Rais Samia: Tuna ‘crisis’ ya umeme, tunafanya ukarabati wa mashine

Daah,aisee
 
Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tena

Maharage alisema ishu ni maji Leo Samia amasema mitambo

Hamna Rais hapo ni kilemba tu

USSR
Sisiemu hoyeee......
 
Inamaana ukarabati wa mitambo Huwa unafanyika miezi ya kiangazi tu( Sept, Oct na Nov ?) Yaan haiwezagi kufanyiwa ukarabati mwezi wa febr, march na Aprl. Kwa Sababu Kila ikifika kiangazi kikali ndio Huwa tunaona mgao na hii inamaanisha ni kukosekana kwa mvua kujaza mabwawa so uzaliahaji wa umeme unapungia.
 
Hizi hotuba zisizo na matumaini kwa nchi zinaandikwaga pale Msoga. Mzizi wa tatizo bado haujatatuliwa kwa sababu 2015-2021 hakukua na tatizo la umeme. Lakini 2021-2023-tatizo lipo na linazidi kuwa sugu. Kuna mahali hapako sawa. Mda utaongea
 
Mimi naacha kumlaumu Rais Samia ni wazi hayupo huru kwa tulipofika sioni haja tena ya kuendelea kumsema Samia kuwa anapelekeshwa sijui remote, kinachotakiwa ni kudeal na hao wanampelekesha hivi Rais wanatudharau sana.
 
Daaah watanganyika tunasafari ndefu marehemu YY alikua anawasha tu bila kuifanyia service mitambo. Ona anatesa watu saizi.
 
Na pesa za ukarabati atakuwa alichukua!
 
Muongo sana huyu mama. Tuliishi na mgawo wa siku 14 kupisha ukarabati wa mitambo. Mwislamu gani muongo huyu.
Mwislam gani dunia hii siyo muongo au nini kinamfanya mtu yeyote mwenye dini asiwe muongo?

Wote ungaunga mwana tu zaidi anajua aliyetuumba
 
kama ni kweli hii ni hatari sana
 
Bora angekaa kimya, kafungua mdomo ndio pumba za kutosha zimetoka. Alooh nchi imepata hasara kubwa kwa huyu kizimkazi kuokota uraisi.
 
Makamba alisema hivyo hivyo tangu ateuliwe yeye anasema Leo tena

Maharage alisema ishu ni maji Leo Samia amasema mitambo

Hamna Rais hapo ni kilemba tu

USSR
Tuambie Sasa ukweli wa huu mgao ni upi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…