Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Aliposema kuleni kwa urefu wa kamba zenu na msivimbiwe, alikuwa anazungumzia matatizo gani?? Kuna mtu anaweza akavimbiwa mshahara??Mbona kama mna akili ndogo sana ,hivi kula Kwa urefu wa kamba Yako Kuna shida kwenye hiyo Kauli?
Kwamba Ile methali ya Kila mbuzi hula Kwa urefu wa kamba yake Ina walakini?
Wewe Ukiwa muajikiwa hujui urefu wa kamba Yako? Kuiba si ndio kuvuka kamba? Hapo Kuna tatizo gani mbona mna shida mahala kwenye uwezo wenu wa kufikiri?
Please futa hii message inaleta kichefuchefuMzee alimwachia watendaji wazuri, yeye akawafukuza, hao watamla hela mpaka basi, kufikia 2025, kapu halina kitu.
Huyu ni dhaifu acha kutetea ujingaHajamzidi yule marehemu
Dhaifu shujaaHuyu ni dhaifu acha kutetea ujinga
Yeye akiwa wapi?Na tatizo limeanzia ndani
Huyu ni jasiri eti?Dhaifu shujaa
Umesikiliza hotuba yake?Yeye akiwa wapi?
Alafu eti naomba waachie ngazi!
Fukuza siyo unaomba!
Wewe jifanye unakijua sana Kiswahili wenzako huko wanapiga,mama yenu aliwasisitiza kabisa "kuleni (ibeni) lakini msiibe mpaka mkavimbiwa (mkastukiwa)" na hao wameiba mpaka wakavimbiwa ndo maana wamestukiwa.Mbona kama mna akili ndogo sana ,hivi kula Kwa urefu wa kamba Yako Kuna shida kwenye hiyo Kauli?
Kwamba Ile methali ya Kila mbuzi hula Kwa urefu wa kamba yake Ina walakini?
Wewe Ukiwa muajikiwa hujui urefu wa kamba Yako? Kuiba si ndio kuvuka kamba? Hapo Kuna tatizo gani mbona mna shida mahala kwenye uwezo wenu wa kufikiri?
Si ndio maana wanaiba watakavyo?Haui watu
Haogopi watu
Magufuli hakuwa anajiaminiSi ndio maana wanaiba watakavyo?
Ndio udhaifu huo
Unajaribu kutetea kitu gani we chawa?Umesikiliza hotuba yake?
NImependa hapo Kwa stupid na pumbavu,mama ameanza kukunjua makuchaKuna watu wameongezeka 10% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo.
Nadhani Sasa mh.Rais ameanza kuwafahamu Watanzania.
Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.
Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome..
Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta..
Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.
----
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.
“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”
“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”
“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”
“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.
Amejiamini mbona wanachezea mali za umma yeye akiwepo anawachekea tu?Magufuli hakuwa anajiamini
Mi sio chawa.Unajaribu kutetea kitu gani we chawa?
Anacheza Kwa stepuAmejiamini mbona wanachezea mali za umma yeye akiwepo anawachekea tu?
Mkuu unae mwanasheria ?!SA100 kwa nini hili neno ''UKILITAZAMA'' uwa unalipenda huku wewe UMEFUMBA MACHO.
Ngoja wacheze nae sasaA
Anacheza Kwa stepu
Ni parefu,Dola milion 37 mpaka 86, kama ni chozi lazima limwagike