Uongo gani pale alikua anatetea Rais Samia Suluhu mabehewa ni mazuri na ya kisasa sisi wasafiri tumekubali lakini wengi wanaopinga wameshazoea kupinga hatuwajali tenaHahah eti Tanzania siyo Marekani, mbona alisema Mafuta Marekani ni aghali klk Tanzania hapo alikuwa analinganisha nini na nini? Kweli uongo mgumu sana kuutetea, hakuna kitu kizuri na kinachorahisisha maisha kama ukweli, kwani haujitaji nguvu nyingi kuutetetea, na wala huwezi kujichanganya hata siku moja kama ukiwa mkweli, …
Huyu maza anapenda mipasho sana."Wale wanaopenda tu kufujafuja kila kitu, wafuje lakini warudi nyuma lakini ukute mfujaji mwenyewe kazaliwa miaka ya 90 hajui tulikotoka, anafananisha na Marekani anakokuona na anataka Tanzania ifike kule bila kujua anaojifananisha nao wana miaka 200 ya maendeleo,"- @SuluhuSamia
Tunachojua..Kijana aliyezaliwa mwaka 1990 ambapo sasa hana miaka 32 wengi wa hili kundi wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira,uchumi usioimarika,kukosa kazi rasmi na sio wao pekee wakubeza mambo ambayo kwa upande wa Serikali hayaendi sawa,
Mabehewa yanaendana na gharama na mabehewa haya ni ya kisasa kabisa hapa nchini hatujawai milikiKwahiyo Marekani ilivyokuwa na miaka 60 ilikuwa kama sisi? Huyo mama anashindwa kujua kwamba serikali ina sheria ya manunuzi inayotaka ununuzi wa vitu vipya. Na hata kama ni mitumba, mbona bei yake inazidi ya mabehewa mapya? Hapo sio suala la kuzaliwa lini, bali ni uhalisia wa bei.
This is neither here nor there....
Issue sio kununua nini bali kununua kwa bei gani...., Hata tungetembea kwa miguu sababu hatuna pesa ningeweza kuelewa au tungepanda mkokoteni ni sawa tu bora tufike...., lakini sio kutoa bei ya motokaa alafu naletewa katambuga (yaani hata baiskeli wameshindwa)...
Haya madudu ukiwa na good negotiations skills wanaweza kukupa bure ili usafishe mazingira au kuwaondolea cost ya waste disposal....
Tuache kujidharau wengine watashindwa kutuheshimu
Uongo gani pale alikua anatetea Rais Samia Suluhu mabehewa ni mazuri na ya kisasa sisi wasafiri tumekubali lakini wengi wanaopinga wameshazoea kupinga hatuwajali tena
....pia chukulia kwamba viomgozi ni zao la wananchi....CCM ni kwisha ila watanzania ndiyo kwisha zaidi. Haya maelezo yanaonyesha kiwango cha akili cha viongozi wetu na wanafanya hivyo wakijua kiwango cha akili cha wananchi wanaowangoza.
Umri ni muhimu.Kwa bahati mbaya sana ili kujua mambo hakuhitaji kuwa na umri mkubwa. Labda kwa uwezo wa rais anajua kujua mambo kunahitaji umri mkubwa.
Msamehe tu hajui chochote maskinMaza kwa kusuta wenzie hajambo.
Kuna ukweli pia kwa hili"Wale wanaopenda tu kufujafuja kila kitu, wafuje lakini warudi nyuma lakini ukute mfujaji mwenyewe kazaliwa miaka ya 90 hajui tulikotoka, anafananisha na Marekani anakokuona na anataka Tanzania ifike kule bila kujua anaojifananisha nao wana miaka 200 ya maendeleo,"- @SuluhuSamia
Tunachojua..Kijana aliyezaliwa mwaka 1990 ambapo sasa hana miaka 32 wengi wa hili kundi wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira,uchumi usioimarika,kukosa kazi rasmi na sio wao pekee wakubeza mambo ambayo kwa upande wa Serikali hayaendi sawa,
Poleni vijana.Mimi nimezaliwa miaka ya 2000s na bado naendelea kupinga hadi kesho
Kwani hao waliozaliwa before 1990 ndio wana IQ kubwa ama vipi
Hata akipinga mtoto wa 2015, haijalishi ukweli ni kwamba tumepigwa, tena na kitu kizito sana
Kasema lini hayoAkiongea leo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania amesema wanaopiga mabehewa yaliyonunuliwa wote ni watoto waliozaliwa mwaka 1990.
Kwanza wanaishi Dar hawajawai kutoka kwenda vijijini kuona watanzania wanavyoishi kwa shida.
"Unapinga mabehewa na kusema yametumika wakati Kuna Waha kutoka Kigoma wanayatamani yawapelekee Kigoma"
Tanzania sio Marekani ambayo ina miaka ya uhuru zaidi ya 200 sisi tuna miaka ya uhuru ndio kwanza 60." Halafu anatokea mtoto wa mwaka 1990 kusema mabehewa hayafai lazima ushangae!!
My take : Kumbe tuna miaka mingine 140 Ili kuanza kuwa Dona county [emoji28][emoji28][emoji120].
Panama Canal ilikamilika kujengwa 1914. Miaka 108 iliyopita. Ilipoanza kujengwa Marekani ilikuwa haijafikisha miaka 60 kama sasa ina miaka 200."Wale wanaopenda tu kufujafuja kila kitu, wafuje lakini warudi nyuma lakini ukute mfujaji mwenyewe kazaliwa miaka ya 90 hajui tulikotoka, anafananisha na Marekani anakokuona na anataka Tanzania ifike kule bila kujua anaojifananisha nao wana miaka 200 ya maendeleo,"- @SuluhuSamia
Tunachojua..Kijana aliyezaliwa mwaka 1990 ambapo sasa hana miaka 32 wengi wa hili kundi wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira,uchumi usioimarika,kukosa kazi rasmi na sio wao pekee wakubeza mambo ambayo kwa upande wa Serikali hayaendi sawa,