Watza hawajahi kuwa na akili za kuwaza hayo.Matokeo ya utaratibu wa sasa ni baada ya muda tutajikuta kuna viongozi ambao wamefanya mambo ya ajabu na baadaye kujiuliza ni kwa nini hatukuliona kosa toka mwanzo.
Magufuli hana mabaya, acha upunguwani.
Sabaya kaachiwa na mahakama.Dah...... Kuna nchi zaidi ya 3 wangependa Mama akawaongoze 🤣🤣🤭
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
Mkuu nimeishi Zanzibar 2019 huyu ni Mzanzibar halisi kabisa yaani wale wavivu wa kufanya kazi kama kuna chakula ndani hafanyi kazi tena kuzalisha zaidi ya kula na kusikiliza taraabu. Over
Mamlaka fulani inakamua watu kodi ili wengine wale maisha.Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
JPM alipokaa Charity miezi 2 kazi zake alikuwa anazifanyaje? Kazi za urais unaweza kuzifanya umwambie Chato au Charlotte, Dodoma au Doneski, Arusha au Aruba. Information Highway inaruhusu ufanyie kazi popote. Mambo ya I Magufuli ya kujifungia ndani hayana nafasi katika awamu hii. Acha mama apige kazi!Ikulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.
Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Rais na Waziri husika nao kila siku wanakuja na majibu tofauti.
UnapapasaHili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Watanzania tunalalamika mno mpaka tunakuwa vituko fulani hivi. Magufuli alipokuwa anashinda nchini tulipiga kelele tukisema hajui kingereza na anaogopa kwenda huko nje, kumbe ule ulikuwa ni unafiki mtupu.Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Nchi ni yetu, watu ni wetu, viongozi ni wetu.Watanzania tunalalamika mno mpaka tunakuwa vituko fulani hivi. Magufuli alipokuwa anashinda nchini tulipiga kelele tukisema hajui kingereza na anaogopa kwenda huko nje, kumbe ule ulikuwa ni unafiki mtupu.
Hatujui tunataka nini, tupo kama mlevi anayetembea pembeni ya barabara akiona mwanga wa gari pombe zinamrudia kichwani anaanza kuchanganyikiwa.
Very sexy.Alisikika akisema "Ukinikuna na mimi nitakukuna huku nakupapasa"
Akikaa maneno,akisafiri maneno,akinya maneno,ngulumbili taabu sanaHili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.
Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.
Tulia kidogo mama.
Inaelekea unatuambia uko nje, pengine India.Akikaa maneno,akisafiri maneno,akinya maneno,ngulumbili taabu sana