Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itapunguza ukiritimba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.
 
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itaunguza ukiritomba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.
Ukirit*mba
 
Elimu ina mambo mengi sana kumpa mtu mmoja asimamie msingi na sekondari tunarudi tulikotoka.

Mtaala wa elimu msingi na sekondari ni tofauti hata kimiundo.

Walioanzisha hivi walifanya kutokana na challenges zilizojitokeza awali kumrundikia mtu mmoja majukumu ya level mbili za elimu ni kurudisha urasimu.
 
Mbo
Elimu ina mambo mengi sana kumpa mtu mmoja asimamie msingi na sekondari tunarudi tulikotoka.

Mtaala wa elimu msingi na sekondari ni tofauti hata kimiundo.

Walioanzisha hivi walifanya kutokana na challenges zilizojitokeza awali kumrundikia mtu mmoja majukumu ya level mbili za elimu ni kurudisha urasimu.
mbona Afieaelimu mkoa anasimamia Elimu msingi na Elimu sekondari tena mkoa mzima na anaweza.
Isitoshe utakuta idara ina maafisa wengine zaidi ya kumi na waratibu Elimu Kila kata juu.
Tufike mahali tone aibu, bora Hata idara moja ingekuwa kitengo ndani ya Halmashauri
 
Mbo

mbona Afieaelimu mkoa anasimamia Elimu msingi na Elimu sekondari tena mkoa mzima na anaweza.
Isitoshe utakuta idara ina maafisa wengine zaidi ya kumi na waratibu Elimu Kila kata juu.
Tufike mahali tone aibu, bora Hata idara moja ingekuwa kitengo ndani ya Halmashauri
Afisa elimu mkoa anahusika na mambo ya sera tu!!

Huyu hupelekewa ripoti tu ya nini kinaendelea huko chini.

Afisa elimu msingi na sekondari wanahusika na mambo yote ya utawala na sera katika halmashauri usione ni jambo jepesi.
 
Tatizo ulaji na kwa mama huyu makada wanateuliana tu,wanajazana huko eti halmashauri.
 
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itapunguza ukiritimba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.
Ni nzuri lakini haitoshi,lazima wafumue mitaala tuwe na elimu yenye specialization kuanzia Chini huku.
 
Suluhisho ni serikali za majimbo
Elimu ina mambo mengi sana kumpa mtu mmoja asimamie msingi na sekondari tunarudi tulikotoka.

Mtaala wa elimu msingi na sekondari ni tofauti hata kimiundo.

Walioanzisha hivi walifanya kutokana na challenges zilizojitokeza awali kumrundikia mtu mmoja majukumu ya level mbili za elimu ni kurudisha urasimu.
 
Mama ashughulike kwanza ma maafisa elimu waliohusika kutafuna fedha ya madarasa ya COVID19 endapo akifanya hayo mabadiliko.haraka kutakuwa na teua tengua ambayo inakwenda kuficha ushahidi wa ufisadi uliofanyika
 
Afisa elimu mkoa anahusika na mambo ya sera tu!!

Huyu hupelekewa ripoti tu ya nini kinaendelea huko chini.

Afisa elimu msingi na sekondari wanahusika na mambo yote ya utawala na sera katika halmashauri usione ni jambo jepesi.
Utawala na sera?
Wakuu wa shule Za msingi na sekondari wanahusika na nini?
Wakuu wa shule wazaidizi wanahusika na nini?
Waratibu Elimu kata wanahusika na nini?
Mtendaji kata anahusika na nini?
Wataaluma msingi na sekondari wanahusika na nini?

Mafisa Elimu vifaa na takwimu msingi na sekondari wanahusika na nini?mratibu wa Elimu ya watu wazima, kilimo, ufundi, sanyasi Mimi, vielelezo, Utamaduni, na Elimu maalumu wanahusika na nini?
Mkurugenzi na afisa utumishi wanahuska na nini?

Muundo wa elimu ndani ya Halmashauri ni mbovu na unatakiwa kufumuliwa na kuundwa upya Ili kuweza kusimamia mitaala na taaluma nchini.
 
Back
Top Bottom