Hiyo haiwezi kuwa sauti ya watanzania bali sauti ya kobaz wanaounga mkono magaidi ya Hamas yenye ajenda ya kuifuta Israel kwenye uso wa dunia.Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Acha ujinga wewe!! Arudishe balozi kwa sababu gani?Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Tulio wengi tunataka hivo na itakuwa subiri uone...It was a mistaken in the first place kwanini kufungua ubalozi kule.
Sema sauti yako siyo sauti ya Watanzania, umetumwa uwasemee. Jisemee mwenyewe. Kwani Waisraeli waliouawa wakati Hamas wanavamia siyo watu. Jisemee mwenyewe au familia yako tu, huna mamlaka na kauli za Watanzania.Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Wakifunga wala haitakuwa na impact yoyote...hata hivyo wakikusikia na wafunge tu waondoe msongamano usiokuwa na tija kwenye nchi za wenyewe.Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Kwa influence ipi kwenye ulimwengu huu?Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Mimi huwa nashindwa kuwaelewa watanzania na watu wote, hivi mlipenda sana Hamas walivyoivamia Israel na kuua raia wake na kuteka wengine? Hamas walikuwa sawa kuivamia Israel na Israel alipaswa kunyoosha mikono juu Hamas aendelee kumpiga na kuua raia wake?
Hamas alikuwa sawa ila Israel hayupo sawa kujilinda na kuhakikisha Hamas hampigi tena?
Tulio wengi tunataka Hamas wawaachie Watanzania wenzetu wanao washikilia mateka bila sababu.Tulio wengi tunataka hivo na itakuwa subiri uone...It was a mistaken in the first place kwanini kufungua ubalozi kule.
Hatutaki kuwa na urafiki na wauaji. Mtoa mada yupo sawaKwani walitumwa wakapigane🤔 hata wakipigwa wakafa wote hakuna madhara yoyote tunayopata kama nchi kiherehere cha nini sasa🤔 ugomvi wao hautuhusu hata thumni ya nini kujihusisha nao, ni hao hao wapuuzi walimsaliti mwalimu Nyerere kwenye vita ya kagera baada ya mwalimu kuwaamini na kuwatimua Israel, hiyo vita ni yao watajuana wao wenyewe 🤔 Sauti ya watanzania ya nyokoooooo
Kuua siyo kujilinda
Mimi huwa nashindwa kuwaelewa watanzania na watu wote, hivi mlipenda sana Hamas walivyoivamia Israel na kuua raia wake na kuteka wengine? Hamas walikuwa sawa kuivamia Israel na Israel alipaswa kunyoosha mikono juu Hamas aendelee kumpiga na kuua raia wake?
Hamas alikuwa sawa ila Israel hayupo sawa kujilinda na kuhakikisha Hamas hampigi tena?
Hii vita imeonesha unafiki wa watu wengi. Nakumbuka mtangazaji mmoja wa Aljazeera alifanya utani siku moja baada ya Hamas kuishambulia Israel, ila Leo nashangaa wanalalamika na kulia.
Nilimuona balozi wa Palestine kwenye umoja wa Mataifa anasoma tamko huku analia na kutetemeka.
Sauti ya tanzania?Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.
Kuua siyo kujilinda
It was mistake yang'wanoko, Kang'welage noko.Tulio wengi tunataka hivo na itakuwa subiri uone...It was a mistaken in the first place kwanini kufungua ubalozi kule.
Rais Samia rudisha Balozi nyumbani mara moja, na kama wao wanayo wa kwao hapo kwetu timua hii ni sauti ya Watanzania.