uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Yes upo sahihi mkuu, kasema tu watupishe wapungue maana idadi ya walaji ni kubwa, sasa nani yupo tayari kukosa vibunda nani tapungua bila kupunguzwa?
Tumepigwa kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes upo sahihi mkuu, kasema tu watupishe wapungue maana idadi ya walaji ni kubwa, sasa nani yupo tayari kukosa vibunda nani tapungua bila kupunguzwa?
Hatari na nusu hapo hio 86 haipungui na hapungui mtu utaona na utashangaa wakachora na mchoro mwingine wa malipo ya kuchelewesha malipo ya invoice yaan faini, mkataba kitu kingineTumepigwa kaka
Hujamwelewa. Hajasema wamepiga 10% bali wameongeza ongezeko la 110%.Na bado anasema wamepiga 10% hizo ndio asilimia kumi kweli? Mbona wanaleta hasira sana!
Mama kama viatu havimtoshi apite tu hivi asee.
List ipi na tangu lini Ukapewa list? Utaishia kunawa tuWajuzi tunaomba list yao
Tusi liko wapi? Ama neno pumbavu/stupid wewe umetafsiri kama ni tusi?Aiisema hatatukana, imekuaje?
😆😆😆 Duuuh umesemaje "wapumbavu stupid"Mama sasa umebaki unatumia Kiswaenglish kisichoeleweka
Lugha lainishi lakini ogopa ikifanyiwa KAZI , utaishia kamba iliishia wapiMama alisema wale urefu wa kamba zao.
Unaota alisema atafanya kwa matendo makali sio kwa maneno makali, sasa tunasubiri matendo makali ushaelewa au unataka kuitwa pumbavu stupid ?Bimkubwa naye achukue hatua kama zile
Kamba imepitiliza au sio? 😆utaishia kamba iliishia wapi
Kwahiyo TISS na TAKUKURU hawana uwezo ama mamlaka ya kuzuia ufisadi ama kuuchunguza na kuchukua hatua?CAG ndie mkaguzi mkuu hawa wengine hawana idhini ya ukaguzi bila taarifa, elewa kwanza maana ya CAG na TAKUKURU na tofauti zao bila kuelewa huwezi pata jibu la swali lako
Pumbavu stupid ni tusi mkuu ? Emu elezeaAlisema hatatukana, kalamu itaongea. Imekuaje?
Wewe umeamua ama kwa maksudi ama uelewa finyu kujitungia tafsiri yako.Sicho alichomaanisha usitetee ujinga,ni sawa na walitunga takrima sio rushwa bali asante
Wao wenyewe ni miongoni mwa wevi na wala rushwa wakubwa.Naomba kuuliza hivi TAKUKURU na watu wa intelligence hawawezi zuia haya mambo Hadi waache wizi umefanyika?
CAG ndio whistle blower anaewaamsha hao wengine kuwapa taarifa wakafanye uchunguzi na hatua zichukuliwe ili kuujua ukweli halisi, I'm not layman like you amka huko usingizini unataka waingilie majukumu yasiyowahusu yaan hakuna taarifa ya rushwa TAKUKURU wakaweke mtego ili kukamata Wala rushwa umerogwa au?Kwahiyo TISS na TAKUKURU hawana uwezo ama mamlaka ya kuzuia ufisadi ama kuuchunguza na kuchukua hatua?
Acha kuwa layman wewe soma sheria iliyoanzisha PCCB na TISS utaelewa majukumu yao ni yapi.
Aache kulalama watu wanakula Kwa urefu wa kamba zaoKuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
==============
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.
Mzee alikuwa na wapigaji wengi tu, walijua namna ya kuishi nae.Mzee alimwachia watendaji wazuri, yeye akawafukuza, hao watamla hela mpaka basi, kufikia 2025, kapu halina kitu.
Unatukana nini Mama...Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
==============
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.