Kumbe unajua vizuri kwamba aliwaambia wasile hadi wakavimbiwa?Kwanini awatahadharishe wasile hadi wakavimbiwa.
Kwa akili zako Tanzania hii kuna mfanyakazi anapokea mshahara unamtosha hadi kuvimbiwa?
Sasa usichokielewa kamba zingine ni ndefu kupitiliza maana wote hamuwezi kua na kamba zinazofanana na hapo ndio pesa unapopata sasa, au bado haujaelewa ? Wengine kamba zao sio fupi, shtukaYani mkuu watu wanageuza maana ndo wanaona wako sawa. Alimaanisha upate kile ambacho unasitahili kulingana na kazi yako lakini si kwa kuiba mali ya umma.
Pumbavu stupid haiwezekani...Unatukana nini Mama...
Pole. Chukua hatua.
Hiyo midege hatuitaki..
Nchi uwizi haujaanza leo wala jana
Watunge sheria ya kuwanyonga wanaopatikana na hatia ya kula pesa,Mali za umma tu
Ova
Wewe lete mipasho hapa ya kichawa chawa usijue fedha za umma zinatapanywa kwa kauli za kijinga kutoka kwa mtu asiyefikiri kabla ya kunena kama mama yenu.Kumbe unajua vizuri kwamba aliwaambia wasile hadi wakavimbiwa?
Kula hadi kuvimbiwa maana yake ni kula nje ya kile unachostahili.
Wewe kama umetoka bara huko nahau, misemo ama methali za kiswahili utakuwa nazo mbali sana . Sio kosa lako.
Ungekuwa mwenyeji wa ukanda wa Pwani basi vitu vidogo kama hivi ni rahisi kuvielewa.
Nilikuwa najua una ujinga kidogo kumbe una ujinga mwingi sana.CAG ndio whistle blower anaewaamsha hao wengine kuwapa taarifa wakafanye uchunguzi na hatua zichukuliwe ili kuujua ukweli halisi, I'm not layman like you amka huko usingizini unataka waingilie majukumu yasiyowahusu yaan hakuna taarifa ya rushwa TAKUKURU wakaweke mtego ili kukamata Wala rushwa umerogwa au?
Sasa kama ni hivyo mbona aliwauliza mbona mnakula mpaka mnavimbewa? maana kama kina kula kwa urefu wa kamba yako hauwezi kula mpaka kuvimbewa,hakuna mshahara wa Serikali ya tanganyika uliwahi kumtoshereza mfanyakazi, wafanyakazi wengi wa Serikali wanaishi kwenye mikopo,hilo la mle lakini msivimbewe bado unaamini lipo kwenye mshahara?Sasa urefu wa kamba maana yake ni kula nje ya unachostahili?
Mbona Watanzania wengi ni weupe kichwani ku reason mambo?
Ukiajiriwa kama muhasibu halmashauri maana yake ule kwa urefu wa kamba yako kwa mshahara huo usitake kula zaidi ya unachostahili. Simple like that.
Hata ule usemi kwamba "Kila mbuzi anakula kutokana na urefu wa kamba yake" una apply hapa kwasababu kama mbuzi amefungwa kwa kamba fupi atakula majani anayoyafikia tu na yule mwenye kamba ndefu hali kadhalika atakula kingi zaidi.
Takukuru ndio wezi wenyewe hawawezi kufanya chochote hiyo taasisi inabidi ifutwe inatamia rushwa kama kuku anavyotamia mayaiNaomba kuuliza hivi TAKUKURU na watu wa intelligence hawawezi zuia haya mambo Hadi waache wizi umefanyika?
Kuchukizwa haitoshi aseme majina ya waliotia sahihi wapishe uchunguzi waende kwa kampuni ya ununizi wa ndege wawaulize hela walilipwa ngapi na iliyobaki ilienda wapi ulaya kila kitu wazi
Ndio maana mnaitwa pumbavu stupid ujuaji mwingi kumbe pumbavu stupid kabisa, sorry sijasema Mimi nimenukuu pale juuTiss ama Takukuru ni pamoja na ku detect vitendo vya wizi ama rushwa dhidi ya serikali.
Ushaelewa unajua sheria Ila haujui zinafanyaje kazi "pumbavu haiwezekani"pumbavu haiwezekani
Sasa wamekula bila kunawa mikono mpaka matapishi yao hawajali wizi bin urohoKula kwa urefu wa kamba yako, naamini alilenga kuwa wale kile kilichostahili yao.
Wapigwe risasi kama china ndio wizi utakoma TanzaniaSasa hata wakikaa pembeni ndio Nini watu wameiba pesa za kuweza kununua ndege yakisasa kabisa ya mizigo
Aisee kuna watu ni wezi jamaniKuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
==============
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.
Usichokitolea jasho hakidumu and so u can't be proud off.Aisee kuna watu ni wezi jamani
Ndo mna hawa watu wakishakufa mali zao nazo hufa mna huwezi kuendeleza mali ya dhulma na wengine huishia magonjwa ya ajabu tu wakipoteza pesa mahospitalini
Dhulma ni mbaya sanaa
Mifano hai ipo katika jamii zetu tazameni wenyenu
N. b .Tunaishi umri mdogo sana hapa duniani