Rais Samia Vunja Baraza la Mawaziri Nchi ipone. Waziri Majaliwa Habebeki

Huyu ndo mtu anayewabania upigaji na lazma mtamchukia sana
Sioni kos lolote la kateleohone Ni wivu na fitina na husda zimewaja watu wanafikiri majaliwa akifukuxwa uwaziri mkuu Bei ya bidhaa zitashuka ujinga Sana huu

Siku majaliw akitangaza kugombea urais Nampa mchango wa kupiga kampeni .Ni waziri msafi mchapaka kazi
 
Cjaona kosa la majaliwa had sasa
 
Hkn ulichoabdika Happ umetumwa kuja kumchafua majaliwa senior,majaliwa hajasababisha mfumuko wa Bei Ni ,mam etu ndio chanzo chote kwa kushindwa
 
Huyo Majaliwa ndiye amefanya bei ya korosho iwe ya hovyo kupindukia msimu huu huku Kusini.

Kangomba mkubwa sana wa korosho na ufuta,tunapishana na chawa wake huku kwenye korosho.
 
Huyu bwana pia siyo msafi. Pale Dodoma, nyumba kajengewa na mfanyabiashara. Je, yeye anamlipa nini huyo mfanyabiashara?
Tunaomfahamu vizuri huyu bwana,tunashindwa elewa watetezi wake wanapata wapi ujasiri wa kumtetea.

TAKUKURU huku Kusini walishapelekewa taarifa zake zenye ushahidi,lakini hamna kilichoendelea.
 
Huyo Majaliwa ndiye amefanya bei ya korosho iwe ya hovyo kupindukia msimu huu huku Kusini.

Kangomba mkubwa sana wa korosho na ufuta,tunapishana na chawa wake huku kwenye korosho.
[emoji3455]
 
Sio rahisi kama unavyo fikiri. Majaliwa ni namba nyingine. Wakati wa Magu niliwahi kuandika juu yake and how is deep state
 
Inasikitisha mno kuendelea kumng'ang'ania mtu anayemuharibia kwa hizi kashfa.

Labda wanaimba lugha moja ndo maana hawezi kumuondoa
 
Ulichoandika ni majungu dhaifu dhidi ya Majaliwa, anyway unafanyia tumbo lako,komaa
 
Walahi nafurahi miye maccm wanavyopopoana, natamani hata wanyweshane sumu wote wafe.
 
Daaah mtu kateseka,katoka mbali kafika on top,alafu mjinga mjinga mmoja anakuja andika mtandaoni kuhusu kujiuzulu,
Anafurahisha🤣🤣

Huu ni zaidi ya uchawi, yaani yaani arudi kwenye enzi ya ujima kweli? Never!!
 
Mleta mada ni mpumbavu kabisa! Aliyekutuma mwambie watanzania wanajua kinachoendelea juu ya lengo la kutaka kumwengua waziri mkuu ili muwekee mtu wenu na kuendeleza upigaji, baadhi ya watu ktk nchi hii wanastahili kunyongwa kwa kulihujumu taifa.
 
Tunaomfahamu vizuri huyu bwana,tunashindwa elewa watetezi wake wanapata wapi ujasiri wa kumtetea.

TAKUKURU huku Kusini walishapelekewa taarifa zake zenye ushahidi,lakini hamna kilichoendelea.
Vipi mikamba, mwegulu, nyape nyauye na huyo mvaa ushungi wenyewe huwafahamu? TAKUKURU hawajapelekewa hawa? Mnamuona waziri mkuu tu? Acheni zenu nyie, Kassimu haendi kokote. Msitake kujifanya wajuaji sana
 
Vipi mikamba, mwegulu, nyape nyauye na huyo mvaa ushungi wenyewe huwafahamu? TAKUKURU hawajapelekewa hawa? Mnamuona waziri mkuu tu? Acheni zenu nyie, Kassimu haendi kokote. Msitake kujifanya wajuaji sana
Wote uliowata hawafai,ila kiongozi wa shughuli za kila siku za serikali ni PM.
Kwa nini aendelee na madudu yake yote!!???
 
Wote uliowata hawafai,ila kiongozi wa shughuli za kila siku za serikali ni PM.
Kwa nini aendelee na madudu yake yote!!???
Waondoke wote basi kuanzia na boss wao kama ndio hivyo. Ila kumtarget PM peke yake huku wote hawafai ni unafiki. Unless mna agenda zenu nyingine
 
Waondoke wote basi kuanzia na boss wao kama ndio hivyo. Ila kumtarget PM peke yake huku wote hawafai ni unafiki. Unless mna agenda zenu nyingine
Kuondoka wote (hasa huyo wa jumba jeupe) ni ngumu sana kwa sasa, ila rahisi sana ni kwa PM kuondolewa (na mawaziri wengine/wote)
 
Watu wa Bukoba mwacheni PM achape Kazi

Mlipata fursa kama waliyopita Watu wa Moshi awamu ya 3 mkashindwa kuitumia

Samahani lakini
Hi John sijakuelewa post yako kwa nini ume zero down kwa watu wa Bukoba na Moshi je awamu ya tatu ya Mkapa ni ya watu wa Moshi??? Shida hapa ni utendaji wa serikali ndege imeanguka hakuwa vifaa wala watu wa uokozi Waziri mkuu kitengo cha maafa kipo kwake huoni huu ni uzembe wa ofisi yake??? Mwache mwenye dukuduku lake aseme na atoe kinachomsumbua rohoni kwako.
 
Yeye na ccm nzima hawafai kabisa.sem basi tu.
 
Pm amepwaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…