Watu wamewekewa mipira ya gase ila hawana ndugu, hebu angalia alicho anzisha mwenzake huko uganda kwa sababu ya $£€ 👇🏾ningependa atuambie hao wagonjwa wamelazwa hospitali zipi? familia zao wameziweka karantini?
Kabsahapana,
ingeanzia dar ili kuwaokoa watu wote wa dar es salaam kwanza
Kaka ujielimishe kabla ya kuandika.Hayo machanjo hayana faida yoyote ile zaidi ya kuharibu tu mfumo wa DNA.
Kwanza hakuna mtu anayeugua corona — mna viherehere tu vya kushabikia machanjo ya ajabu ajabu
Sidhani mtu yeyote alichanjwa juice ya miwa na kupata hati ya chanjo; pamoja na hayo sina uhakika ni gramu ngapi za juisi hiyo zinazotosha kumwua mtu ukizingiza kwenye damu moja kwa moja.Watapewa vyeti kama wa yellow fever wanavyopewa. Kwani ulishasikia Mtanzania karudishwa/ kuzuiwa kuingia nchi flani kwa vile amejichanja yellow fever kwa kutumia juice ya miwa ya kipemba iliyochanganywa na ndimu?
Mkuu upo!! Hvi ikitokea Chanjo ya Covid ikadaiwa kama yellow fever kila unaposafiri nje je una maoni gani juu ya hilo? Au upo radhi waTZ tusiwahi safiri nje?
Unajua tatizo ndio linakuja hapo mnaposema covid ipo na inaua sana,maana wengine wanajaribu kulinganisha na huko kwa wenzetu hali inakuaje pale inapokuwa covid inawauwa sana, mfano kwa wenzetu tunasikia hospitali kujaa wagonjwa wa corona na uhitaji wa mitungi ya gesi kuzidi na wengine hadi sehemu za kuhifadhi maiti kujaa maiti. Tumeona India huko kuni za kuchoma maiti ziliisha na kulikuwa na wingi wa mazishi, yani ni vitu ambavyo viko wazi unaona kweli hapa hali haipo sawa ila huku Tanzania sijui ni hali gani inayoonesha kuwa sasa mambo hayako sawa sana sana utaambiwa madaktari ndio tu huko ndio wanajua uhalisia wa corona.Covid -19 ipo sana na inaua. Tuwaige jirani zetu wa Kenya ambao leo wametangaza kuwa ifikapo Oktoba, 2021 watakuwa wamechanja wananchi wao millioni 10 na ifikapo mwaka kesho Oktoba 2022 watakuwa wamechanja wananchi wao millioni 26. Kama chanjo ni kitu kilichopendekezwa na watalaam kwa nini sisi Tanzania tusichukue hatua za haraka?. Kila kukicha watu wanakufa tena nguvu kazi ambao wanategemewa. Inabidi tuamke na kuchukua hatua za haraka sana.
Wanatoa fedha wanawezesha au wanakopesha..ebu tuweke waziMimi nina mwezi na nusu tangu nichanje full. Naendelea kuvaa barakoa kwani najua chanjo si kinga asilimia 100. Ila ukichukua chanjo ukajumlisha barakoa, distancing , kujisanitize au kunawa unakaribia kabisa kujikinga kwa asilimia 100.
Dunia ina lengo la kuukomesha ugonjwa huu. Katika lengo hilo ndipo zinakuja hatua mbalimbali ikiwemo kutoa fedha ili kuziwezesha nchi masikini ( Afrika) . Hata Ulaya zipo nchi zimewezeshwa kifedha ili kupigana na covid 19.
Wanaoona hizi fedha ni mtego ni wivu wao tu unawasumbua. Mbona hapo awali hawakusema ni mtego au kwavile zilichukuliwa kimyakimya zikawekwa mifukoni mwa miungu yao!
Mama endelea kuupiga mwingi. Unafanya kazi inayoonekana, siyo blabla tulizokuwa tunaimbiwa na wale watesaji.
Sidhani mtu yeyote alichanjwa juice ya miwa na kupata hati ya chanjo; pamoja na hayo sina uhakika ni gramu ngapi za juisi hiyo zinazotosha kumwua mtu ukizingiza kwenye damu moja kwa moja.
wazee wa legasi mnateseka mkiwa wapi?Wameweka ndoano ya hela hatimaye kanasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa masikini ni sawa na [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
huko ulaya wanapigwa chanjo, legasi tupa kule weka chanjoKirusi lini kiliondoka?
Takwimu zinasaidia nini?
Huko Ulaya kwenyewe walishaanza kuachana na huo ujinga maisha yaendelee kama kawaida.
Ujinga mtupu, kujitia mwanasayansi kumbe uchwara tu!Kaka ujielimishe kabla ya kuandika.
1. Hakuna chanjo inayoathiri DNA yako...