Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

Wewe ni mbwiga.

Taasisi kama IMF haiwezi kuidanganya dunia ili kumfurahisha Magufuli.

Wawekezaji wa level ya dunia wanatumia data za IMF na WB.

Ututusa wako wapelekee Bavicha wenzio!
Wala hawakudanganya ila ukweli ni kwamba mwaka 2020 uchumi ulikuwa taabani na ndio sababu za kuchukua mkopo wa covid 19..

Ila nyie hamuwezi kujua kwa sababu sio wafuatiliaji ila wachumi wanafahamu kilichokuwa kinaendelea.
 
Mkuu najua ww ni mtu wa facts, naomba unisaidie Tz tuliwekwa lini uchumi wa Kati na tulishushwa lini
 
Uongo una mwisho wake. Yule mkuu wa waongo alipoondoka ghafla 17 March 2021, mambo yote yakawa hadharani. Ni vigumu kuongopa siku zote na usigundulike. Unaweza fanikiwa kwa kipindi kifupi tu. Na ndicho kilichotokea.
Tanzania haikujitangaza kuingia uchumi wa kati. World Bank kwa kutumia vigezo vyao walitutangaza. Sasa kama World Bank wanaona tumeboronga kiuchumi wakatuondoa kwenye hiyo hadhi ni pathetic.
 
Wala hawakudanganya ila ukweli ni kwamba mwaka 2020 uchumi ulikuwa taabani na ndio sababu za kuchukua mkopo wa covid 19..

Ila nyie hamuwezi kujua kwa sababu sio wafuatiliaji ila wachumi wanafahamu kilichokuwa kinaendelea.
Mkuu Kuna sehemu unachanganya sana, Tz iliingia uchumi wa Kati July 2020. Na pia naomba kueleweshwa ni lini tumeshushwa?
 
Afadhali angeminya,aibu tupu.
 
Eti tukarudishwa kwa uwezo wa Mungu hilo sio kweli bhana tulirud sababu ya uzembe wa serikali yako, kwaiyo unataka kusema kwamba Mungu anaupendeleo wengine awafikishe uchumi wa juu sisi Tz ndo atushushe, sio kweli kurudi chini sababu ya wewe pamoja na watendaji wako mmeshindwa kusimamia pesa za maendeleo afu unamsingizia Mungu acha zako
Asante maana amekubali tulikuwa uchumi wa Kati na Sasa tumeporomoka , mama bila kuwa mkali sahau Hilo utakuwa unasikia tu kwamba tulikuwa uchumi wa kati , jiulize wap wewe una kwama je Rai wako wanataka nn? Je ili nifike hapo natakiwa ni fanye nn Sasa endelea kubembeleza utaona , saiv watakusifia sana lkn ukitoka hapo utajionea mwenyewe ,mfano unao tena ujue Kuna kuulizwa je ulivokuwa kiongoz uliwasaidia vip ulio waongoza Asante mama.
 

Weeh labda wewe ndii ulirudi dolla 80 na ukoo wako
 
Ko aliwacommand bank ya Dunia au? Em punguza chuki ndugu au alijitangaza mwenywe
 
Imenigusa kama Baby kaniambia "Baby kuanzia leo mi na wewe Tusijuane tena"
 
Ila watu😂😂😂
Ko ye aliporomosha ndo tukawa uchumi wa kati au unamaanisha Nini vingine muwe mnakaa kimya haviwekeki chuki ko aliepiromosha ndo 2katangazwa kua uchumi wa kati basi tulikua matajiri sana
 
Ila watu😂😂😂

Ko ye aliporomosha ndo tukawa uchumi wa kati au unamaanisha Nini vingine muwe mnakaa kimya haviwekeki chuki ko aliepiromosha ndo 2katangazwa kua uchumi wa kati basi tulikua matajiri sana
Unless unajua kinachoitwa growth at decreasing rate,pili kilele cha kuanguka uchumi kilikuwa kuanzia 2020 hadi mwanzo wa 2021 ..

Sisi tulio jikoni ndio tunakueleza hutakai Bakia na unachokiamini..

By the way Mei ya mwaka Jana Rais alisema hili la uchumi kuanguka ila hamkuelewa leo karudia tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…