Mama anaupiga mwingi sana ni wivu na chuki zao tu
 
Hapo akitoka anaenda kuandaa master plan ya kukopa na kuandaa safari nyingine nje ya nchi.

Hana hoja za kujibu kuhusu muungano uchwara huo ndio maana anasingizia anatukanwa.
Hajasingizia anatukanwa bali ni kweli anatukanwa.Hata yule Askofu Machumu alimwambia kuwa yeye ni zaidi ya Chizi. Quote ".........jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo".....
 
Hajasingizia anatukanwa bali ni kweli anatukanwa.Hata yule Askofu Machumu alimwambia kuwa yeye ni zaidi ya Chizi. Quote ".........jina la kumpa maana kama ni uchizi ameshazidi hapo".....
Samia mwenyewe ni mtukanaji namba moja maana aliita katiba "kijitabu"
 
FFFF inaweza mjibu mtu kama LISU, kama kashindwa kinana

FFFF-fighting for food for four years
 
Makonda alishasema kuwa wanaomtukana Rais ni mawaziri wake mwenyewe sasa anawaogopa jumba bovu anawaangushia Chadema.
 
Inabidi Viongozi wetu watofautishe tuhuma/kashfa na matusi,kwani wazalendo wanapokuwa muuluzia Rais wa Nchi yuko wapi?Mbona haonekani ndani ya mipaka ya Nchi?Wana maana nzuri tu.Hawamtukani bali wanataka wajue kiongozi wao mkuu wa Nchi.
 
Inabidi Viongozi wetu watofautishe tuhuma/kashfa na matusi,kwani wazalendo wanapokuwa muuluzia Rais wa Nchi yuko wapi?Mbona haonekani ndani ya mipaka ya Nchi?Wana maana nzuri tu.Hawamtukani bali wanataka wajue kiongozi wao mkuu wa Nchi.
Acha ujinga wako wewe. Kwa hiyo unafikiri kuwa Watanzania ni wajinga kuwa hawafahamu yapi ni matusi na yapi siyo matusi
 
Wananchi wako wanapokuwa kuulizia juwa wanakupenda.Mfano ukiwa Nyumbani kwako Usipoonekana kwa mda watoto wako lazima watauliza Mama yuko wapi? Mbona hatumuoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…