Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Tulia kidogo dogo. Uraisi Ni Taasisi. Mbona JPM alihamishia ikulu Chato, nyumbani kwake, Karibu na kaburi lake?
 
Ikulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.

Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Rais na Waziri husika nao kila siku wanakuja na majibu tofauti.
Mzee Makamba walimwambia Samia apumzi hasifanye kaz Sana isije kufika 2025 akawa amechoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na bado, ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.
 
Tulia kidogo dogo. Uraisi Ni Taasisi. Mbona JPM alihamishia ikulu Chato, nyumbani kwake, Karibu na kaburi lake?
JPM hawezi na hajawahi kuwa mfano bora wa uendeshaji wa taasisi ya urais.
 
Kwa wale fuata mkumbo na watu wa kujazwa chuki bila kutumia akili zao nataka muelewe hivi,

Rais wa JMT ambaye ndiye Amiri jeshi mkuu, kila siku ya Mungu anapewa daily briefing ya nchi nzima na ndio sababu ofisi zote za serikali asubuhi uanza na vikao, Polisi kuna morning call, Usalama wa Taifa hivyo hivyo then repoti zote za hali ya nchi zinafika kwa Rais.

Msimchukulie powa mama kwakuwa kaamuwa kuwarudishia Uhuru sasa mnataka kumpanda kichwani.

Naona mmeshasahau alivyowaonesha demo tu kwa Freeman Mbowe mlikuwa mnalialia humu.

Mnachokitaka mtakipata tu, Mungu huwa anajibu maombi, tuendelee kuomba kwa bidii turudishwe kwenye utawala wa kishetani Mungu atajibu maombi.

Mkiona kuna weakness kwenye utawala tumieni na nyinyi hizo weakness kupiga pesa na kuboresha maisha yenu na siyo kuwa na ulalamishi usiokuwa na kikomo.
Na wewe uache mambo yako, huyo mama na kuishia barabarani kila siku hizo briefing anazifanyia kazi saa ngapi, kuna mambo tuwe realistic tu jamani.

Matokeo yake tutayaona baada ya miaka kadhaa, kuna ufisadi mkubwa mda huu, watu wanajikamulia ty, maza hauz hajui hata abc za nchi yake..
 
Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
nasapoti mtoto wa mzee mwinyi anayefanya kazi ni husein mwinyi Zanzibar tu ,huyu wa bara hapana tumepigwa
 
nasapoti mtoto wa mzee mwinyi anayefanya kazi ni husein mwinyi Zanzibar tu ,huyu wa bara hapana tumepigwa
Hussein Mwinyi kweli anafanya kazi.
Anatembelea ahadi za Ilani sliyotoa.

Sisi tunchomwomba mama , the least she can do ni kutekeleza Ilani kwa mikoani zilixoahidiwa.
 
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Siku hizi tuna digital offices blaza
 
Hussein Mwinyi kweli anafanya kazi.
Anatembelea ahadi za Ilani sliyotoa.

Sisi tunchomwomba mama , the least she can do ni kutekeleza Ilani kwa mikoani zilixoahidiwa.
Huyu hawezi kwani hakunadi yeye ndo Mana wanamzurulisha duniani wao wanaandaa mkeke 2025
 
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Si mlisifia anaupiga mwingi? Si mlisifia CCM mnayoitaka imerudi, tena na neema zake ndogo ndogo na zile kubwa?
Sasa shida iko wapi? Maana waswahili wana usemi wao...lakuvunda huwa halina ubani!
Tumuache Mama afanye kazi anavyoona inampendeza maana tulimpa moyo hivi ndivyo kazi inavyotakiwa.
After all, kama tuna machozi, kila mtu atajililia mwenyewe kwa wakati wake muafaka!
 
Si mlisifia anaupiga mwingi? Si mlisifia CCM mnayoitaka imerudi, tena na neema zake ndogo ndogo na zile kubwa?
Sasa shida iko wapi? Maana waswahili wana usemi wao...lakuvunda huwa halina ubani!
Tumuache Mama afanye kazi anavyoona inampendeza maana tulimpa moyo hivi ndivyo kazi inavyotakiwa.
After all, kama tuna machozi, kila mtu atajililia mwenyewe kwa wakati wake muafaka!
Tulimsifia na tutendelea kumsifia, maana tulikotoka utumwani Misri hakuna anayetaka kurudi.
Uungwana ni kukosoa pale tunapoona panahitaji kukosolewa.
Bahati nzuri mama si kama yule jamaa aliyetamka wazi wazi kuwa hakosolewi wala hashauriki, kama inavyostahili uongozi wa umma.
 
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Anafungua nchi mkuu na anatafuta wawekezaji.
 
Back
Top Bottom