Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

Rais Samia: Tutafanya mabadiliko kwenye Elimu. Mkuu wa Idara ya Elimu awe mmoja ndani ya Halmashauri

AFISAELIMU MSINGI WILAYA

2.AFISA ELIMU TAALUMA wapo 4

3.AFISAELIMU VIFAA NA TAKWIMU wapo 3

4.AFISA ELIMU YA WATU WAZIMA wapo 2

5.AFISA ELIMU VIELELEZO wapo 2

6.AFISA ELIMU SAYANSI KIMU yupo 1

7.AFISA ELIMU UFUNDI wapo 2

8.AFISAELIMU KILIMO ifutwe

9.AFISA ELIMU MAALUMU awepo mmoja kwa msingi na sekondari

10.WARATIBU ELIMU KATA wawepo

11.WARATIBU WA KITUO CHA WALIMU ifutwe

Muundo wa sasa elimu msingi ila hao kwenye namba 11 wamerudishwa shuleni kufundisha majukumu yao yamepewa hao namba 10
Huu ni muundo wa elimu msingi tu bado muundo wa elimu sekondari.

Prof adolf mkenda lala amka na muundo wa elimu ndani ya halmashauri.
 
Umesahau elimu maalumu, ufundi na chekechea, n.k

Huyo mwingine akiwa na PhD hawa wengine wawe na sifa zipi??
Na je, utaratibu wa kuwapata uweje??
Utaratibu wa kuwapata nafasi zitangazwe na watanzania waombe hizo nafasi kulingana na elimu zao, uzoefu wao na sifa zao kimaadili .
Pili wafanya oral interview na waeleze wanakwenda kuwafanyia watanzania nini?
Wataleta chachu gani kwenye elimu.
 
AFISAELIMU MSINGI WILAYA

2.AFISA ELIMU TAALUMA wapo 4

3.AFISAELIMU VIFAA NA TAKWIMU wapo 3

4.AFISA ELIMU YA WATU WAZIMA wapo 2

5.AFISA ELIMU VIELELEZO wapo 2

6.AFISA ELIMU SAYANSI KIMU yupo 1

7.AFISA ELIMU UFUNDI wapo 2

8.AFISAELIMU KILIMO ifutwe

9.AFISA ELIMU MAALUMU awepo mmoja kwa msingi na sekondari

10.WARATIBU ELIMU KATA wawepo

11.WARATIBU WA KITUO CHA WALIMU ifutwe

Muundo wa sasa elimu msingi ila hao kwenye namba 11 wamerudishwa shuleni kufundisha majukumu yao yamepewa hao namba 10
Huu ni muundo wa elimu msingi tu bado muundo wa elimu sekondari.

Prof adolf mkenda lala amka na muundo wa elimu ndani ya halmashauri.
Huu muundo ndani ya Halmashauri ni jukumu la Tamisemi,, Tamisemi ndio wanaoteua Maafisa elimu na wengine

Wizara ya elimu inahusika na sera za elimu nchini.
 
Maafisa elimu kata hawana kazi wanayoifanya, labda kazi waliyonayo Ni kulipwa posho na kukusanya hela za mwenge,

Hao watu waliwekwa na mwendazake ili wasaidie kupiga biti waalimi wasiongee kuhusu kitokupanda madaraja na nyongeza ya mishahara kila mwaka isiwepo, just simple divide and rule
Wanapewa posho halafu kazi inakuwa kukandamiza wengine na asipofuata maelekezo anapigwa chini,

Sasa unafikili Kuna mtu ambae haitaki posho iyo250,000/= yaani hapo Ni kwamba wakuu wa shule na maafisa elimu kata hao watu ndo wanaoharibu elimu yetu maana wako radhi wafanye utopolo wowote kulinda posho yao bila kujali ubora wa elimu unapanda au unashuka.
 
Huu muundo ndani ya Halmashauri ni jukumu la Tamisemi,, Tamisemi ndio wanaoteua Maafisa elimu na wengine

Wizara ya elimu inahusika na sera za elimu nchini.

Hon. Innocent Lugha Bashungwa​

+255687840591
Kilio kimemfikia .
 
Hao maafisa elimu wa halmashauri hawana kazi yoyote zaidi ya kuongeza vitisho kwa walimu na kujiona Miungu watu afisa elimu mmoja anatosha sana hao wengine warudi mashuleni wakafundishe maafisa elimu kata wanatosha kumsaidia afisa elimu mmoja atakaye baki
 
Maafisa elimu kata hawana kazi wanayoifanya, labda kazi waliyonayo Ni kulipwa posho na kukusanya hela za mwenge,

Hao watu waliwekwa na mwendazake ili wasaidie kupiga biti waalimi wasiongee kuhusu kitokupanda madaraja na nyongeza ya mishahara kila mwaka isiwepo, just simple divide and rule
Wanapewa posho halafu kazi inakuwa kukandamiza wengine na asipofuata maelekezo anapigwa chini,

Sasa unafikili Kuna mtu ambae haitaki posho iyo250,000/= yaani hapo Ni kwamba wakuu wa shule na maafisa elimu kata hao watu ndo wanaoharibu elimu yetu maana wako radhi wafanye utopolo wowote kulinda posho yao bila kujali ubora wa elimu unapanda au unashuka.
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 

Hon. Innocent Lugha Bashungwa​

+255687840591
Kilio kimemfikia .
1. Mkuu wa idara ya elimu ( ambaye atakuwa afisaelimu msingi na sekondari). Awe na PhD .
2. Afisaelimu taaluma msingi 1
3. Afusaelimu taaluma sekondari 1
4. Afisaelimu vifaa msingi 1
5. Afisaelimu vifaa sekondari 1
6. Afisaelimu elimu ya watu wazima 1
7. Afisaelimu utamaduni 1
8. Afisaelimu ufundi na vielelezo 1

Huu utumike uwe ndio muundo wa idara ya elimu ndani ya Halmashauri nchini Tanzania
 
Maafisa elimu kata hawana kazi wanayoifanya, labda kazi wanaliyonayo Ni kulipwa posho na kukusanya hela za mwenge,

Hao watu waliwekwa na mwendazake ili wasaidie kupiga biti waalimi wasiongee kuhusu kitokupanda madaraja na nyongeza ya mishahara kila mwaka isiwepo, just simple divide and rule
Wanapewa posho halafu kazi inakuwa kukandamiza wengine na asipofuata maelekezo anapigwa chini,

Sasa unafikili Kuna mtu ambae haitaki posho iyo250,000/= yaani hapo Ni kwamba wakuu wa shule na maafisa elimu kata hao watu ndo wanaoharibu elimu yetu maana wako radhi wafanye utopolo wowote kulinda posho yao bila kujali ubora wa elimu unapanda au unashuka.
Marekebisho

Maafisa Elimu kata hiki cheo kilikuwepo kabla hata mwendazake hajawa Rais ila zamani kilikuwa kinatambulika kama waratibu Elimu kata sasa sheria/miongozo inawatambua kama Afisa Elimu kata.
 
Marekebisho

Maafisa Elimu kata hiki cheo kilikuwepo kabla hata mwendazake hajawa Rais ila zamani kilikuwa kinatambulika kama waratibu Elimu kata sasa sheria/miongozo inawatambua kama Afisa Elimu kata.
Naunga mkono hoja
 
Marekebisho

Maafisa Elimu kata hiki cheo kilikuwepo kabla hata mwendazake hajawa Rais ila zamani kilikuwa kinatambulika kama waratibu Elimu kata sasa sheria/miongozo inawatambua kama Afisa Elimu kata.
Ndio walikuwepo Waratibu Elimu lakini ujue kuwa hao Waratibu elimu walikuwa wanaishia shule za misingi tu hawakanyagi shule za sekondari maana wengi wao walikuwa na certificates,

Maafisa Elimu kata wana degree wameletwa na Magufuri wanaratibu Elimu kote shule za msingi na sekondari,
Nadhani umeona tofauti.
 
I strongly agree.
Tatizo ni muundo na mfumo.Mfano afisa kilimo au vielelezo au sayansi kimu wanafanya kaxi gani kwrnye ofisi za elimu?

Mfano wa pili unakuta ofisu ysa elimu msingi ina wataaluma 4 wanafanya kazi gani?
 
Ndio walikuwepo Waratibu Elimu lakini ujue kuwa hao Waratibu elimu walikuwa wanaishia shule za misingi tu hawakanyagi shule za sekondari maana wengi wao walikuwa na certificates,

Maafisa Elimu kata wana degree wameletwa na Magufuri wanaratibu Elimu kote shule za msingi na sekondari,
Nadhani umeona tofauti.
Kusimamia shule za msingi na sec wameanza mwaka 2010.

Kigezo cha kuwa na shahada kimeanza mwaka 2014 na kuendelea

ndio mwaka 2017 ikafuata wakuu wa shule wawe na shahada pamoja na walimu wakuu wawe na diploma.

Mimi najiuliza kwann wathibiti ubora wa halmashauri wengi wana diploma na wanawakagua walimu wenye shahada na master kwa msingi na sec[emoji3480]
 
Kusimamia shule za msingi na sec wameanza mwaka 2010.

Kigezo cha kuwa na shahada kimeanza mwaka 2014 na kuendelea

ndio mwaka 2017 ikafuata wakuu wa shule wawe na shahada pamoja na walimu wakuu wawe na diploma.

Mimi najiuliza kwann wathibiti ubora wa halmashauri wengi wana diploma na wanawakagua walimu wenye shahada na master kwa msingi na sec[emoji3480]
Hawakagui shahada au masters, wanakagua utendaji kazi.
 
Halmashauri zipo 185+ tz bara hao PhD holders unawapata wapi?

Hao 185 watakaopoteza nafasi zao watabaki na mishahara binafsi, au ndio watalipwa TGTS-I?

Lengo zuri ila utekelezaji ni changamoto unless ubabe ufanyika kama JPM
 
kumbe vikaguzi vina diploma!!

kuna kimoja nilikizingua sana kikafuta assessment yangu. baadae nikakichimba mkwara ya kukipga tunguli kikanywea!
 
Utaratibu wa kuwapata nafasi zitangazwe na watanzania waombe hizo nafasi kulingana na elimu zao, uzoefu wao na sifa zao kimaadili .
Pili wafanya oral interview na waeleze wanakwenda kuwafanyia watanzania nini?
Wataleta chachu gani kwenye elimu.
Safi sana... kazi za kuteua teuana zinaleta mianya ya unyanyasaji, umwinyi na kufifisha maarifa na juhudi
 
Back
Top Bottom