Rais Samia: Tundu Lissu ni mdogo wangu tu, mimi ni Rais na ni dada yake

Rais Samia: Tundu Lissu ni mdogo wangu tu, mimi ni Rais na ni dada yake

Hapa mama ameeleweka vizuri tatizo ni pale atakapokutana na mizimu ya CCM iliyotukosesha katiba mpya kipindi cha Kikwete aliyeonyesha utayari wa kutuletea katiba mpya katika utawala wake, mizimu ya CCM ilipotia miguu yao tu kila kitu kilisambaratika hapohapo.
Na ndio maana tunawaambia Chadema Diaspora na Watanzania wote kuwa watulie na mambo mazuri yanakuja.

Haina haja ya kutaka "kumlazimisha" Mheshimiwa rais
 
Binafsi na kwa Umri wangu huu sijawahi kuona Rais mnyenyekevu na mpole kama huyu (She is so simple ever).

Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa.




===
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.

Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.

Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.
CHADEMA is the most destroyed political institution in Tanzania political history. God gives his hardest battles to his strongest soldiers. We’re strong, they fear us, they won’t fight us in fair ground. Stay strong mzee Freeman Mbowe, they’ve destroyed U indeed. #MboweSioGaidi
 
Lakini nao CCM wasiingilie mambo mazuri yenye manufaa kwa nchi kwa sababu ya kulinda maslahi yao ya kiutawala.
Huwezi jua, pengine Mama analijua hilo na ndio maana akawaambia tangu kipindi kile apewe muda.

Niliwahi kuleta uzi humu kumshauri Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu Hassan kwamba asiuanzishe mchakato huu mpaka atakapopata watu sahihi wa kuusimamia.

Najua ushauri wangu umepokelewa kutokana na usikivu wa Mama.

Tuweni na subra wakuu.
 
Binafsi na kwa Umri wangu huu sijawahi kuona Rais mnyenyekevu na mpole kama huyu (She is so simple ever).

Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa.




===
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.

Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.

Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.
Ama kwa hakika haya ni maneno mazuri mno na pia ya muhimu sana kutoka kwa "Comforter in Chief" mwenyewe. Licha ya Rais wetu kuwa ndiye "Commander in Chief" kwa majeshi yetu yote ya ulinzi na usalama hapa nchini, lakini hili la kuleta faraja kwa wananchi wake mbalimbalu wanaopitia katika mitihani migumu ya maisha ni la kutia moyo sana.

Aliyemtangulia yeye hakuwa "emotional" bali "materialist", katika misafara yake alitembea na fedha taslimu, na kuamua kumpa yule amtakaye, na aliamini kuwa akifanya hivyo hapo ndipo ataleta faraja. Alimaua kwa makusudi kuvunja katiba na sheria mbalimbali za nchi ili kutoa faraja kupitia "leeway" alizoziweka kwa baadhi ya wateule wake na makundi lengwa ya kimkakati ili apate kufaidika kisiasa.

Faraja haitolewi kwa ajili ya kupata fadhila, bali hutolewa kwa ajili ya kuonyesha kuguswa na tatizo la mtu ama hali ngumu anayoipitia. Faraja inabeba zaidi hisia kuliko muonekano wa vitu. Ndiyo maana watu husema, "tunahitaji msaada wa hali na mali" na wala siyo "mali na hali", kwa kuwa hali inabeba mguso wa kihisia zaidi.
 
Yaani ukitaka kuthibitisha kuwa watu Ni Misukule.

Kumbe masuala ya TOZO, UFISADI, RUSHWA, UKOSEFU WA AJIRA, siyo TATIZO Kabisa.

Tatizo Ni Mbowe, Lissu, Lema na Heche hawapewi CHAKULA wanavyotaka.

Ukiwapa wao hutasikia kelele.
Sisi tusio na chama wala undugu haki zetu tutazipatia wapi?? Waliokimbia Tanzania wako wengi na wako Marekani Ulaya na nchi nyingine je waanze kushika mabango UN,EU na kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania duniani kote ndio raisi ajue shida iliyopo Tanzania??
 
P
Ni vyema sasa taifa letu hili la Tanzania likaongozwa na maraisi wajinsia KE, maana mama kaupiga mwingi hadi basi 2025 tunaenda na Mama yetu Samiah Suluhu Hassan..

Na ahakikishe akiondoka atuletee mwingine wa jinsi Ke kama yeye, hakika wanawake wanaweza wakiwezeshwa..
Praise team isije ikawa watu wanapiga fweza kisawasawa !!?? Ohoo !! Natania tu !
 
Sisi tusio na chama wala undugu haki zetu tutazipatia wapi?? Waliokimbia Tanzania wako wengi na wako Marekani Ulaya na nchi nyingine je waanze kushika mabango UN,EU na kwenye ofisi za ubalozi wa Tanzania duniani kote ndio raisi ajue shida iliyopo Tanzania??
Ndio uwe mwanasiasa sasa ili ndio uweze kusikilizwa unapodai haki zako.
 
Rais mnyenyekevu,
Rais Mpole,
Rais msikivu
Rais mpenda watu wake wote,
Rais Msikivu
Rais Mtulivu
Rais mchamungu
Rais mahiri
Rais Shupavu
Rais Jasiri
Binafsi na kwa Umri wangu huu sijawahi kuona Rais mnyenyekevu na mpole kama huyu (She is so simple ever).

Kwa unyenyekevu mkubwa nawaomba na kuwasihi watanzania wote wanaopenda amani, utulivu na ustawi wa mtu mmoja mmoja tumuungeni mkono Rais wetu kwani ni hakika anatupenda sana kama Taifa.

<<<Msikilize hadi Mwisho >>>



===
Mimi ni dada tu kwa Tundu Lissu kwa hiyo kama anakuja kwangu mimi anakuja kwa dada yake, kwa hiyo kama ana shida kama ana nini atakuja kusema kwa dada yake. hakuna tension ya kisiasa kati yangu mimi na Tundu Lissu haipo kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, Rais wake katoka Tanzania kaja kwa hiyo anakuja kumuona.

Tunapokuja kwenye swala la ubinadamu Tundu Lissu mimi ni mdogo wangu tu kwa atakuja tutazungumza, hivyo mimi siwezi kusema sijui anakuja na nini anakuja kuna hili au kuna lile siwezi kusema mpaka nimsikilize kwa hiyo anakuja kumuona dada yake, lakini anakuja kwenye jambo la kirafiki kabisa, kama unakumbuka Tundu Lissu alilazwa Nairobi na mimi nilikwenda kumuona katika hali ya kirafiki kabisa maana Tundu Lissu ni mdogo wangu.

Tunapokuja kwenye swala la kisiasa, huku sasa ni upande wa kazi, yeye atasema ya kwake na mimi nitasimama kwenye chama changu.

Jizi la kura fullstop.
 
Tuache sifa nyingi wala hazihitaji kama mnavyohisi sio sawa na yule aliepita. Huyu ndie Rias anaeitendea kazi nafasi yake kwa busara na utashi unaotakiwa ni wajibu wake kwani kila mtanzania ni wake mpinzani na wanaotoka kwenye chama chake.

Huyu ndie Rais tunamtegemea. Watu kama hawa wapo ila mihemko ya kisiasa inapelekea kupata Rais mbovu na kilitesa Taifa zima. Tusirudie makosa kama yale tena.

Kulikuwa kuna shida kwenye system iliyompata Rais asiejua Taifa hili watu wote ni wake bila kubagua watokapo.
Walituletea Rais kichaa, mbaguzi, mwizi, muuaji, mtekaji muonevu roho mbaya.

Ahsante Mungu
 
Rais mnyenyekevu,
Rais Mpole,
Rais msikivu
Rais mpenda watu wake wote,
Rais Msikivu
Rais Mtulivu
Rais mchamungu
Rais mahiri
Rais Shupavu
Rais Jasiri
Dada
JamiiForums629110865.jpg


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
60 milioni wanasiasa wote eh kweli bongo kuna kazi haki zinatafutwa kwa mtu mmoja mmoja??
Sasa mtu kama mie nisie mwanasiasa au kuwa na hadhi yeyote ile naweza vp kupata nafasi kama aliyopata Lissu na kueleza malalamiko yangu? Au nikiwa na kesi kama ya Mbowe unafikiri ni nani ataenda kuniombea kwa rais ili niachiwe huru?
 
Back
Top Bottom