Rais Samia: Tutaendelea kukopa tumalizie miradi inayoendelea

Rais kaamua kuzima maneno maneno yaliyokuwa yameanza kurushwa kutokea katikati ya nchi
hajazima isipokuwa ni kama ile ya TMK wanaumeeee, "Migambo wanaruka na kukanyagana" Repeat Chorus
 
Ndugai ana point tatizo haaminiki hasa ikizitangatiwa ana mgombea wake 2025. ..Mama siyo mbaya kukopa tatizo anapeleka zenji halafu wadanganyika ndio wanalipa. ...way forward bunge liwe linajadili aina ya mkopo na namna ya kulipa ikiwemo masharti ndio tukope. ..ila sasa hakuna Bunge kwahiyo tuendelee na chukua chako mapema hadi siku wadanganyika wazinduke. ...
 
Ukiona mtu hamuungi mkono ajuwe sio mtanzania.Bila kukopa hakuna maendeleo.Makabila mengi ukienda kuchumbia, utaulizwa una madeni? ukisema huna madeni,huthaminiwi. Wanasema huyu, atakuja mlaza na njaa mtoto wetu, akiwa hajui kukopa.
Hakuna tajiri, wala mfanyabiashara mkubwa asiye kopa. Hakuna maskini wala mfanyabiashara mdogo, asiyekopa, binadamu anayejitambua lazima akope.
 

Tokea maviongozi ya ccm yameanza kukopa hizo pesa tumefaidika na nini zaidi ya kupata sifa ya highly indebted poor country.
Mara elfu 200 tungeendelea kutambulika kama poor country isiyodaiwa.

Yaani ma CCM bwana yameshindwa kuongoza nchi bado maskini sana ila yameiongezea na madeni
 
yeye ni 'mkojani' hivyo hata akiuza Tanganyika yoote hana hasara……….
 
Wananchi tunamuunga mkono Rais wetu.
 
Wanaparurana wao kwa wao. Acha mvua iendelee kunyesha tupajue panapovuja..
 
Divide and rule, akishikwa anakimbilia kwa legacy ya Magu (RIP) kusema anamaliza miradi huku Serikali yake inazima umeme, Magu akisifiwa anakuja kuchonganisha Magu aonekane mbaya na kwamba matatizo yakitokea siyo Awamu yake.

Pitting people against each other, …
 
Reli ya umeme itakamilima 2050. Hadi leo kipande cha Dar to Pugu hakijakamilika
 
Nimepita mbagala naona watu wamepiga usingizi maana hakuna kinacho endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…