makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mama analijua vumbi la kongoš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The President is Most Informed Citizen in a CountryAisifuye mvua imemnyea...mkongo kaujuaje?[emoji1787]
Mimi wa kiume hata siujui
Uvccm mnamuabisha mwenyekiti aisee!! Inakuwaje muishi kwa kutegemea supu ya pweza na vumbi la kongo!!Ni Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
Mkubwa kuna PM nmekutumiaKaongea ukweli hahaha...
Nadhani kwa uelewa wa kawaida tu ni vigumu sana kwa mwenye nyumba kufahamu mapungufu ya nyumba jirani, kuliko yale mapungufu ya nyumbani kwake!Rafiki yangu anauza sana vumbi la kongo ana dai wateja wakubwa wanasema wao ni wanachama wa chadema.
Chadema punguzeni vumbi la kongo na kula kyepe yai.
Fortification ni kuongeza kwa Vitamins kwenye vyakula na ni takwa la dunia nzima... ndio tunaelekea kwenye genetically modified foods au?
Kwamba yeye haongei na watu?Anafahamu haya maswara kweri-kweri
To be most informed person haikupi uzoefu sawa na mtumiajiaji/mtumiwajiThe President is Most Informed Citizen in a Country
Hudhunisha=huzini=huzunishaMambo mengine yanahudhunisha kwa shida zote mkulu anaongelea mkongo.... Hajui tatizo linatokana pia na kipato
Uko sahihi 100%Mambo mengine yanahudhunisha kwa shida zote mkulu anaongelea mkongo.... Hajui tatizo linatokana pia na kipato
Dah!..Ametolea mfano wa matumizi makubwa ya vumbi la mkongo na supu ya pweza kwa vijana wa kiume, pamoja na matumizi makubwa ya chips mtaani.
Aache kuokota wala chipsiMpak raisi anajua hamna nguvu za kiume
Mozambique kuna mkongoš¤£š¤£š¤£Aisifuye mvua imemnyea...mkongo kaujuaje?š¤£
Mimi wa kiume hata siujui