Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazana na andamana siku hizi ruksa, weka mabango kwenye kila mtaa, nadhani atasikiahamtawekwa ndani au kupotea.Kadamnasi gani ambayo watu hawaongei? Unatkaa waende ikulu kuongea? Huku kwetu watu wanaongea kila leo
Nafikiri umepatia nililokuwa nataka kulieleza kiundani.Sio kila jambo linatakiwa kuwa delegated.
Kuna mambo ambayo anapaswa kuyafanya yeye mwenyewe lakini hayafanyi anadelegate.
Na matatizo mengi awamu hii yanatokana na mapungufu hayo.
Delegation?Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Nimekuwa nikijiuliza sana.Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Anapenda safari kama kaka yake wa awamu ya 4, bila shaka tutasikia uwongo mwingi kila siku.Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Hata hivi anasikia, huoni kila mara anajibuKazana na andamana siku hizi ruksa, weka mabango kwenye kila mtaa, nadhani atasikiahamtawekwa ndani au kupotea.
Nina rafiki yangu huko Guinea anauliza kuwa Tanzania hakuna jeshi au wanajeshi hawana ndugu wanaoathirika na hali ngumu!!??Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
Hakuna deep state bongo kuna wahuni tu.Hivi Hao wanaoitwa Deep State ndio akina nani ??
Sio rahisi kiasi hicho Mkuu, serikali iko in control na kweli high alertPengine uko mwezini maana hujaona migomo ya daladala.
Ma V8 mnayoendeshwa na mafuta ya bure na ving'ora yanaweza kuwatokea puani!
Eee bwana eeeh Acha hizo !!!Hakuna deep state bongo kuna wahuni tu.
Mpanda ngazi kweli hashuki!Sio rahisi kiasi hicho Mkuu, serikali iko in control na kweli high alert
Naona mnaanza kumuelewa Magufuli.Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Hivi kwan tz tunangizaga mafuta urusi au nchi kiarab? Hii vita mbona inasingiziwa mnoIkulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.
Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Rais na Waziri husika nao kila siku wanakuja na majibu tofauti.
Kuna mambo Magufuli alifanya vema lakini yanafutwa na mengi aliyovurunda vibaya.Naona mnaanza kumuelewa Magufuli.
R. I. P Magufuli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Magufuli hana mabaya, acha upunguwani.Kuna mambo Magufuli alifanya vema lakini yanafutwa na mengi aliyovurunda vibaya.
Hakuna anayetamani arudi.
Acha wawepo tu ili tuwajue zaidi jinsi akili zao zilivyo.Ningekuwa Admini wa Jamii Forum ninge kuleftisha.
Wewe ni hasara kuwemo humu.
😂 😂 😂Kwani ameshaenda kwa Peter tena?