Rais Samia wakati ukisheherekea Miaka yako Miwili hiki ndicho anachokisema Mwamposa Kanisani Kwake sasa...

Kwani lazima ampende Samia? Kifupi huyo Mamaako anapendwa na wenye Maslahi nae na wazee wa kujipendekeza Kama unavyojiona hapo. Usiforce mfanane. Pumbaaaaaaavu
 
Unahisi umejifiicha.. 🤣🤣.. Unachoongea inaweza kua kweli ila kumuita Rais takataka ni kukosa nidhamu
 
Kwani lazima ampende Samia? Kifupi huyo Mamaako anapendwa na wenye Maslahi nae na wazee wa kujipendekeza Kama unavyojiona hapo. Usiforce mfanane. Pumbaaaaaaavu
Mwambie huyo mpuuzi anafikiri sote ni wajinga kushabikia serkali hii isiyojua inachofanya wanachojua kukopa tu!
Juzi wamevuruga NHIF kwa kutoa Toto afya kadi lakini anajidai anawakomboa wanawake na watoto!
 
Unahisi umejifiicha.. 🤣🤣.. Unachoongea inaweza kua kweli ila kumuita Rais takataka ni kukosa nidhamu
Nyinyi mnaomwita JPM shetani mnasemaje? Sio vizuri kuwaita viongozi majina mabaya ila hata huu uongozi unachangia maana haujawahi kukemea wamebaki kuimba kwaya ya kulamba asali!
 
Kiongozi awe yeyote lkn sio muuaji ikiwa atapishana kimawazo na watu wengine,siyo atakayetaka kutengua katiba ili awe mfalme.Kukopa kila Rais alikopa mbn Trl1.5 sikii ikiongelewa au haikuwepogi hii issue.Mungu ambariki tu huyu Mama kwa kweli hata kama kuna mapungufu ila ana ubinadamu ndani yake.Anguko la kiuchumi kuanzia uhuru hawezi kutupiwa mtu mmoja hili lilikuwa tatizo endelevu mpk kufikia hapa
 
Huo mpambano tinawaachieni,isije kuwa ni ze bulldozer na Gawji tušŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Kwani lazima ampende Samia? Kifupi huyo Mamaako anapendwa na wenye Maslahi nae na wazee wa kujipendekeza Kama unavyojiona hapo. Usiforce mfanane. Pumbaaaaaaavu
Siku hizi mkitoka Ibadani kwa Mtume Wenu Mwamposa mnaruhusiwa Kutukana na kuwa na Hasira hivi?
 
Mt

MTani..hivi Mwamposa alikuvunjia ndoa au demu wako aliokoka akakuacha🤣
Nina Hasira nae mno kuna Demu nilishamtongoza na tayari Kumbandua akaenda Kwake ( ile one to one ) kumuomba Ushauri Kwanza akamwambia Mimi GENTAMYCINE siyo Muoaji na ni mpita njia tu Kwake hivyo avumilie na atamuombea ampate Mume sahihi.

Alinikera na nina Hasira nae kwa hilo zaidi kwani hakuna Kitu GENTAMYCINE nakipenda duniani kama Nyama Tamu ( Mbunye ) Mkuu.
 
Daah sasa mbona vita naye hata humuwezi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…