Mama yenu kageuka chura sasa
 
Nakumbuka magufuli aliwahi kusema yeye ni rais jiwe kweli kweli, lile jina la jiwe mpaka leo akiwa amefariki bado halijamtoka!
Sasa huyu wakwetu mpedwa wetu anajinasibu na chura!!!
Kuwa na adabu wewe, unataka kusema ni chura kwelikweli!? Kama umeshindwa kumuheshimu kama Rais wako basi muheshimu kama Bibi/Mama yako. Uhuru wa mtandaoni usitulevye.
 
Na abakie hivyo hivyo Kwa kuwapuuza.Atakuwa anawajibu Kwa matokeo 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C8ExJKICghn/?igsh=MTViMXNrdGw4eThkeA==
 
Hakuna mtu atamtuka kama anavyojinasibu, ikiwa atasimamia Utawala bora, adhibiti rushwa, ufisadi. Hii awamu watu wanajichotea, hakuna wa kuwauliza. Madawa ya kulevya yamerudi kwa kasi. Mmomonyoko wa maadili n.k
Anyway tumekuelewa Chura...
Hakuna anayechota. Ni mbwembe zenu baada ya kuona hamna cha kuongea tena. Mlihitaji mikutano ya siasa kabla hamjajipanga cha kusema. sasa mmebakiza kuvurumisha matusi tu. Lini akina mdude wakawa wanasiasa. Siasa no sayansi ndugu siyo sheria kama lisu alivyo.
 
Mnakopa halafu watu wanafanya misappropriation ya mikopo halafu unasema mtalipa wakati mzigo unawaangukia wananchi huku viongozi wakificha pesa ughaibuni?
Kila mtanzania anajionea namna kazi kubwa za kimaendeleo zinavyofayika hapa Nchini. na namna miradi mbalimbali ya kimkakati ilivyokamilika kwa wakati na kuleta matokeo chanya kwa watanzania
 
Ni kweli kajiita CHURA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…