Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.
Unaonaje ukiwataja hao nane. Mimi kitu nataka afanye ni kulitazama hili lugha kufundishia from pre primary to hígher levels
 
"Hao wengine wakale wapi" - alisikika Kada mmoja Wa CCM
Huyu hapa 👇👇👇
Elimu ina mambo mengi sana kumpa mtu mmoja asimamie msingi na sekondari tunarudi tulikotoka.

Mtaala wa elimu msingi na sekondari ni tofauti hata kimiundo.

Walioanzisha hivi walifanya kutokana na challenges zilizojitokeza awali kumrundikia mtu mmoja majukumu ya level mbili za elimu ni kurudisha urasimu.
 
Mbo

mbona Afieaelimu mkoa anasimamia Elimu msingi na Elimu sekondari tena mkoa mzima na anaweza.
Isitoshe utakuta idara ina maafisa wengine zaidi ya kumi na waratibu Elimu Kila kata juu.
Tufike mahali tone aibu, bora Hata idara moja ingekuwa kitengo ndani ya Halmashauri
Ndugu unafananisha majukumu ya afisa elimu mkoa na wilaya.. ?? Deo's yeye ndo mwenye Shule na anatakiwa kuziangalia Kwa ukaribu sana..REO ni just supervisors tu. Ipi idara Hpo iwe kitengo??
 
Elimu ina mambo mengi sana kumpa mtu mmoja asimamie msingi na sekondari tunarudi tulikotoka.

Mtaala wa elimu msingi na sekondari ni tofauti hata kimiundo.

Walioanzisha hivi walifanya kutokana na challenges zilizojitokeza awali kumrundikia mtu mmoja majukumu ya level mbili za elimu ni kurudisha urasimu.
Wapi wewe unatetea ugali eee? Sasahivi inaitwa "elimu msingi" watoto wanasoma mpaka kidato Cha nne mazingira Yale Yale. Walimu wanaosimamia mitihani ya Taifa wanabadilishana wa msingi kusimamia sekondari na WA sekondari kusimamia msingi. Halikadhalika, Kuna walimu wengi wametolewa sekondari wakarudishwa msingi kufundisha kujaribu kukabiliana na uhaba na wanafundisha tu bila shida na wengi wao ni walimu wakuu. Kuna mwingiliano mkubwa Sasa Kati ya sekondari na msingi kwahiyo kuwa chini ya boss mmoja hakuna shida kabisa isipokuwa kinachotakiwa ni Hawa wakuu wa idara kufuatiliwa kwa makini maana wamekuwa chanzo Cha migogoro kwenye shule hizo kwa kuteua wakuu wa shule kirafiki, kimapenzi, Hali inayopelekea kupata wakuu wasio na uwezo na kusababisha migogora mashuleni.
 
Ndugu unafananisha majukumu ya afisa elimu mkoa na wilaya.. ?? Deo's yeye ndo mwenye Shule na anatakiwa kuziangalia Kwa ukaribu sana..REO ni just supervisors tu. Ipi idara Hpo iwe kitengo??
Ndugu unafananisha majukumu ya afisa elimu mkoa na wilaya.. ?? Deo's yeye ndo mwenye Shule na anatakiwa kuziangalia Kwa ukaribu sana..REO ni just supervisors tu. Ipi idara Hpo iwe kitengo??sh
Yataje hapa majukumu ya DEO’s kama yana tofauti na mratibu elimu kata.

Ukimaliza onyesha kiwango cha Elimu Kati ya DEO’s na mratibu Elimu kata.

Ukimaliza onyesha kiwango cha mishahara Kati ya DEO’s na waratibu elimu kata?

Mfumo wa Elimu ni mbovu ndani ya Halmashauri ni wa kufumuliwa.
 
Wapi wewe unatetea ugali eee? Sasahivi inaitwa "elimu msingi" watoto wanasoma mpaka kidato Cha nne mazingira Yale Yale. Walimu wanaosimamia mitihani ya Taifa wanabadilishana wa msingi kusimamia sekondari na WA sekondari kusimamia msingi. Halikadhalika, Kuna walimu wengi wametolewa sekondari wakarudishwa msingi kufundisha kujaribu kukabiliana na uhaba na wanafundisha tu bila shida na wengi wao ni walimu wakuu. Kuna mwingiliano mkubwa Sasa Kati ya sekondari na msingi kwahiyo kuwa chini ya boss mmoja hakuna shida kabisa isipokuwa kinachotakiwa ni Hawa wakuu wa idara kufuatiliwa kwa makini maana wamekuwa chanzo Cha migogoro kwenye shule hizo kwa kuteua wakuu wa shule kirafiki, kimapenzi, Hali inayopelekea kupata wakuu wasio na uwezo na kusababisha migogora mashuleni.

CDBF5C2D-3308-4F8B-BCCE-D5EA9597C0C6.jpeg
 
Afisaelimu msingi na afisaelimu sekondari ndani ya Halmashauri ni sawa na. Cheo cha afisajilimo na afisa mifugo ndani ya Halmashauri.

Ninashukuru sasa Samia ameunganisha vyeo vya afisamifugo na afisa kilimo kuwa idara moja.
 
Ndugu unafananisha majukumu ya afisa elimu mkoa na wilaya.. ?? Deo's yeye ndo mwenye Shule na anatakiwa kuziangalia Kwa ukaribu sana..REO ni just supervisors tu. Ipi idara Hpo iwe kitengo??
MAJUKUMU YA AFISAELIMU WA MKOA

Kuwakilisha Wizara ya Elimu na Utamaduni katika ngazi zote za kielimu katika Mkoa.

Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo, katika Elimu ya Awali na Msingi, Sekondari, Mafunzo ya ualimu, Elimu ya Watu Wazima na Vituo vya ufundi Stadi.

Kuwa Mshauri Mkuu wa Katibu Tawala wa Mkoa kuhusu mambo ya Elimu.

Kushughulikia upanuzi wa elimu ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Ufundi, Elimu ya Watu Wazima, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu.

Kusimamia maslahi ya walimu.

Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini Mitihani ya Darasa la Nne na la Saba, Kidato cha Nne na cha Sita, Mafunzo ya Ualimu pamoja na Mitihani ya Ufundi katika Mkoa wake ukishirikiana na Baraza la Mitihani Tanzania na Wizara ya Elimu na Utamaduni.

Kufuatilia utekelezaji wa taarifa za Ukaguzi wa Shule na Vyuo.

Kusimamia utekelezaji wa kazi za Maafisaelimu wa Wilaya, waliopo katika Mkoa wake.

Kuratibu na kuchambua Takwimu za Elimu katika Mkoa kwa ajili ya mipango ya Maendeleo katika Ngazi za Wilaya, Mkoa na Taifa.

Kusimamia na kuendesha uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza katika Mkoa wake.

Kuratibu na kusimamia uhamisho wa wanafunzi wa Elimu ya Msingi na Sekondari ndani na nje ya Mkoa.

Kuruhusu kukariri kwa wanafunzi shule za msingi hadi darasa la 6 kulingana na taratibu zilizopo.

Kuwa mjumbe wa Bodi za Tume ya Utumishi kwa Walimu katika Mkoa.

Kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wilaya, Vyuo vya Ualimu na shule za Sekondari katika Mkoa wake.

Kuwa Mwakilishi wa Afisa Elimu Kiongozi wa Elimu katika Mikutano ya Bodi inayohusu uendeshaji, mipango ya maendeleo, nidhamu, mapato na matumizi ya fedha za shule za sekondari na vyuo vya ualimu katika Mkoa wake kulingana na kifungu cha 10 cha sera ya Elimu na Mafunzo [1995].

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Katibu Tawala wa Mkoa.
 
Mbo

mbona Afieaelimu mkoa anasimamia Elimu msingi na Elimu sekondari tena mkoa mzima na anaweza.
Isitoshe utakuta idara ina maafisa wengine zaidi ya kumi na waratibu Elimu Kila kata juu.
Tufike mahali tone aibu, bora Hata idara moja ingekuwa kitengo ndani ya Halmashauri
HAPA SASA NDO MNAPOKOSEA... Mnapunguza juhudi za kusimamia ubora wa elimu! Kwa mwendo huu ipo siku mtasema kuwa shule A na B kwa kuwa ziko karibu basi ziwe chini ya mkuu mmoja na walimu wale wale watumike kuufundisha huku na kule. Totally Wrong!

Nasema hivi; hata kuwa na Afisa Elimu Mkoa mmoja ni makosa. Tunapozungumzia shule ya msingi na sekondari tunazungumzia mitaala miwili tofauti kabisa kuanzia mahitaji ya lugha, walimu hadi zana za kufundishia na kujifunzia.
Hata ikiwezekana wawepo Maafisa Elimu Chekechea na Elimu Maalum kwa ngazi zote husika wenye uwezo na madaraka sawa na wenzao.
Huwezi kuniambia kuwa huyo Afisa Elimu mmoja atakuwa anajua kila kitu! Sekondari yeye. Msingi yeye. Elimu awali yeye. Elimu maalum yeye. Elimu michezo yeye. Elimu ufundi yeye. Elimu kilimo yeye. Noooo!!

Haya masuala ya elimu ni nyeti sana, tuyape uzito wa kipekee! Hakuna cha aibu wala nini hapa! Mbona watu wamejazana huko BOT, TRA, Bandari na Bungeni hamsemi!

Nasema hivi; Watu wenye uwezo na uzoefu watafutwe wawe promoted au waombe hizo kazi kwa uwazi wasaidie kusimamia elimu ya vijana wetu!

Tusiruhusu siasa ziingie kwenye elimu!

Tutanue wigo wa ajira kwa wataalamu wetu!
 
MAJUKUMU YA AFISAELIMU WA WILAYA

Kuwakilisha Wizara ya Elimu na Utamaduni katika ngazi zote

Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo, Sheria na Kanuni katika Elimu ya Watu Wazima na Ufundi Stadi.

Kutoa ushauri wa kitalaamu kwa Halmashauri ya Wilaya, Mji au Manispaa kuhusu masuala yote ya kielimu.

Kudhibiti matumizi ya fedha za elimu kwa mujibu wa miongozo ya fedha za Serikali.

Kushughulikia upanuzi wa Elimu katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari, Mafunzo ya Ualimu, Elimu ya Watu Wazima na Vituo vya Ufundi Stadi.

Kufuatilia kwa madhumuni ya kutathmini maendeleo ya Elimu katika Wilaya.

Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Elimu kila mwaka.

Kuhakikisha kwamba shule zote zinaboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi wilayani.

Kusimamia maslahi ya walimu.

Kuratibu na kusimamia mitihani ya Darasa la Nne, Darasa la Saba , Kidato cha Nne, Kidato cha Sita, Mafunzo ya Ualimu na Mitihani ya Vituo vya Ufundi Stadi katika wilaya kwa kushirikiana na Uongozi wa Elimu Mkoa na Baraza la Mitihani la Tanzania .

Kufuatilia Utekelezaji wa taarifa za Ukaguzi wa Shule na Vyuo.

Kusimamia Maendeleo ya Taaluma katika wilaya.

Kukusanya, kuratibu na kuchambua takwimu za elimu katika Wilaya kwa ajili ya Mipango ya Maendeleo katika ngazi ya Shule, Wilaya, Mkoa na Taifa.

Ni Katibu wa Kamati ya elimu na Utamaduni ya Halmashauri ya Wilaya/Mji/Manispaa kufuatana na kifungu cha 2 cha Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 na kurekebishwa mwaka 1995.

Kufanya kazi nyingine kama utakavyoelekezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.
 
Hi
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na Elimu Sekondari).

Ninashauri ateuliwe mtanzania moja moja mwenye elimu na uzoefu wa kutosha kuisimamia idara moja ya elimu itakayokuwa imeungana elimu msingi na sekondari.

Hii itasaidia mkuu moja wa data kusoma Elimu kuanzia msingi hadi sekondari ambako sasa mkuu mmoja wa idea ya Elimu msingi anampelekea mwenzake wa sekondari Wanafunzi wasiojua kusoma.

Pili itapunguza ukiritimba uliopo sambamba na kupunguza gharama Za kuandika idara mbili zinazofanana ndani ya Halmashauri moja

Mwisho mitaala iliyopo imepitwa na wakati na haiendani na Elimu ya juu ambayo nayo inatakiwa pitiewe upya.

Idara ya Elimu ndani ya Halmashauri iwe na watumishi 8 akiwemo mkuu wa idara, hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

Prof Adolf Mkenda, anza na hili.

Yataje hapa majukumu ya DEO’s kama yana tofauti na mratibu elimu kata.

Ukimaliza onyesha kiwango cha Elimu Kati ya DEO’s na mratibu Elimu kata.

Ukimaliza onyesha kiwango cha mishahara Kati ya DEO’s na waratibu elimu kata?

Mfumo wa Elimu ni mbovu ndani ya Halmashauri ni wa kufumuliwa.
Hukumbuk jiwe alikuwa anampango wa kuunganisha idara ndan ya halmshauri alipoingia 2015, unajua Kwann hadi alipoondoka alishindwa?? Lazma kutakuwa na Sababu kwenye hilo..?? Më naona kwako wewe tatizo ulilonalo ni vyeo vinakupa shida, lakn tatizo la mfumo wa elimu sio vyeo, Bali ni mtaala wenywew ndo shida kubwa.. ndugu mwl lazma ujue hilo.. vyeo ni kitu kidgo sana kwenye mfumo wa elimu tz na Wala haliongelew kma ni tatizo kubwa.. elimu ya Sasa inatakkwa imsaidie mwanfunzi kujitegemea Zaid,!!
 
...hii itasaidia kuongeza Idadi ya walimu darasani kwani walimu wengi wamejificha maofisini hawafundishi.

NB:Nakuunga mkono Sana Kwa hili, Bora umeliona maana ni kweli linapinguza Sana Walimu mashuleni. Wengi wamekimbilia kuwa Wasaidizi ofisi za Utumishi, Wahasibu wasaidizi, Ustawi wa Jamii, Maafisa Ugavj na kuachana na Ajira mama ya Ualimu.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Unaonaje ukiwataja hao nane. Mimi kitu nataka afanye ni kulitazama hili lugha kufundishia from pre primary to hígher levels
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
MAJUKUMU YA AFISAELIMU WA WILAYA

Kuwakilisha Wizara ya Elimu na Utamaduni katika ngazi zote

Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo, Sheria na Kanuni katika Elimu ya Watu Wazima na Ufundi Stadi.

Kutoa ushauri wa kitalaamu kwa Halmashauri ya Wilaya, Mji au Manispaa kuhusu masuala yote ya kielimu.

Kudhibiti matumizi ya fedha za elimu kwa mujibu wa miongozo ya fedha za Serikali.

Kushughulikia upanuzi wa Elimu katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari, Mafunzo ya Ualimu, Elimu ya Watu Wazima na Vituo vya Ufundi Stadi.

Kufuatilia kwa madhumuni ya kutathmini maendeleo ya Elimu katika Wilaya.

Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Elimu kila mwaka.

Kuhakikisha kwamba shule zote zinaboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi wilayani.

Kusimamia maslahi ya walimu.

Kuratibu na kusimamia mitihani ya Darasa la Nne, Darasa la Saba , Kidato cha Nne, Kidato cha Sita, Mafunzo ya Ualimu na Mitihani ya Vituo vya Ufundi Stadi katika wilaya kwa kushirikiana na Uongozi wa Elimu Mkoa na Baraza la Mitihani la Tanzania .

Kufuatilia Utekelezaji wa taarifa za Ukaguzi wa Shule na Vyuo.

Kusimamia Maendeleo ya Taaluma katika wilaya.

Kukusanya, kuratibu na kuchambua takwimu za elimu katika Wilaya kwa ajili ya Mipango ya Maendeleo katika ngazi ya Shule, Wilaya, Mkoa na Taifa.

Ni Katibu wa Kamati ya elimu na Utamaduni ya Halmashauri ya Wilaya/Mji/Manispaa kufuatana na kifungu cha 2 cha Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 na kurekebishwa mwaka 1995.

Kufanya kazi nyingine kama utakavyoelekezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
MAJUKUMU YA AFISAELIMU WA MKOA

Kuwakilisha Wizara ya Elimu na Utamaduni katika ngazi zote za kielimu katika Mkoa.

Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo, katika Elimu ya Awali na Msingi, Sekondari, Mafunzo ya ualimu, Elimu ya Watu Wazima na Vituo vya ufundi Stadi.

Kuwa Mshauri Mkuu wa Katibu Tawala wa Mkoa kuhusu mambo ya Elimu.

Kushughulikia upanuzi wa elimu ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Ufundi, Elimu ya Watu Wazima, Elimu ya Sekondari na Elimu ya Ualimu.

Kusimamia maslahi ya walimu.

Kuratibu, kusimamia, kuendesha na kutathmini Mitihani ya Darasa la Nne na la Saba, Kidato cha Nne na cha Sita, Mafunzo ya Ualimu pamoja na Mitihani ya Ufundi katika Mkoa wake ukishirikiana na Baraza la Mitihani Tanzania na Wizara ya Elimu na Utamaduni.

Kufuatilia utekelezaji wa taarifa za Ukaguzi wa Shule na Vyuo.

Kusimamia utekelezaji wa kazi za Maafisaelimu wa Wilaya, waliopo katika Mkoa wake.

Kuratibu na kuchambua Takwimu za Elimu katika Mkoa kwa ajili ya mipango ya Maendeleo katika Ngazi za Wilaya, Mkoa na Taifa.

Kusimamia na kuendesha uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza katika Mkoa wake.

Kuratibu na kusimamia uhamisho wa wanafunzi wa Elimu ya Msingi na Sekondari ndani na nje ya Mkoa.

Kuruhusu kukariri kwa wanafunzi shule za msingi hadi darasa la 6 kulingana na taratibu zilizopo.

Kuwa mjumbe wa Bodi za Tume ya Utumishi kwa Walimu katika Mkoa.

Kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wilaya, Vyuo vya Ualimu na shule za Sekondari katika Mkoa wake.

Kuwa Mwakilishi wa Afisa Elimu Kiongozi wa Elimu katika Mikutano ya Bodi inayohusu uendeshaji, mipango ya maendeleo, nidhamu, mapato na matumizi ya fedha za shule za sekondari na vyuo vya ualimu katika Mkoa wake kulingana na kifungu cha 10 cha sera ya Elimu na Mafunzo [1995].

Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Katibu Tawala wa Mkoa.
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
HAPA SASA NDO MNAPOKOSEA... Mnapunguza juhudi za kusimamia ubora wa elimu! Kwa mwendo huu ipo siku mtasema kuwa shule A na B kwa kuwa ziko karibu basi ziwe chini ya mkuu mmoja na walimu wale wale watumike kuufundisha huku na kule. Totally Wrong!

Nasema hivi; hata kuwa na Afisa Elimu Mkoa mmoja ni makosa. Tunapozungumzia shule ya msingi na sekondari tunazungumzia mitaala miwili tofauti kabisa kuanzia mahitaji ya lugha, walimu hadi zana za kufundishia na kujifunzia.
Hata ikiwezekana wawepo Maafisa Elimu Chekechea na Elimu Maalum kwa ngazi zote husika wenye uwezo na madaraka sawa na wenzao.
Huwezi kuniambia kuwa huyo Afisa Elimu mmoja atakuwa anajua kila kitu! Sekondari yeye. Msingi yeye. Elimu awali yeye. Elimu maalum yeye. Elimu michezo yeye. Elimu ufundi yeye. Elimu kilimo yeye. Noooo!!

Haya masuala ya elimu ni nyeti sana, tuyape uzito wa kipekee! Hakuna cha aibu wala nini hapa! Mbona watu wamejazana huko BOT, TRA, Bandari na Bungeni hamsemi!

Nasema hivi; Watu wenye uwezo na uzoefu watafutwe wawe promoted au waombe hizo kazi kwa uwazi wasaidie kusimamia elimu ya vijana wetu!

Tusiruhusu siasa ziingie kwenye elimu!

Tutanue wigo wa ajira kwa wataalamu wetu!
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
Afisaelimu msingi na afisaelimu sekondari ndani ya Halmashauri ni sawa na. Cheo cha afisajilimo na afisa mifugo ndani ya Halmashauri.

Ninashukuru sasa Samia ameunganisha vyeo vya afisamifugo na afisa kilimo kuwa idara moja.
Ameunganisha then mnapongeza then baadae mtaanza kulaumu ajira hamna... Mnapojadili haya masuala nyeti rudini ndani mchukue akili zenu mje nazo.

Sijuhi nianzie wapi uelewe. Mifugo si sawa na kilimo na kinyume chake. Mahitaji ya hizo sekta ni tofauti na hivyo wataalamu wanatakiwa kuwa tofauti!
Kwanza wizara ya kilimo ipo tofauti kabisa na wizara ya mifugo. Sasa hao maafisa ukiwaunganishia kazi huoni kuwa umewaongezea majukumu ya kuwajibika kwenye wizara mbili tofauti? Je, mishahara unawalipaje?

Vijana wanasoma ili wapate ajira! Kumbe ajira zipo sema sisi mifumo yetu ndo hatuifanyi iwe rafiki kuwaajiri wasomi wetu.

Naomba nikupe challenge moja: Hivi hujafikiria kuwa badala ya kusema Afisa kilimo tunatakiwa ifike mahali tuseme Afisa kilimo Mboga mboga, Kahawa, Chai, Pamba, Katani, Matunda, Parachichi n.k make mahitaji yake ni yofauti na wataalamu hao wapo.
Kwamba tunaposema Afisa Mifugo tuseme kabisa huyu ni wa Mbuzi, Kondoo, Ngombe, Kuku, (wa kisasa au wa kienyeji) make mahitaji ya hizo fields pia ni tofauti...na wataalamu wake pia ni tofauti.

Ukifikiria kwa kina utaona kuwa fursa za ajira zipo ni mindsets zetu zimekuwa locked hatufikirii nje ya mifumo yetu iliyopitwa na wakati!

Afisa kilimo hawezi kuwa Afisa mifugo tena kwa mshahara ule ule! This is a serious crisis!
 
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
AFISAELIMU MSINGI WILAYA

2.AFISA ELIMU TAALUMA

3.AFISAELIMU VIFAA NA TAKWIMU

4.AFISA ELIMU YA WATU WAZIMA

5.AFISA ELIMU VIELELEZO

6.AFISA ELIMU SAYANSI KIMU

7.AFISA ELIMU UFUNDI

8.AFISAELIMU KILIMO

9.AFISA ELIMU MAALUMU

10.WARATIBU ELIMU KATA

11.WARATIBU WA KITUO CHA WALIMU

Muundo wa sasa elimu msingi ila hao kwenye namba 11 wamerudishwa shuleni kufundisha majukumu yao yamepewa hao namba 10
 
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
Umesahau elimu maalumu, ufundi na chekechea, n.k

Huyo mwingine akiwa na PhD hawa wengine wawe na sifa zipi??
Na je, utaratibu wa kuwapata uweje??
 
Ameunganisha then mnapongeza then baadae mtaanza kulaumu ajira hamna... Mnapojadili haya masuala nyeti rudini ndani mchukue akili zenu mje nazo.

Sijuhi nianzie wapi uelewe. Mifugo si sawa na kilimo na kinyume chake. Mahitaji ya hizo sekta ni tofauti na hivyo wataalamu wanatakiwa kuwa tofauti!
Kwanza wizara ya kilimo ipo tofauti kabisa na wizara ya mifugo. Sasa hao maafisa ukiwaunganishia kazi huoni kuwa umewaongezea majukumu ya kuwajibika kwenye wizara mbili tofauti? Je, mishahara unawalipaje?

Vijana wanasoma ili wapate ajira! Kumbe ajira zipo sema sisi mifumo yetu ndo hatuifanyi iwe rafiki kuwaajiri wasomi wetu.

Naomba nikupe challenge moja: Hivi hujafikiria kuwa badala ya kusema Afisa kilimo tunatakiwa ifike mahali tuseme Afisa kilimo Mboga mboga, Kahawa, Chai, Pamba, Katani, Matunda, Parachichi n.k make mahitaji yake ni yofauti na wataalamu hao wapo.
Kwamba tunaposema Afisa Mifugo tuseme kabisa huyu ni wa Mbuzi, Kondoo, Ngombe, Kuku, (wa kisasa au wa kienyeji) make mahitaji ya hizo fields pia ni tofauti...na wataalamu wake pia ni tofauti.

Ukifikiria kwa kina utaona kuwa fursa za ajira zipo ni mindsets zetu zimekuwa locked hatufikirii nje ya mifumo yetu iliyopitwa na wakati!

Afisa kilimo hawezi kuwa Afisa mifugo tena kwa mshahara ule ule! This is a serious crisis!
Idara ya kilimo na mifugo iwe na mkuu wa idara mmoja tu. Awasimamie
Wasaidizi wake ambao ni wakuu wa vitengo vifuatavyo;-
1. Kilimo
2. Mifugo
3. Uvuvi
 
Back
Top Bottom