Rais Samia: Tutaendelea kukopa tumalizie miradi inayoendelea

Remote zimeishiwa betri nini.naona mama kama aeleweki yuko Chanel gan vile
 
Nalimpiga mchungaji na kondoo wakatawanyika.
 
hukuandika vizuri sana huu uzi ulihitaji umakini ili tutiririke vyema kwa vile amemgusa mtu mmoja nyumba kubwa pale dodoma., ukweli ni kwamba mama hakuanza yeye kukopa ni kama vile mama wanajaribu kutaka kumtupia paka wa uso, timu kiroboto tunaielewa fika tutawasambaratisha mapema iwezekanavyo., mama go mama go

Mtu mmoja yeye alikuwa anavamia maduka ya kubadilisha hela na kuzichukua kwa nguvu zote ni bora kukopa kuliko wizi
 
Hapa ndiyo Samia ajue kuwa hawa akina Mbowe anaowaundia zengwe la kuwafunga jela hawana madhara kwenye himaya yake kuliko hili genge linalompinga ndani ya Chama na Serikali yake. Kauli ya Ndungai haikutoka kama ajali, it was a calculated move ya kumkabili mama hadharani,hawa Sukuma Gang wakimtumia Polepole kama mouthpiece yao wamejipanga sana. Wewe mwache ahangaike kumfunga Mbowe jela huku mchwa ukiutafuna utawala wake mdogo mdogo.
 
JF imevamiwa aisee, ndio uandishi gani?
 
Za tozo hazitoshi kujenga kujenga madarasa bora? Au wazo la tozo kwenye miamala lilikuwa fyongo?
 
moto wanaopelekeana maaccm unaashiria mwisho wa enzi, kama huamini tukutane 2025
 

Menyewe kwa menyewe wallahi 😁😁
 
Ndugu ai anaanza kampeni za kijifagilia kuwa yeye anafaa kuwa raisi wakati kazi anayofanya mama tunaiona hakika nchi imeanza kuwa tamu.
 
Naona wanajibizana Kama wamama wa taarabu
 
Madeni hatujawahi kuweza kuyalipa ya ndani yametushinda ya huko nje hadi huwa tunapiga kelele wabeberu wayasamehe/wayafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…