Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Magu alitudanganya. Tz haijawahi kuingia uchumi wa kati.Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka?
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
It needs update maza keshasema hatupo huko tena sasa ni lower income country tu.
Sasa mimi ntajuaje hayo majibu anayo Mwigulu na Mama aliyetoa taarifa.Mimi nauliza how much uchumi wetu uli contract
Ila mkuu Mara nyingi mnatuwekea post kuwa mama anaduwaza wachumi kwa jinsi uchumi unavyokua, lakini kumbe Hali ni tofautiHakuna statement mpya
Raisi kajichanganya, bado hatujashushwa japo uchumi wenyewe ni hewa tu hakuna reflection mtaaniAisee watu wasiri sana humu, kumbe tulishaanguka kutoka ule uchumi wa kati chini?
Sijapenda kwa kweli.
Asante, mzee wangu.
Pumbavu wewe!!Ulidanganywa kuwa uchumi wako umekuwa na yule kichaa. Na wewe kwa akili yako, ukapiga makofi.. pwa, pwa, pwa... wakati ukweli ni kuwa kipato chako bado kiko pale pale.
Unafikiri World Bank wanatoa wapi takwimu zao. Wanatumia takwimu zinazotoka hapa hapa Tanzania. Takwimu hazitoki makao makuu ya World Bank Marekani.
Yule kichaa IMF walimwambia kuwa takwimu zake ni feki. Akakasirika na kuwazuia IMF kuchapisha takwimu zao zilzoonyesha kuwa uchumi unakuwa kwa kiwango kidogo.
Endelea kudanganywaIt needs update maza keshasema hatupo huko tena sasa ni lower income country tu.
Hali ni tofauti kiaje? Do you have a proper functioning mind?Ila mkuu Mara nyingi mnatuwekea post kuwa mama anaduwaza wachumi kwa jinsi uchumi unavyokua, lakini kumbe Hali ni tofauti
Kwa hiyo? Kwani haupai? Kujenga Uchumi sio sawa na kula kiporo..Jaman mbona tulikubaliana mama anapaisha uchumi
Mm nimekujibu in a polite language wewe umekuja kunishambulia, sio poa.Hali ni tofauti kiaje? Do you have a proper functioning mind?
Ilichukua miaka 59 kufika uchumi wa Kati wa chini , Mwendazake akaharibu then unataka mwaka 1 irudi ilikokuwa,una akili sawasawa lakini?
Kubomoa ni simple kujenga je?
Mataga huwa hayana kumbukumbu,mama kasema na yenyewe yamegeuka Kama mazuzu.Jaman mbona tulikubaliana mama anapaisha uchumi
Wewe kwa akili yako kama kisoda JPM wako ndio aliifikisha Tzn kwenye uchumi wa Kati?Mwenye uchumi wake mnamsimanga kila siku ,kaona isiwe tabu ngoja niondoke nao.
Haya sasa mama amekiri kuwa uchumi ule wa kati umeporomoka?
Je bado kuna shaka na uwezo wa utendaji wa JPM?
Hapo ndio sielewi.View attachment 2176513
“Tanzania yetu ilikwenda tukafika uchumi wa kati tukarudishwa, kwa uwezo wa Mungu wala si uwezo wa mtu, sasa hivi kazi yetu ni kupambana kurudi tulikokuwa tusije tukarudishwa tukaambiwa hamfai tena kukaa hapa, tupambane turudi kule.
“Na kwa mipango na jinsi ninavyoiendesha Serikali nina imani tutakapofika 2025 kama hatujafika tutakuwa tunakaribia, kwa sababu tunatarajia mwaka ujao tutakwenda kukua kwenye asilimia 5 na pointi, miaka miwili inayokuja tutakwenda kufika kwenye 6.8 tuliyokuwa kabla,” Rais Samia Suluhu Hassan.
Amesema hayo leo Aprili 5, Dodoma katika Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) katika Ukumbi wa Hazina Jijini Dodoma.
Technically tuko vizuri kuliko ilivyokuwa miaka 6 iliyopita..Mm nimekujibu in a polite language wewe umekuja kunishambulia, sio poa.
Mm nachosema nyie hapa kila Mara mmesema Sasa hivi kiuchumi tupo vizuri na mama anaduwaza wachumi. Sasa hivi unasema tena haiwezi kuchukua muda mfupi kurudisha uchumi sawa. Sasa tushike lipi? Uchumi upo vizuri au bado?
Mkuu kwa hiyo sasa hivi kiuchumi tupo vizuri?Technically tuko vizuri kuliko ilivyokuwa miaka 6 iliyopita..
Muulize yeye to kuanzia mfanyabiashara,fundi kujenga hadi mtu wa ofisini utapata majibu..
Kudhihirisha hilo Bunge hili la bajeti salary zinaenda kuleee [emoji3516][emoji3516][emoji3516]