nchi kuna siku itakuwa kama kongo sababu hakuna nchi duniani ina chawa wanajua kusifia mabosi kama kongo....utayasikia "papa mukulu mutu ya watu, nazombe nangai, chew, mutu ya pesa mingi, solola bien, mutu ya suti kutoka parisi, mosi kitoko, elokote, raisi wa maraisi wote duniani ukuye mbele utomboke na mambo ya dollar " Yan bosi anasifiwa saa nzima. Lukas oneni huruma mtaani watu wana njaa kali punguzeni propaganda kwenye magroup yenu anaefanya kazi kazi inaonekana wala haiitaji kumsemea kila ukiamka.. Achenu hizo bwana
Mzee hapa umemaliza
 
Mzee

Mzee hapa umemaliza
Ngoja nkwambie kitu mdogo wangu, kuna kitu watu Hawajui, hapa duniani ukiwa mtu wakutubu sana inafika wakati watu wanakuona wewe uko weak na kweli wewe unakuwa weak, na utachelewa sana kufika, watu duniani hawaheshim weak people wanaheshimu strong people, mfano ZELENSKY kujikomba kote marekani maamuzi ya nini kifanyike kule anaitwa VP hivi kweli unadhani marekani vichaa ? Wamemwona ZELENSKY kama demu, wanaongea na Mwanaume Putin, ndio mana wale the strong ones will always win, hawa machawa watakuwa machawa mpaka mwisho hawana nafasi nyingine amini nakwambia...
 
Lukas kila siku nakwambia pesa sio za kwake ni za watanzania, utaelewa? Yeye anatekeleza jukumu analotakiwa kulifanya sababu kapewa kazi na watanzania sasa kwanini unasifia kila siku mama hivi mama vile Yan kama hela zinatoka mfukoni kwake wakati hata mshahara anaolipwa ni kodi za watanzania, run kwenu hata na aibu. Leo msifie hata Mamako mzazi basi, lakin kama wewe ni Abdul haina noma mwanangu we endelea kumsifia mamako...Lakin mnaharibu vijana nchi hii sababu saivi madogo hawataki kazi wanataka uchawa na wanaona machawa wanavyopewa publicity ila machawa wengi ni mashoga, sio wote ila wengi ni machoko. Acheni propaganda za kitoto anachofanya mama samia ndio kazi alotumwa kufanya ndio sehemu job attributes ya kazi aliyopewa sio nyie kuifanya ionekane kama anawonea huruma watanzania anaona awasaidie kwa hela zake mfukoni, Sawa mkuu. Machawa mnaharibu hii nchi kuna siku itakuwa kama kongo sababu hakuna nchi duniani ina chawa wanajua kusifia mabosi kama kongo....utayasikia "papa mukulu mutu ya watu, nazombe nangai, chew, mutu ya pesa mingi, solola bien, mutu ya suti kutoka parisi, mosi kitoko, elokote, raisi wa maraisi wote duniani ukuye mbele utomboke na mambo ya dollar " Yan bosi anasifiwa saa nzima. Lukas oneni huruma mtaani watu wana njaa kali punguzeni propaganda kwenye magroup yenu anaefanya kazi kazi inaonekana wala haiitaji kumsemea kila ukiamka.. Achenu hizo bwana
Aisee papa mukulu ha ha ha ha ha ha ha ha unafikiri vilaza huwa wanaelewa basi? Lukas ni kilaza ni vigumu yeye kuelewa jinsi inavyoenda.
 
Lukas kila siku nakwambia pesa sio za kwake ni za watanzania, utaelewa? Yeye anatekeleza jukumu analotakiwa kulifanya sababu kapewa kazi na watanzania sasa kwanini unasifia kila siku mama hivi mama vile Yan kama hela zinatoka mfukoni kwake wakati hata mshahara anaolipwa ni kodi za watanzania, run kwenu hata na aibu. Leo msifie hata Mamako mzazi basi, lakin kama wewe ni Abdul haina noma mwanangu we endelea kumsifia mamako...Lakin mnaharibu vijana nchi hii sababu saivi madogo hawataki kazi wanataka uchawa na wanaona machawa wanavyopewa publicity ila machawa wengi ni mashoga, sio wote ila wengi ni machoko. Acheni propaganda za kitoto anachofanya mama samia ndio kazi alotumwa kufanya ndio sehemu job attributes ya kazi aliyopewa sio nyie kuifanya ionekane kama anawonea huruma watanzania anaona awasaidie kwa hela zake mfukoni, Sawa mkuu. Machawa mnaharibu hii nchi kuna siku itakuwa kama kongo sababu hakuna nchi duniani ina chawa wanajua kusifia mabosi kama kongo....utayasikia "papa mukulu mutu ya watu, nazombe nangai, chew, mutu ya pesa mingi, solola bien, mutu ya suti kutoka parisi, mosi kitoko, elokote, raisi wa maraisi wote duniani ukuye mbele utomboke na mambo ya dollar " Yan bosi anasifiwa saa nzima. Lukas oneni huruma mtaani watu wana njaa kali punguzeni propaganda kwenye magroup yenu anaefanya kazi kazi inaonekana wala haiitaji kumsemea kila ukiamka.. Achenu hizo bwana
Rais wa awam hii angekuwa Man Luka angempelekea 071..... kumpongeza
 
480747542_1055623353038265_4808719976137802680_n.jpg
 
Back
Top Bottom