Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Matokeo ya utaratibu wa sasa ni baada ya muda tutajikuta kuna viongozi ambao wamefanya mambo ya ajabu na baadaye kujiuliza ni kwa nini hatukuliona kosa toka mwanzo.
Watza hawajahi kuwa na akili za kuwaza hayo.
 
Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nimeishi Zanzibar 2019 huyu ni Mzanzibar halisi kabisa yaani wale wavivu wa kufanya kazi kama kuna chakula ndani hafanyi kazi tena kuzalisha zaidi ya kula na kusikiliza taraabu. Over
Your browser is not able to display this video.
 
Ila tuseme ukweli JPM alikuwa anapitia mafaili mengi sana,nilishangaa siku aliposema TLS ni ya serikali,na imesajiliwa kama taasisi ya serikali.
 
Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
Mamlaka fulani inakamua watu kodi ili wengine wale maisha.
 
Na tunajua kila ngazi ya malipo ina kiwango,tunategemea kuna miradi mikubwa anatakiwa aidhinishe malipo hivyo ni lazima akae ofisini asome kuanzia mwanzo wa tender,washindani wa hiyo tyenda hadi kazi zilizokamilika na malipo yadayodaiwa.
 
JPM alipokaa Charity miezi 2 kazi zake alikuwa anazifanyaje? Kazi za urais unaweza kuzifanya umwambie Chato au Charlotte, Dodoma au Doneski, Arusha au Aruba. Information Highway inaruhusu ufanyie kazi popote. Mambo ya I Magufuli ya kujifungia ndani hayana nafasi katika awamu hii. Acha mama apige kazi!
 
JPM au Mwendazake alikua ni Rais wa Ovyo kuwahi kutokea TZ... Alituaminisha kua miradi yote ni fedha za ndani yani kodi zetu kumbe muongo wakutupwa
..JPM ndo Rais alieongoza kukopa zaidi ya Mkapa+JK kwapamoja... Ni Rais aliewaibia matajiri wengi fedha zao Bank kwakuwapa kesi za uhujumu uchumi... Ni Rais katili kuwahi kutokea ndani ya miaka yake 6 watumishi walijuta hakuna madaraja wala hakuna kuongeza mishahara yeye akili yake ilikua ni machinga wasiguswe utadhani ni mzalendo kweli mwisho wamachinga wakawa na viburi wakawa wananga mpaka migagani kwenye Barbara... Achilia kikosi chake cha Mamluki alichokiunda kuua,kutesa na kupoteza watu... SHH sio mzuri sana ila ukimlinganisha na JPM ni bora Mara 700

Mungu wetu anamakusudi na waTZ aya yanayoendelea Duniani hayakwepeki...Russia ni mzalishaji No 2 wa Mafuta Duniani baada ya Saudi hivo bei zitapanda tu na zinaweza kufika ata 4000TSh... Watu wamesahau sakata la Sukari JPM aliikuta shngap na ikawa shngap
 
Kuna vitu vinachekesha sana humu ila naogopa kucheka sina mwanasheria mie
 
Unapapasa
 
Watanzania tunalalamika mno mpaka tunakuwa vituko fulani hivi. Magufuli alipokuwa anashinda nchini tulipiga kelele tukisema hajui kingereza na anaogopa kwenda huko nje, kumbe ule ulikuwa ni unafiki mtupu.

Hatujui tunataka nini, tupo kama mlevi anayetembea pembeni ya barabara akiona mwanga wa gari pombe zinamrudia kichwani anaanza kuchanganyikiwa.
 
Nchi ni yetu, watu ni wetu, viongozi ni wetu.
Tusiporidhika, viongozi wetu ni haki yao kuelewa mrejesho wetu.
 
Akikaa maneno,akisafiri maneno,akinya maneno,ngulumbili taabu sana
 
Akikaa maneno,akisafiri maneno,akinya maneno,ngulumbili taabu sana
Inaelekea unatuambia uko nje, pengine India.
Huko Modi akinya au kuharisha uharo wa dengu la pilipili una haki ya kulalamika.
Ndio matumizi ya kura yako huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…