Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Kwa nini serikali haiwajui??au ni ndugu zao??
 
Kasema kuwa mabadiliko yamekuwa generated Tanzania na Watanzania na sio nje ya Tanzania au Boeing
 
Safi sana uyu ndio raisi sahihi tulimgojea kwa miaka mingi mnooo. Mama piga kazi kanyaga twende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…