Mula mula ni mwanadipromasia nguri! Atakuwa kajimwaga mwenyewe nakuipa heshima mamraka.Unajuaje kama hajajiuzulu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mula mula ni mwanadipromasia nguri! Atakuwa kajimwaga mwenyewe nakuipa heshima mamraka.Unajuaje kama hajajiuzulu?
Thibitisha mwigulu ni mwizi...hatuwezi wote kula keki ya taifa kwa usawa...vumilia tu,chuki huulawiti moyo wa anayeihifadhi
Thibitisha Wacha porojoHuku kuna watu wazima …hatuandiki tu kama kule twitter au whatsapp …huku kuna hadi malaika na mashetani wanaandika …MARK THIS DAY ..NI MWIZI
Uongozi ni ajira msamiati wa kujiuzuru ni ulaya sio afrika.Waziri halazimiki kutii kila kitu endapo anaona kuna vitu haviko sawa, alipokosea ni kuendelea kubakia madarakani, alipaswa kujiuzulu baada kuona hakuna muafaka. Kusubiri kuondolewa ni kama kuonesha kiburi.
Itakuwa ni Mulamula, mama alitaka kupanda gari pamoja na Biden yeye akaona ampandishe bus na kina RutoRais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Futa ndoto hiyo katika kichwa chako na akili yako, Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndiye Rais wetu na chaguo letu watanzania katika kutuongoza na kututumikia Hadi 2030Huyu anaishia 2025 anarudi kwao visiwani.
Hakuna kiongozi/mtawala wa kuiponya hii nchi kutoka ccm! CCM kazi yao kubwa ni kuangamiza/kuharibu! Na siyo kuponya.Kwani ameacha kuiponya nchi?
EwaaaaaaaStory ya Bavarian ujerumani middle ages
Comments hazifutiki, hutaambulia hata ubalozi wa nyumba kumi, endelea kumuogesha nguruwe!!!!Nasema hivi mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani ndiye Rais Hadi 2030, watanzania tumeridhishwa na utendaji kazi wake uliotukuka na uliogusa maisha yetu watanzania kwa kutupatia matumaini mengi ya kuinuka kiuchumi, kazi yetu Ni Kuendelea kumuombea mh Rais wetu mpendwa ili mwenyezi Mungu amjalie Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania
Rais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Je Mulamula alikataa upuuzi wa collective responsibilityWaziri halazimiki kutii kila kitu endapo anaona kuna vitu haviko sawa, alipokosea ni kuendelea kubakia madarakani, alipaswa kujiuzulu baada kuona hakuna muafaka. Kusubiri kuondolewa ni kama kuonesha kiburi.
Nasimama na Mama, haiwezekani, ukubali maelekezo ya wazungu tu, ya kwetu unaona hayakuhusu, aende zake huko.Aseme tu direct ndiyo sababu ya kumtumbua Mulamula
Kwendraaaaaaa! Mhe Rais lazima apewe heshima Acha porojoNaona exposure inawaponza wasaidizi wa Rais, Rais anataka kila mteule wake afanye vile anavyotaka yeye hata kama hana ujuzi wa jambo husika, hii sio sawa, anakosea.
Mulamula alikuwa na exposure na mambo ya nje toka enzi za JK, na hiyo exposure yake naamini ndio iliyochangia Rais kumpa kile cheo, leo iweje amuondoe yule aliyegoma kuburuzwa kwenye jambo alilo na experience nalo? lililofanya akaaminiwa na kupewa kazi? Rais hajui anachofanya.
Kuwa na wasaidizi maana yake ni kumsaidia Rais, na sio tu kufanya kazi wanazopangiwa, bali hata kwa ushauri pia, hii kauli aliyoitoa Rais itazidi kuzalisha chawa wengi zaidi, wajinga, majeuri, na viburi.
Matokeo yake kina Mwigulu wanazidi kutuburuza na tozo, huku Makamba na Nape na kauli zao za hovyo kila wakati; yeye anataka jambo lolote wakishakaa na kukubaliana serikalini lisipingwe, vyema atambue hata wajinga huwa wana maamuzi yao yasipoangaliwa mapema yatatuumiza.
Awaache wenye uzoefu wamsaidie, unaweza kuwa na kundi kubwa la wajinga wasiojua chochote kasoro mmoja wao, na kiongozi mzuri anatakiwa kumtambua huyo mmoja.
Sasa hii ina uhusiano gani na swala la huyo waziri aliyetumbuliwa!!?Huyu mama akilazimisha kubakia madarakani hiyo 2025, basi mchele utauzwa elfu 6 kwa kilo! Na mafuta ya petrol na dizeli lita itakuwa elfu 6 pia! Vifaa vya ujenzi ndiyo kabisaa!! Vitaendelea kupanda mara dufu.
Nitafurahi kama atakaa pembeni.
Ni kama vile ulikuwepo kwenye discussion na ukaona kuwa rais hakukubaliana na mawazo ya huyo waziri.Mulamula alikuwa na exposure na mambo ya nje toka enzi za JK, na hiyo exposure yake naamini ndio iliyochangia Rais kumpa kile cheo, leo iweje amuondoe yule aliyegoma kuburuzwa kwenye jambo alilo na experience nalo? lililofanya akaaminiwa na kupewa kazi? Rais hajui anachofanya.