Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Nafikiri hata mama akiwasoma humu hawaelewi anawashangaa tu. Kwake mambo ni mazuri ila tatizo ni vita Ukraine na Urusi!

Nyerere aliyeisuka hii nchi alisema CCM ikiyumba nchi itayumba. CCM imetoka kwenye misingi ya kuandaa viongozi wenye maono na uwezo wa kutuongoza zama hizi za dunia iliyojaa hila za kila namna.

CCM imechoka, CCM inahitaji mtifuano wa reformation maana bado hatuna chama mbadala kilicho tayari kushika dola kwasasa.
Kila njia ninayoona imebaki naona watu wengi hawaitaki! Sijui mimi ndo nina tatizo!
Anyway, labda tutathubutu siku moja kudhamiria.
Ila kiukweli watanzania tumeshatekwa zaman na kikundi cha wenye akili na maarifa katika mission yao!
 
Nchi ni yetu, watu ni wetu, viongozi ni wetu.
Tusiporidhika, viongozi wetu ni haki yao kuelewa mrejesho wetu.
Kuna Dr Mpango, kuna Majaliwa, kuna Makala kwa mkoa wa Dar. Hao wote ni wazoefu wenye elimu za kutosha tu. Nadhani unamuona Kassim Majaliwa anavyochakarika kila kukicha.

Sio kila kitu kifanywe na rais upo mgawanyo wa madaraka unaoshuka mpaka chini. JPM ndio alitaka afanye yeye kila kitu, awamu imeshabadilika.
 
Kuna Dr Mpango, kuna Majaliwa, kuna Makala kwa mkoa wa Dar. Hao wote ni wazoefu wenye elimu za kutosha tu. Nadhani unamuona Kassim Majaliwa anavyochakarika kila kukicha.

Sio kila kitu kifanywe na rais upo mgawanyo wa madaraka unaoshuka mpaka chini. JPM ndio alitaka afanye yeye kila kitu, awamu imeshabadilika.
Ni kweli kabisa kuna kina Dr Mpango Makamu wa Rais,Majaliwa Waziri Mkuu na Makala Mkuu wa Mkoa, MMM.

Lakini wakati huu uchumi unapokuwa una hitilafu na unaweza kuparaganyika kuanzia ngazi ya familia hadi kitaifa, ndio kiongozi wa juu anatakiwa kuwa mstari wa mbele kutatua, si mbadala wake.

Rais Ronald Reagan aliwahi kusema, "Ultimately, the buck stops at the President"
Muwajibikaji No.1 ndio anaonekana wakati wa fracas, siyo second fiddle.
 
You can’t be serious
Oh yes, I am serious.
Dont belittle the office of the President.
Digital officing is only a solution to information management that includes information conveyance, access , data storage and retrieval.
Critical and strategic decision making is something else my brother!
 
Oh yes, I am serious.
Dont belittle the office of the President.
Digital officing is only a solution to information management that includes information conveyance, access , data storage and retrieval.
Critical and strategic decision making is something else my brother!
Ooh and you think she has to in Chamwino kuwa effective?

Na yote uliyosema can’t be done akiwa remote?

Wa wapi wewe?
 
Ooh and you think she has to in Chamwino kuwa effective?

Na yote uliyosema can’t be done akiwa remote?

Wa wapi wewe?
Search my posts for your propositions.
You seem to be on another planet altogether.
 
Ni kweli kabisa kuna kina Dr Mpango Makamu wa Rais,Majaliwa Waziri Mkuu na Makala Mkuu wa Mkoa, MMM.

Lakini wakati huu uchumi unapokuwa una hitilafu na unaweza kuparaganyika kuanzia ngazi ya familia hadi kitaifa, ndio kiongozi wa juu anatakiwa kuwa mstari wa mbele kutatua, si mbadala wake.

Rais Ronald Reagan aliwahi kusema, "Ultimately, the buck stops at the President"
Muwajibikaji No.1 ndio anaonekana wakati wa fracas, siyo second fiddle.
Muwajibikaji namba moja anayemtegemea kila mmoja wetu kwa mchango wake. Vita ya Ukraine na Russia imekuja wakati mbaya na tukubali tu.
 
Elewa mada kabla ya kujibu.
Urais siyo pure delegation of powers, kuna kusimamia sera, consistence na perseverence.
Kwa mfano tu ni suala la kupandisha bei ya nafuta.
Kila kiongozi anaongea lake.
Waziri Mkuu anasema watafanya kila njia kuipunguza bei ya mafuta.
Mtu anajiuliza LATRA, EWURA, Waziri Mkuu ni serikali ile ile au?
SOMETIMES AKILI YAKO INAJITAMBUA,THANKS FOR THIS REPLY
 
Samia mnamuonea tu kumuuliza maswali magumu hivi.... ye ni mama shughuli... harusi, vikoba, kitchen party na kisomo.... mambo ya sirikali akuuuu hayajui hata hivyo atakwambia urais ni taasisi wapo wanaofanya kazi ye kutia siginecha tu zinduzi na uzungu fulani aaah ndio mahali pake... anamwita waziri jina kwa kufupisha... Mwanangu Inno yaani anabembeleza... then utegemee huyu atatulia kupitia madodoso na taarifa za kaguzi,
Tumepigwa na kitu kizito kichwani
Nina rafiki yangu huko Guinea anauliza kuwa Tanzania hakuna jeshi au wanajeshi hawana ndugu wanaoathirika na hali ngumu!!??
Nikamwambia ngoja nitawauliza wahusika.
Iko haja ya ku-imitate western afrikan countries
 
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Anaandaa filamu nyingine maana Royal Tour haikupata kiki kabisa bora kumtazama Kingwendu
 
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Niliwahi uliza hili swali.
Leo mama yuko Doha , Qatar.
 
Nyie chawa wake mtaelewa tu baadae
Mie namuunga mkono mama, apunguze tu Airmiles!
Paka asiokuwepo panya wanarandaranda mitaani!
Juzi aliwalalamikia wakuu wa Wilaya kutofanya kazi!
Paka hayupo!!
 
Zile ripoti alizokuwa anapewa Magu za bandarini, airport, mirerani, na migodini hivi Mama rais siku hizi anapewa?
 
Back
Top Bottom