Rais Samia: Wazanzibari ni wazuri wa sura, roho na wakarimu sana sio kama watu wa mataifa mengine

Utakuwa umeingia kwenye mtego huo huo alioutegeshea yeye.

Huyu kilichobaki ni kumwondoshea mbali, na kuunda muungano mpya kabisa wenye usawa kila mahali.
Hakuna kuvunja muungano kwa sababu za watu wapuuzi kama hawa.
Muungano wa kipuuzi kila nchi iishi kivyake
 
Unaakili kweli hebu nenda ukafanye afya ya akili, yaani auze nchi nzima halafu aje tu apendwe kisa anaongea ujinga
Unasema uongo, ameuza wapi? Huo ni uzushi na kudhihirisha chuki zenu kwake

Ikiwa kiwanja chako tu cha nyumba ni mali ya inchi kila ikiisha 33 yrs mpaka unapolipia tena basi ndio iwezekane kuuzwa inchi nzima?
Waswahili wanasema ukitaka kuua mbwa mpe jina baya,
Hamna lolote ni chuki zenu tu juu ya dini yake
Ila mmesahau ufalme hutoka Mungu, sasa shindaneni na Mungu
 
Muungano ni wa kipuuzi wajinga pekee ndio wanao uhusudu
 
Aisee hujui wewe unacheza na damu za watu ila nyie na mama ako mnacheza na Mungu ipo siku mtajua Mungu aliyehai yupo area gani ipo siku , mnauza nchi halafu mnakimbilia kumuita Mungi na alaaniwe yule mtu ambaye huwakana watu wake na kuwaamini wengine .
 
Ehe Bitozo kataja mataifa gani? Tanganyika ipo kwenye list?
 
Bado unaendelea kusema uongo, hakuna anaeweza kuuza inchi, awaye yeyote narudia kusema hakuna awezae kuuza inchi
Mnachofanya ni kumpa paka jina la mwizi ili mhalalishe kumshambulia
 
Bich
 
Tuwe wazuri wa sura kwani sisi mademu? sisi vidume. mademu wetu ndo wenye sura nzuri
 
Hivi Baba wa Taifa anasemaje kwani, bado hayajaharibika tu mpaka mchinjane! Wallah siku zimeganda❌
Wacha tu tuchinjane, hakuna faida ya kuishi maisha haya ya kutukanwa kireja reja kila siku na wakristo, yaani saa hio ndi wamezidi kutukashifu mpaka natamani kama angewepo mmoja wangu hapa ningetafuna mpaka mifupa
Wagalatoa mnajua kukashifu aisee, ila sishangai kwani ndivyo mnavyofundishwa kanisani?
 
Huyu aliyetukana Kizimkazi sio Mkristo pengine sio muislam kwani dini ya mtu anaijua mwenyewe. Unaweza kufikiri unamsaidia kumbe unammaliza.
 
Huyu aliyetukana Kizimkazi sio Mkristo pengine sio muislam kwani dini ya mtu anaijua mwenyewe. Unaweza kufikiri unamsaidia kumbe unammaliza.
Angekuwa si muislam wala mssingemshambulia, ni dini yake tu ndio hata msione mema
 
Uzuri Bunge letu halina dini na ujumbe wao leo umeifikia nchi nzima. Tunatarajia kila aina ya kauli toka mataifa yote yenye nia njema. Na hiyo ndio Diplomasia rahisi kuielewa. Enjoy
Angekuwa si muislam wala mssingemshambulia, ni dini yake tu ndio hata msione mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…