Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Rais Samia: Waliopokea ongezeko la gharama za ununuzi wa ndege ya mizigo waachie nafasi zao watupishe

Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

==============

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.

Hawa ndo waliobaniwa na magu sasa wanakomaa mpaka kieleweke huku wakimtukuza mama kwa nyimbo na mpambio
 
Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

==============

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.

Huyu mama pamoja na mambo mengine ambayo sikubaliani naye kwa sasa ,ila wenda akawa mzuri kiungozi nje ya ccm ila kuwa ndani ya ccm ambaya amezungukwa na majizi tunakosa kuona uhalisia wake ,
Ngoja tuzame ipo siku nitapata majibu Mungu ikimpendeza
 
Biashara yeyote ya product hizi ambazo huendi kununua showroom bali unasubiri kutengenezewa ukishapewa bei na wewe kukubaliana na kulipa upfront money na production ikaanza hapo hakuna ongezeko tena na kama kuna issue ambayo iko nje ya pande zote lazima mkae kikao then mkubaliane.... HUO NI WIZI STRAIGHT MAMA..

WAZIRI, NAIBU, KATIBU WA WIZARA NA KILA ANAYEJUA WALIPASWA KUWA NJE YA KAZI USIKU HUU NA VYOMBO VYA USALAMA VIWE KAZINI DHIDI YAO..

KUENDELEA KUDEKEZANA NI KUENDELEZA UOZO NA UJINGA.
 
Kuna watu wanapaswa kufa na wengine kuwa jela na mali zao kuwa mufilisi..

Kwakukusaidia mama, Sasa hivi watoto wa mjini tunasema mambo oyaoya kwa kila mwenye connection na ramani ndio mijengo inaamka tu mjini na migari mipya iko barabarani, maghorofa yanapanda kwa kasi, Petrol stations zinaota kama uyoga...MAMBO OYAOYA..
 
Wapigwe risasi kama china ndio wizi utakoma Tanzania
“Kufikia hapa tulipofika kuna mashirika hayafai kuwepo…unalisikia shirika…tangu niko sekondari …na hapa sina kigugumizi cha kusema..NDC kwa mfano…mpaka leo niko kwenye kiti hiki kuna NDC. Ukitafuta kwenye ripoti ni lini walifanya positive impact utakuta labda ile ya awamu ya kwanza wakati linaundwa…lakini si ya pili, si ya tatu, si ya nne, si ya tano, siyo hii…lakini dude NDC lipo…lipo. Kwa hiyo kuna wengi kama NDC…nendeni mkayaangalie…” – Rais Samia Suluhu Hassan akiagiza kufanywa tahmini kwenye mashirika ya umma yaliyopata hasara.
 
Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

==============

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.


nshakuambia wewe shoga uache namba yako ya simu
teuzi inakuhusu mana si kwa kusifiaa huku
 
Nilikuwa najua una ujinga kidogo kumbe una ujinga mwingi sana.

Narudia hujui majukumu na madhumuni ya kuanzishwa kwa idara ya usalama wa taifa na TAKUKURU.

Nimekuelekeza nenda kasome sheria hizo utaelewa jambo. Kama sheria imekupiga knockout basi tafuta mjuvi wa sheria akusomee nakukutafsiria.

Mimi ni mdaubwa sheria ndiye ninayekwambia kwamba moja ya majukumu ya msingi ya Tiss ama Takukuru ni pamoja na ku detect vitendo vya wizi ama rushwa dhidi ya serikali.

Hujawahi kusikia taarifa ya Takukuru ikisema kwamba "tumefanikiwa kuokoa bilioni 10 ambazo zingetumika kinyume na matumizi kusudiwa"?

Leo Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru katoa taarifa juu ya fedha walizofanikiwa kuokoa ambazo zingetumika kinyume na matumizi tarajiwa.
Uchunguzi wa majalada ya rushwa kubwa ulihusisha mradi wa mabasi yaendayo haraka…jumla ya shilingi bilioni nane, ubadhilifu wa fedha za NHIF shilingi bilioni tatu, na ubadhilifu wa fedha za benki ya NBC shilingi bilioni 4.7…” – Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), CP. Salum Hamduni akiwasilisha ripoti yake mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan Ikulu jijini Dar es Salaam.

Umeelewa hapo lakini au bado unakaza misuli ya kichwa mkuu ?
 
“Kufikia hapa tulipofika kuna mashirika hayafai kuwepo…unalisikia shirika…tangu niko sekondari …na hapa sina kigugumizi cha kusema..NDC kwa mfano…mpaka leo niko kwenye kiti hiki kuna NDC. Ukitafuta kwenye ripoti ni lini walifanya positive impact utakuta labda ile ya awamu ya kwanza wakati linaundwa…lakini si ya pili, si ya tatu, si ya nne, si ya tano, siyo hii…lakini dude NDC lipo…lipo. Kwa hiyo kuna wengi kama NDC…nendeni mkayaangalie…” – Rais Samia Suluhu Hassan akiagiza kufanywa tahmini kwenye mashirika ya umma yaliyopata hasara.
Kuna siku hata misaada ya kutoka Ulaya itakoma kwani watu ulaya wanachoka kusaidia wezi
 
Leo kaongea kwa hasira sana na matusi kibao hhaaa wabongo bila nguvu hawaeleweki

USSR
🤣🤣Kumbe maza akikasirika anamwaga ngeli hatari,leo katema yai kila baada ya sentensi🤣Mara stupid,Mara pumbavu🤣🤣🤣
 
Ndugu ununuzi wa ndege mpya auna tofauti sana na construction contract. Unalipa kwa hatua kadri kazi inavyofanyika ni matakwa pia ya IFRS 15 in recognition of revenue.

Hatua ya kazi ikiisha ujalipa on time kuna penalties and fines; ukichelewa kulipa na interest juu.

Kingine hakuna kampuni ya kigeni inafanya biashara ya muda mrefu bila ya discounting factor hiyo ni automatic inflation mitigation risk, pamoja na hayo contractor wa ujenzi makini anatuambia prices might go way beyond their expectation na hayo mambo yatakuwa kama sehemu ya ‘variable consideration’.

Ni hivi sitetei au sipingi, busara ni kusikiliza upande wa pili. Boeing siyo hizi kampuni zetu eti waongeze bei kwenye receipt upewe cha juu. That is highly unlikely, management inafanya kazi kwa niaba ya shareholders. Any income itakuwa correctly recorded in their books na wanakuwa audited thoroughly. So sioni how mtanzania anaweza faidika hapo, it’s close to zero possibilities ya mtu kupata mgao hapo.
Si walitumia brokers kununua hizo ndege??you can fool some people for some time but you can not fool all the people all the time
 
Kuna siku hata misaada ya kutoka Ulaya itakoma kwani watu ulaya wanachoka kusaidia wezi
Kusaidia wezi? Mwizi anajua hilo la kusaidia wezi yeye si anaiba tu anajenga majumba, mahotel, malodge, ananunua MAGARI mazuri, pesa zingine anaficha bank, mwizi hajali km ulaya watatoa misaada au hawatatoa yeye dili likiingia tu anaiba anatumia anatulia, anasikilizia upepo unavyoenda anasikilizia dili lingine likiingia anachora ramani ya upigaji anapiga anatumia anatulia anasikilizia upepo, kuna wezi wa kimataifa hao kazi yao ni kuiba tu na Serikalini wapo
 
Kuna watu wameongezeka 110% kwenye gharama za Ununuzi wa Ndege ya Mizigo. Nadhani Sasa Mh. Rais ameanza kuwafahamu Watanzania. Hawa watu msiishie kuwafuta kazi waende mahakamani.

Hii Nchi watu Kuiba ni sehemu ya maisha Yao so kuwasimamia Kwa kuwabembeleza watakutafuna Hadi ukome. Watanzania wanatakiwa kuendeshwa kama punda ndio wanaleta.

Mwisho waboresheeni maslahi Yao pia vinginevyo Kuna syndicate kubwa sana ya wizi.

==============

Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kuchukizwa na kitendo cha ongezeko la fedha za manunuzi ya Ndege mpya ya mizigo kinyume na fedha ambazo zilikuwepo kwenye mkataba wa awali huku akiwataka Watumishi wa Serikali waliokubali ongezeko hilo bila kuhoji waachie nafasi zao kwakuwa hawana uchungu na fedha za Watanzania.

“Kuna mradi hapa tumetengeneza Ndege ya mizigo ambayo tunakaribia kuipokea, last Installments ilikuwa tulipe dola milioni 37, invoice imekuja dola milioni 86….. unauliza mkataba ulisemaje? hii imetokana na wapi?, ooh vifaa vimepanda bei, vipi? mkataba wetu ulisemaje”

“Na bado aliyepokea anakuletea Serikalini hii ilipwe ndio invoice tumepokea….. stupid, ulipopokea umechukua hatua gani? umeuliza nini? umefanya nini? ukilitazama kwa undani hili ongezeko limeanzia huku ndani kuna Watu wameongea huko”

“Hatuwezi kwenda hivyo na nadhani hawa wanaopokea hizo invoice wakazileta kwa raha zao kabisa Serikalini watupishe, hawafai kuwa kwenye hizo nafasi, kama wanafaa angepokea huko akalihoji”

“Baada ya kuhoji akasema nilipokea hivi, nimeambiwa hivi lakini bado nimeoka tufanye hivi, huyu unamuelewa lakini Mtu anapokea kwa raha zake tu analeta Serikali ‘Kuna hiyo invoice imekuja, vifaa vimeongezeka baada ya covid, pumbavu haiwezekani….. Mawaziri tusaidieni over-invoicing zipo nyingi sana” ——— Rais Samia.

Kazi iendelee!
92920a3bfcfd4188a46b46f918867bb9_335910116_1315110419346577_2573704875999464657_n.jpg
 
Back
Top Bottom