Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Kelele za vyuraSiasa zetu zemekua za kishamba sana, kura zilizoandaliwa kwaajili ya watu fulani zinapenyezwa kwenye sanduku la kura na tukihoji tunapewa kibano na vyombo vya dola.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelele za vyuraSiasa zetu zemekua za kishamba sana, kura zilizoandaliwa kwaajili ya watu fulani zinapenyezwa kwenye sanduku la kura na tukihoji tunapewa kibano na vyombo vya dola.
Umezijibu basi zimekukera.Kelele za vyura
Mzazi akikosea malezi Bora inayokuja teseka ni jamiiHivi inategemea MTU alietoka kwenye familia ya wachawi anaweza kuwaje zaidi ya uprimitive?.
Civilization, education na maturity havipimwi kwa kauli za vimaneno tu vya siku moja kutoka kwa mtu ambaye ameshindwa kuelewana hata na Makamu Rais wake tu. Anajua ndiyo hivyo anaiga siasa na pia ananipendekeza kwa wafadhili wake.
Clearly, you are either confused or desperate; both are conditions of a failed individual. Ndiyo maana kwako binadamu ni tumbili. I hope one day you will regret this childish, thoughtless statement.Sasa unamfananisha Uhuru Kenyatta na loser kama Mawe au nani hasa?
Stop this nonsense wewe!
Kenya is leading this region in democracy na uchumi by far...huwezi fananisha na haya ma monkey dictators with nothing in their heads...
Chumi zao mbovu,democracy zao zipo kwenye disarray..International relations zao ni mavi...no happyness in those nations,etc
Umfananishe Uhuru na these monkeys?
Like really?
Stop this nonsense wewe
Nadhani hujui unachozungumza; Uhuru ni an outright betrayer na puppet kama tu Mzungu wenu yule mliyemwajiri awavurugie na kuwaulia chama.Sio mchakato wa siku moja ni muendelezo wa majumuisho,we uoni makamu ndo mwenye matatizo jiwe type Kenya wakifanya tu kosa imekula kwao.Wenzetu
Watu waliokosa malezi Bora utotoni awapewi hata umonita darasani
Bila shaka wewe ndiye ambaye huwezi kuona manufaa ya mambo mazuri unayoyapinga leo; watoto wetu watakuja kushangaa tuliweza kusavaivu na aina ya watu sampuli yako.Sawa Twaib......
Ahaaa umeshiba wewe ...angalia usivimbiwe ukatapikia viatu vyako ......Huwezi kuona madhara ya unachoshabikia leo ..ila wataona watoto wetu na wajukuu zetu na vizazi....vyetu ....Mungu atusamehe.....!
Lugha na upeo wa kufikiriaAwapokee tu na kazi awape kabisa.
Nenda Kenya bwashee,kule akuna kukatazwa.Ukiona viongozi wanakataza kila kitu ni kati ya haya;
woga!
kutokujiamini!
Amruhusu miguna miguna arudi kenya aishi kwa amani.Kwa Ukweli,NAMPENDA SANA RAIS KENYATA.NI MFANO BORA WA MA-RAIS AFRICA NZIMA.HAKUNA KAMA YEYE.Alishinda U-Rais akaambiwa na mahakama Uchaguzi haukuwa huru na haki,kwa Hiyo Uchaguzi urudiwe Tena,na akakubali urudiwe.HAKUNA RAIS YEYOTE MWA-FRICA ANGEKUBALI HIYO KITU.NASEMA HAKUNA.Uchaguzi ulirudiwa na akashinda tena.Mungu akubariki Sana RAIS Kenyatta,UISHI MAISHA MAREFU.Umekuwa MFANO wa kuigwa.UNASTAHILI "NISHANI".
A Total waste...Bila shaka wewe ndiye ambaye huwezi kuona manufaa ya mambo mazuri unayoyapinga leo; watoto wetu watakuja kushangaa tuliweza kusavaivu na aina ya watu sampuli yako.
Ni heri lakini kuliko dictator.Nadhani hujui unachozungumza; Uhuru ni an outright betrayer na puppet kama tu Mzungu wenu yule mliyemwajiri awavurugie na kuwaulia chama.
Za tz ni mtu mmoja anaamua ziweje na sio sanduku la kura!'Kwani ni lazima uishi kwa kuvuta bangi?' Hahahah imeisha hio mzee baba
Ungekuwa umetoka Kenya wala povu lisingekutoka ila kwa utapeli wako umegutuka kushtukiwa!Fala wewe mie nimetoka jana tu
Tatizo la ukabila ni jambo jingine na utatuzi wake kamwe hauwezi kua sawasawa na kutatua matatizo ya siasa za kishamba na ujinga unaoenda hadi kwenye chaguzi.Ila pia pamoja na ukabila namatatizo ya wakenya wao wameanza safari ya kweli ya maendeleo kwasababu wamekua wazi na wanajipa muda wakutafakari matatizo yao nakutafuta njia bora zakuyatatua badala yakujifanya hayapo..Wakiendelea hivyo amini nakwambia miaka 20 ijayo watakua mbali sana kwenye kila nyanja.Uchochezi wa kisiasa. Huyu pia yuko kwenye mission ili kuuonyesha uso wa dunia kuwa Tanzania sio sehemu salama.
Huko kwao kuna tatizo la ukabila, mbona hakuwachukua na kuwahifadhi wale wazee wa Kenya walelewe kwa upendo na vijana wake wenye upendo ?
Asante kwa maoni yako. Tuombe uzima ili tujionee yote uliyasema hapo.Tatizo la ukabila ni jambo jingine na utatuzi wake kamwe hauwezi kua sawasawa na kutatua matatizo ya siasa za kishamba na ujinga unaoenda hadi kwenye chaguzi.Ila pia pamoja na ukabila namatatizo ya wakenya wao wameanza safari ya kweli ya maendeleo kwasababu wamekua wazi na wanajipa muda wakutafakari matatizo yao nakutafuta njia bora zakuyatatua badala yakujifanya hayapo..Wakiendelea hivyo amini nakwambia miaka 20 ijayo watakua mbali sana kwenye kila nyanja.
Asante AsanteAngalia sasa unavyojichanganya kama rangi za maji! Kama kosa la Miguna liliamount kuwa treasonable, kama unavyodai, kwa nini basi asipimiwe Raila kosa hilohilo, tena kubwa zaidi, kwa sababu yeye alikuwa ndiye key player??? "Triple-standard!!!" Kuhusu fitina ya Uhuru kwa Rutto, usisahau hiyo ni miaka 2 kabla ya uchaguzi mkuu! Imagine kuja kufika twenty-twenty two itakuwaje??? Halafu, who killed Chris Musando --- IEBC Chief IT Officer??? Unadai Uhuru ni Rais wa Kenya kihalali, why have those guys refused to open the servers since then???
Kukaa kimya nalo si jibu mkuuKumbe ndio maana hakuja kwenye lile igizo la kumuapisha akawaachia wasanii wengine kina Museveni..