Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Mkataba unamaliza kila kitu.

Hakuna variation ya price namna hiyo mkuu.

To toka 37-87 ?? Ndio maana Rais kakasirika sio Bure
 
Magufuli alidili na hao wezi wakamwita dikteta.

Sasa hivi wamepewa nafasi ya kuiba kelele hakuna wanadai nchi imefunguliwa.
 
Yaani namba moja wetu amekasirika sana sana.

Lakini tulipokuwa tunapiga kelele kuwa upigaji umezidi na anadanganywa mambo mengi alikuwa anatusoma na kudai sisi watoto wa miaka ya tisini ni walalamishi mno.

Ameshaingia kwenye rekodi ya kuendesha serikali iliyorundika majambazi mengi kwenye utumishi wa umma.

Inabidi na yeye atupishe 2025 maana ameshindwa kusimamia uadilifu serikalini
 
Haya yenye matycoon huwa wananywea maana wanalambishwa mshiko wa maan wanapoteza ushaidi
 
Mkataba unamaliza kila kitu.

Hakuna variation ya price namna hiyo mkuu.

To toka 37-87 ?? Ndio maana Rais kakasirika sio Bure
Bhas hapo tamaa ilizidi weledi wa kazi.

Ni maamuzi ya hovyo. Hata muhusika wa kufanya nae makubaliano hata akikupa hiyo percent bado ataishia kukudharau tu. Hii ni Zaid ya upigaji.. Ni ujinga.. Stupid kabisa
 
siku ile ile tu aliyoleta hii invoice, ningecounter check na jamaa wa Airbus sijui Boeng kuconfirm maana najua hawawezi kufanya huu ujinga lazima kuna dalali kati hapo kufacilitate dili baada yakujilidhisha basi mhusika angekufa kimya kimya na wenzie wote kwenye chain pamoja na kufilisi mali zao.

Mpaka kufika leo CAG analeta hiyo report basi ubwabwa wa matanga watu wangekuwa wameshaula tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…