Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

Kua wawili siyo vibaya, ila input na output yao ipoje?
 
Haiwezekani kuwa na mkuu wa idara mmoja kudili na shule zote za msingi na sekondari kwa wakati mmoja. Idara ya elimu ni idara sensitive Sana, Ni idara iliyosheheni takwimu. Haiwezekan kabisa.

Hitaji Ni maboresho ya mazingira ya shule, stahiki za walimu. Utashangaa idara inaunganishwa lkn mahitaji ya watumishi Ni ile ile,na Hakuna maboresho ya msingi.

Tanzania haina uhaba wa walimu kwa kiwango kinachotakiwa. Kuna tatizo ktk mgawanyo wa walimu Kati ya mijini na vijijini kwenye halmashauri za wilaya. Wimbi la walimu kuhamia mijini Ni kubwa sana. Walimu wamelundikana mijini, wengine wanafundisha hadi vipindi 8 tu kwa wiki yenye vipindi 40.Hawana kazi.

Lkn bado tunatoa matakwimu makubwa makubwa ya upungufu wa walimu. Wakati Hawa waliopo wangegawanywa evenly huko vijijini elimu ingeboreka Sana.
 
Sishauri hili wazo kutekelezwa kwake,kikubwa hapa ni watu kuwajibika,kila siku watu wanalalamika kuhusu ajira lakini hapo hapo hao hao watu wanashauri kuminywa upatikana wa nafasi za ajira
 
...hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

NB:Nakuunga mkono Sana Kwa hili, Bora umeliona maana ni kweli linapinguza Sana Walimu mashuleni. Wengi wamekimbilia kuwa Wasaidizi ofisi za Utumishi, Wahasibu wasaidizi, Ustawi wa Jamii, Maafisa Ugavj na kuachana na Ajira mama ya Ualimu.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Acha wivu fanya kazi
 
Kua wawili siyo vibaya, ila input na output yao ipoje?
Mfano meru Dc. Fuatilia output ya afisaelimu sekondari umeone uwezo mdogo alionao wa kusimamia elimu.

Na mshahara analipwa 3.8 milion plus garri , simu na kulipiwa nyumba ya kuishi , japo analala nyumbani kwake.

Cha kufurahisha na cha kushangaza wakuu wote wa idara ndani yahalmashauri wanalipiwa kodi ya nyumba, maji na umeme japo wanaishi nyumbani kwao au nyumba walizojenga.
 
Sishauri hili wazo kutekelezwa kwake,kikubwa hapa ni watu kuwajibika,kila siku watu wanalalamika kuhusu ajira lakini hapo hapo hao hao watu wanashauri kuminywa upatikana wa nafasi za ajira
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
Baada ya rais jiwe kuindoka Naona akili zimeanza kurudi
 
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itapunguza ukiritimba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.
Hivi kile kitabu cha " Chitemo mimi masikini uvivu wangu nyumbani".. bado kipo... vitabu vya vina nyimbo mpaka za kina diamond
 
Ukiwa na utapiamlo wa akili ukaona kauli kama hizi sijui mara tutafanya mageuzi ya Polisi mara tutafanya mageuzi kwenye elimu mara bandari ya Dar es salaam hivi na kadhalika unaweza kufikiri kuwa Tanzania ina Rais.
 
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itapunguza ukiritimba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.
Hata nafasi ya maafisa Elimu kata haijulikani Wana kazi Gani?
 
Comment nyingi zinaonyesha muundo wa uongizi katika elimu ila sio Sera ya elimu!tatizo letu kwenye elimu liko kwenye Sera,kwa mfano Sera ya lugha ya kufundishia ni kizungumkuti,mtoto anasoma kwa kiswahili miaka 7 halafu gafla lugha inabadilika kwenda kidato cha kwanza.kusema ukweli watoto wanachanganywa sana

Siku tukimpata Rais atakaechukua maamuzi magumu atangaze lugha moja ya kufundishia atalisaidia sana taifa kielimu.lugha ya kufundishia iwe moja either kingereza ama kiswahili tusiogipe!
 
Wapi wewe unatetea ugali eee? Sasahivi inaitwa "elimu msingi" watoto wanasoma mpaka kidato Cha nne mazingira Yale Yale. Walimu wanaosimamia mitihani ya Taifa wanabadilishana wa msingi kusimamia sekondari na WA sekondari kusimamia msingi. Halikadhalika, Kuna walimu wengi wametolewa sekondari wakarudishwa msingi kufundisha kujaribu kukabiliana na uhaba na wanafundisha tu bila shida na wengi wao ni walimu wakuu. Kuna mwingiliano mkubwa Sasa Kati ya sekondari na msingi kwahiyo kuwa chini ya boss mmoja hakuna shida kabisa isipokuwa kinachotakiwa ni Hawa wakuu wa idara kufuatiliwa kwa makini maana wamekuwa chanzo Cha migogoro kwenye shule hizo kwa kuteua wakuu wa shule kirafiki, kimapenzi, Hali inayopelekea kupata wakuu wasio na uwezo na kusababisha migogora mashuleni.
Ndugu miaka 12 iliyopita nilifikia ngazi ya mkurugenzi wa idara wizara ya mambo ya nje kabla sijahamia kwenye international organization.

Nimetoa maoni kama mdau wa governmental operations and administration. Nimeshiriki kwenye public sector reforms nyingi sana so nimezungumza kwa experience.

Kuniambia natetea ugali ni argument ya kitoto ungeweza tu kupinga mawazo yangu.
 
Ndugu miaka 12 iliyopita nilifikia ngazi ya mkurugenzi wa idara wizara ya mambo ya nje kabla sijahamia kwenye international organization.

Nimetoa maoni kama mdau wa governmental operations and administration. Nimeshiriki kwenye public sector reforms nyingi sana so nimezungumza kwa experience.

Kuniambia natetea ugali ni argument ya kitoto ungeweza tu kupinga mawazo yangu.
Hao ndoo members wa JF sasa ninao wajua
 
Kichwa cha habari,kinaonesha SAMIA ndio kasema.Kwenye maelezo unatoa maoni yako.uandishi gani huu??
Kiongozi hii nyuzi nimwisoma three times na commentaries wote

Frankly speaking ni wewe tu nimekuelewa

Yaan nilikuwa na mkanganyiko wa kimawazo sana kati ya mtoa kauli na aliejazia sauti kwenye huu wimbo

Aiseh jamaa katuweza kweli tunajadili mawazo na maoni yake badala ya kauli ya mtumishi mkuu wa utumishi Tanzania

Sasa hebu hili tuliache, sasa Kwan Rais alisemaje?
 
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itapunguza ukiritimba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.
Nakubaliana na hoja yako tena Afisa Elimu asimamie masuala ya elimu yote kuanzia chini mpk juu
 
Mama ashughulike kwanza ma maafisa elimu waliohusika kutafuna fedha ya madarasa ya COVID19 endapo akifanya hayo mabadiliko.haraka kutakuwa na teua tengua ambayo inakwenda kuficha ushahidi wa ufisadi uliofanyika
Pesa zimeliwa na kamati za kata wala Afisa Elimu hahusiki
 
Back
Top Bottom